HAO NI MAZWAZWA ALISHASEMA TRY AGAINMimi ninachofahamu mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu, na hawajielewi! Yaani leo timu ikifungwa tu au kutoa sare, utawasikia wakipiga makelele ya kumkataa Chama, Matola, Mangungu na Try Again!
Halafu kesho ikitokea timu ikashinda, wanahamia kwenye kuwasifia hao watu! Na siyo kuwakataa.
Na walifikia eti mpaka hatua ya kumsimamisha na kumporomeshea maneno lukuki ya kejeli!Simba walivyokandwa 5 na chama wao walisema Chama aliuza mechi
AZIZ K ALISHINDA TENA WEKA MBALI NA HUYO KOBEORODHA YA WACHEZAJI WALIOFANANISHWA NA CHAMA.
1. HARUNA NYONZIMA.
2. SAODO NTIBAZONKIZA.
3. FEISAL SALUM.
4. AZIZI KI STEPHEN.
5. MAX NZEGELI.
6. PAKOME ZIZUUU.
7.....
8........
100....
KWELI KABISA MKUU.Hoja nyingi zipo kiushabiki.
Ukitaka kuona kiwango Cha Chama team pinzani iwe na kiungo mbovu na defense mbovu. Hii hua haitokei pale Simba inapicheza na al ahly au team zngine kubwa, Cha kistaajabisha kibu ndo huonekana kuliko Chama .
Refer siku Simba inakuka mkono kutokea kwa yanga, je Chama hakuepo, pacome hakuwepo, ki Aziz hakuepo. Team zote zilikua full mass nondo ila kilichotokea Kila Mtu aliona.
Kwa kumalizia tu Chama ana match zake .
Sijui hata kama unafahamu maana ya neno consistency,Mwaka 2016 Chama aliipeleka Zesco nusu fainali klabu bingwa,Ulizia Pacome alikuwa wapi mwaka huo?mwaka huo huo aliifunga Al Ahly magoli mawili peke yake hatua ta makundi,Al Ahly ni timu ndogo?Amewafunga AS Vita iliyo iliyokuwa bora ya akina Makusu,Ngoma,Bangala,Nkana,Yanga wote amewafunga.Kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote anashika nafasi ya 8 akifunga magoli 18,na ni yeye pekee anayeendelea kucheza AfrikaYes kwa Inonga huko sahihi kabisa.
Ana kiwango bora kabisa kakiwasha sana mataifa ya Afrika na kaibeba sana kongo.
Kimpira mtu akibisha kiwango cha Inonga atakuwa anaendekeza ushabiki tu.
Ila sio kwa Chama.
Huyu hapana hana consistency kabisa labda ni kwa sababu ya umri kumtupa mkono pia.
Ni mchezaji wa mechi ndogo tena sio zote.
Huwezi kumfananisha na Pacome kwa sasa ambaye anakupa ubora usiobadilika (consistency)kwa kila mechi iwe ndogo au kubwa.
Akiwa Zesco katika michezo 15 alifunga magoli manne lakini unavyompamba utadhani alifunga magoli 100Sijui hata kama unafahamu maana ya neno consistency,Mwaka 2016 Chama aliipeleka Zesco nusu fainali klabu bingwa,Ulizia Pacome alikuwa wapi mwaka huo?mwaka huo huo aliifunga Al Ahly magoli mawili peke yake hatua ta makundi,Al Ahly ni timu ndogo?Amewafunga AS Vita iliyo iliyokuwa bora ya akina Makusu,Ngoma,Bangala,Nkana,Yanga wote amewafunga.Kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote anashika nafasi ya 8 akifunga magoli 18,na ni yeye pekee anayeendelea kucheza Afrika
2015/16Sijui hata kama unafahamu maana ya neno consistency,Mwaka 2016 Chama aliipeleka Zesco nusu fainali klabu bingwa,Ulizia Pacome alikuwa wapi mwaka huo?mwaka huo huo aliifunga Al Ahly magoli mawili peke yake hatua ta makundi,Al Ahly ni timu ndogo?Amewafunga AS Vita iliyo iliyokuwa bora ya akina Makusu,Ngoma,Bangala,Nkana,Yanga wote amewafunga.Kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote anashika nafasi ya 8 akifunga magoli 18,na ni yeye pekee anayeendelea kucheza Afrika
Nyie si mnadai anazifunga timu ndogo,nimekwambia ameifunga Al Ahly goli 2,Al Ahly ni timu ndogo?ameifunga Yanga kwenye 4-1,utopolo nayo timu ndogo?Hatumpambi,amejipambanua kuwa yeye ni bora ndio maana hamuachi kumlinganisha na wachezaji wenu,kama ni rahisi kuingia top ten ya wafungaji bora wa muda wote niambie ni mchezaji gani wa utopolo yupo hata top 20?Halafu huyo Pacome aliisaidia vipi Asec kucheza japo makundi klabu bingwa?
