Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Utaelewa😂🙌Ni geshi ra porisi au mke na mume 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaelewa😂🙌Ni geshi ra porisi au mke na mume 🤣
Nakuchukia😎,unafahamu kwaniniNimekutumia woraaaaa💦💦💦😋😋😋😂😂😂
kugandiana tena, ndo kufanyaje.Hili suala la kugandiana na mwanamke usiku wakati wa kulala kiukweli limenishinda maana nashindwa kabisa kupata usingizi.
Nishazoea kila mtu alale upande wake tena kila mmoja na shuka yake, masuala ya kushare shuka moja pia siyawezi.
At the end naambiwa siko romantic!
Mnaoweza haya mambo hebu tuambieni huwa mnafanyaje?
Sijui jamaniNakuchukia😎,unafahamu kwanini
Nasi huwa tunajisikia burudani saana, ma mtu mzigo woote anakuwa kakususia wewe, mkono unaweka kwenye wezere, ama unaupitisha kiunoni kiganja kinafanya kama kuangukia kwenye kinena..Huwa ni ka burudani sana ka kukuta mzee ananesa nesa akipumua kwenye matako, yani najiona mie ndo nina kidume dunia nzima
😋😋😋😋Yani hakuna raha napataga km hiyo moment, naamka naiangalia km ni kukojoa naenda nakojoa nikirudi saaaasa..........
na kupandiana pia kupoKumbe kuna kugandiana😌
We sema kweliiHahah🤣🤣🤣... inabidi nimtafute wa kulala nae tumekumbatiana hivyo 😃😃
Hahahahahah asante studio 🤣Nyie ni wapangaji mnaoshea chumba tu
Inategemea na ulalaji wa mtu. Binafsi mie si mlalavi, kama nikilala chali baasi naweza amka niko hivyo hivyo.Humu watu waongo hakuna mtu anayemudu kukumbatia mtu usiku mzima 😂😂😂
Inamaana hawageuki wanalala km vifusi muda wote?
Ni burudani tupu kwa kweli.Hahahha ni raha sana yaaani. Unakuwa unafanya kazi ya kurudisha tako nyuma tu.
Weee wacha tu, ni burudani nzito kweli kweli, maneno hayawezi elezea burudani yake.Hiyo kulala nyuma ya matako,, pozi zuri sana na muwe kwenye mikoa ya baridi mama weee
Vipi tena mzee mwenzangu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!
Nina mpango wa kuifanyia hii application, inaweza kuwa na matokeo mazuri sana.Kila mtu na chumba chake na mnapanga ratiba ya kutembeleana.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hapo sasa kwenye kinena na kiwe cha moto unaweza kuua mtoto ya mamkweNasi huwa tunajisikia burudani saana, ma mtu mzigo woote anakuwa kakususia wewe, mkono unaweka kwenye wezere, ama unaupitisha kiunoni kiganja kinafanya kama kuangukia kwenye kinena..
Maisha ni burudani na tunamalizana hapa hapa kwa dunia, kaburini nitalala peke yangu haina nomaWeee wacha tu, ni burudani nzito kweli kweli, maneno hayawezi elezea burudani yake.
Yaani we acha tu mengine hatusemi, tutamwaga mchele kwenye kuku wengi.Hapo sasa kwenye kinena na kiwe cha moto unaweza kuua mtoto ya mamkwe