Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Hapana. Tukimaliza tendo takatifu, tunapiga magoti na kumshukuru Mungu kwa kutufikisha salama kileleni. Kutuepusha na mabalaa ya vifo vya presha. Na tunamshukuru sana kwa kutowahi kumaliza safari kabla jinsia KE haijapata haki yake ya kunaniliu...
🤣🤣🤣🤣,Alooooh,,kabla ya safari anajikabidhi lakini?
 
🤣🤣🤣🤣Babu mbona umekuwa kama Mzee kifimbo chezea Sasa?tunajua hakuumaanisha vikojoleo Bali alimaanisha nyama Kwa nyama yaani mwili Kwa mwili🤣
Kwahiyo umeamua kumpangia mleta mada? Ye kasema kugandiana nyie mnatafsiri vingine.

Kuna hatari mbinguni nikawa na Yohana mbatizaji peke yetu
 
Nimekuja Goba mara kibao sijakutia machoni kabisa. Sasa zamu yako ukuje Bunju
C3DDF5EC-12D2-4F6F-BB6F-6350D9E8DED4.jpeg
 
Kwahiyo umeamua kumpangia mleta mada? Ye kasema kugandiana nyie mnatafsiri vingine.

Kuna hatari mbinguni nikawa na Yohana mbatizaji peke yetu
Hauoni kutakuwa bored sana Kwa mpango Huo?na motoni Kuta happen?
 
Back
Top Bottom