🤣🤣🤣🤣,Alooooh,,kabla ya safari anajikabidhi lakini?Hapana. Tukimaliza tendo takatifu, tunapiga magoti na kumshukuru Mungu kwa kutufikisha salama kileleni. Kutuepusha na mabalaa ya vifo vya presha. Na tunamshukuru sana kwa kutowahi kumaliza safari kabla jinsia KE haijapata haki yake ya kunaniliu...
Kwahiyo umeamua kumpangia mleta mada? Ye kasema kugandiana nyie mnatafsiri vingine.🤣🤣🤣🤣Babu mbona umekuwa kama Mzee kifimbo chezea Sasa?tunajua hakuumaanisha vikojoleo Bali alimaanisha nyama Kwa nyama yaani mwili Kwa mwili🤣
Hapa tunazungumzia kugandana. Kabla ya kugandana hiyo ni mada nyingine pana sana🤣🤣🤣🤣,Alooooh,,kabla ya safari anajikabidhi lakini?
Kumbe we kanyenyekevu. Basi unahitaji ukaguzi wa dharura, haraka sana. Kabla washenzi hawajakuharibu
Ee iwe kwa uwezo wa rohoKwahiyo unataka udedi na bikira? Unataka ufuate nyayo za mama wa Yesu?
Ubishi utakuponzaKumbe we kanyenyekevu. Basi unahitaji ukaguzi wa dharura, haraka sana. Kabla washenzi hawajakuharibu
Nimekuja Goba mara kibao sijakutia machoni kabisa. Sasa zamu yako ukuje Bunju
Hii sasa ndio inaitwa Vita ni mipango
Hauoni kutakuwa bored sana Kwa mpango Huo?na motoni Kuta happen?Kwahiyo umeamua kumpangia mleta mada? Ye kasema kugandiana nyie mnatafsiri vingine.
Kuna hatari mbinguni nikawa na Yohana mbatizaji peke yetu
Nitakuwa na mabikira sitini nami nikiwa na nguvu ya kwashughulikia mabikira mia...Hauoni kutakuwa bored sana Kwa mpango Huo?na motoni Kuta happen?
🤣🤣🤣🤣Umeshindikana we mzeeNitakuwa na mabikira sitini nami nikiwa na nguvu ya kwashughulikia mabikira mia...
Jitahidi tukutane mbinguni. Maana najua hapa duniani kwa navyokusoma huwezi kunukubalia.... Labda nisaidiwe na upepo wa Kisulisuli...🤣🤣🤣🤣Umeshindikana we mzee
I'm dying for it to happen, more than ready b...Napajua pa kukupa haya maoni b... inategemea na utayari wako sasa kwenye hili. Lol
Ova
Hatari kwelikweliYani hiyo siku itabidi anishikilie kwelikweli nisichomoke, au anifunge na kamba kabisa maana tunaweza jikuta tuko sakafuni asubuhi 😂😂🤦♀️
Haha🤣😃🤭Hatari kwelikweli
Ila sijaelewa ujue. Yaani utakuwa mtanange wa kukata na shoka au🤭🤭Haha🤣😃🤭
Mbinguni mbali,tuanze rehearsal hapahapa duniani bwanaJitahidi tukutane mbinguni. Maana najua hapa duniani kwa navyokusoma huwezi kunukubalia.... Labda nisaidiwe na upepo wa Kisulisuli...