Sasa kiyoyozi unakipata wapi au unamlinda mheshimiwa sana......uzee unakujia vibaya sana sikuhiziNdio maana wataalam wakatengeneza viyoyozi. Ila mgandishwe kwa supagluu
Umepatikana leo[emoji1787]Hivi nilikwambia eeeh? Nilikuongopea basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwie radhi babu
Basi nitakuja Bunju ili usahauNimekusamehe lakini sitakusahau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeamini ule msemo ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Nimejikanyaga
Kwa hiyo unawezaku gandiana??Aisee sipendi kabisa tukimaliza kila mtu atake position yake ndio tunapata usingizi mzuri
Si vinauzwa madukani jamani?Sasa kiyoyozi unakipata wapi au unamlinda mheshimiwa sana......uzee unakujia vibaya sana sikuhizi
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mkimaliza nini?Kwa hiyo unawezakugandiana??Aisee sipendi kabisa tukimaliza kila mtu atake position yake ndio tunapata usingizi mzuri
Hapo roho yangu imetulia. Nanunua kabisa superglue ili ukija tugandiane vizuriBasi nitakuja Bunju ili usahau
Mtanange.Mkimaliza nini?
We mwache tu. Alinidanganya na mpaka chimbo analochangamkia akanitajia...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo roho yangu imetulia. Nanunua kabisa superglue ili ukija tugandiane vizuri
Mada haizungumzii mtanange. IInazungumzia kugandiana. Unaweza kugandiana na mwanao pia baada ya kumnyonyesha...Mtanange.
Huwa naenda ila siishi huko. Basi tukutane mnadani JumapiliWe mwache tu. Alinidanganya na mpaka chimbo analochangamkia akanitajia...
Mnada wa wapi.... Madale?Huwa naenda ila siishi huko. Basi tukutane mnadani Jumapili
Ulijifanya mjanja kumdanganya babu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeamini ule msemo ukiwa muongo uwe na kumbukumbu. Nimejikanyaga
Kwa hiyo na wanaume wananyonyesha,?we babu vipiMada haizungumzii mtanange. IInazungumzia kugandiana. Unaweza kugandiana na mwanao pia baada ya kumnyonyesha...
Punguzeni dhambi
Nimezungumzia kwa upande wako uliyesema hupendi kugandiana...Kwa hiyo na wanaume wananyonyesha,?we babu vipi
Position nzuri kulala na mpenzi wako;Labda mwanamke wako mchafu au huna mzuka nae ulimuoa ili mradi tu usikose mke, ila pisi kali mzee hasa kipindi hiki cha mvua na kiubaridi unaanzaje kujifunika shuka lako mwenyewe.
Miguu yangu katikati ya mapaja yake na nido zake zinanichoma choma
Nzuri. 😎Nipo ndugu yangu za masiku
You are a troll.Hahaaaaa, thibitisha.