Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Mnaoweza kulala kwa kugandiana usiku na mwanamke hebu tuambieni mnawezaje?

Ama kweli kila mtu na starehe yake.

Mie nishazoea kulala nyuma ya matako, nikilala pekee yangu usingizi ni wa maruweruwe tu, mara niote fisi kala mguu wangu, mara niote nakojoa ub00 umekatika umedumbukia kwenye sink na imeuflash.

Lakini nikilala na mama watoto, alalie kifua, au nilale nyuma ya matako, dah.. Nasahau kama kibanda changu cha makuti kinavujisha.
😂🤣🤣
Hiyo kulala nyuma ya matako,, pozi zuri sana na muwe kwenye mikoa ya baridi mama weee
 
Basi huyo mdada ni mimi kabisa, ila mimi sirushi mateke😃😃🤣🤣...nakumbuka kuna siku mdogo wangu alikua analilia kulala na mimi nikamwambia sawa,, ile nastuka asubuhi simuoni kitandani nikauliza wakaniambia walisikia tu analia wakaja kumtoa nilikua nimembana shingoni na miguu,, nikasema baaasi kwisha habari yangu 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 jirani we hatareee
 
Back
Top Bottom