Afikishe sasa hizo goli 18 ndio muanze kumlinganisha,unafikiri kuingia makundi ni rahisi kiasi kwamba unadhani atafunga kila mwaka?ingekuwa rahisi hivyo Yanga wasingechukua miaka 26 kuingia makundi.Umekimbilia kuweka wafungaji bora wa muda wote!
Kwani Pacome ameshamaliza kucheza kwamba hatofunga tena na hivyo kutozifikia hizo goli?
Pacome ana miaka 26 ana matarajio ya kucheza kwa miaka 7 mbele kuzifikia hizo goli kwa perfomance yake ni jambo la muda tu.
Chama kwa sasa ana miaka 33 huyu kucheza kwa miaka hata mitatu mbele kwa perfomance nzuri ni kitu cha kubahatisha tu.Umri umeshamtupa mkono.
Kwa msimu huu CAFCL hatua ya makundi Pacome ana goli tatu na assist 2 with unquestionable perfomance.
Chama ana goli na assist ngapi?
Mkuu sikutegemea hii iwepo kwenye akili yakoUnaongelea pacome yupi, yule asiyetambuliwa na nchi yake au yule wa jf?
KWANI SAIVI CHAMA KAACHA KUCHEZA/AMESTAAFU!?Nyie si mnadai anazifunga timu ndogo,nimekwambia ameifunga Al Ahly goli 2,Al Ahly ni timu ndogo?ameifunga Yanga kwenye 4-1,utopolo nayo timu ndogo?Hatumpambi,amejipambanua kuwa yeye ni bora ndio maana hamuachi kumlinganisha na wachezaji wenu,kama ni rahisi kuingia top ten ya wafungaji bora wa muda wote niambie ni mchezaji gani wa utopolo yupo hata top 20?Halafu huyo Pacome aliisaidia vipi Asec kucheza japo makundi klabu bingwa?
HALAFU ANASAHAU ANA BEKI ANAYEMUAMINIA SANA HATA KUKOSEA TU KUITWA HAJAITWA WAKATI HUKU WANAMUIMBA NI UKUTA WA YERICKOMkuu sikutegemea hii iwepo kwenye akili yako
Magoli ya hatua za awali huwa hayahesabiwi kwa vile CAF wanaamini kule vibonde wengi,makundi ni hatua ngumu ndio maana utopolo imewachukua miaka zaidivya 25 kuingia tenaUKIZUNGUMZUMZIA HATUA ZA AWALI UNATAKA NA SISI TUANZE KUHESABU MAGOLI YA ZILE TANO TANO?!
DAH UNZINGUA SANA HUTAKI KUKUBALI KUWA PACOME NI BORA KULIKO CHAMA.
UMEISHIWA HOJAMagoli ya hatua za awali huwa hayahesabiwi kwa vile CAF wanaamini kule vibonde wengi,makundi ni hatua ngumu ndio maana utopolo imewachukua miaka zaidivya 25 kuingia tena
Wametofautiana goli 2 tu na unao kitu kikubwa,Pacome yuko kwenye form lakini class ya Chama bado hajaifikia,kumbuka form is temporary but class is permanent.KWANI SAIVI CHAMA KAACHA KUCHEZA/AMESTAAFU!?
SI YUPO KWENYE LIGI HII AMBAYO PACOME YUPO KWA NIN HUTAKI KULETA STATISTICS ZA CHAMA WALA HUTAKI KUONGELEA
NA KWA NINI HUTAKI KUKUBALI KUWA PACOME NI BORA KWA SASA KULIKO CHAMA.?!
Nimeshindwa hoja vipi na wewe hujui chochote,au unafikiri magoli ya hatua za awali yanahesabiwa?yaani magoli dhidi ya Zalan yahesabiwe?UMEISHIWA HOJA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaongelea pacome yupi, yule asiyetambuliwa na nchi yake au yule wa jf?
MIMI NIMEKUULIZA NINI NA WEWE UNAJIBU NINI?!Nimeshindwa hoja vipi na wewe hujui chochote,au unafikiri magoli ya hatua za awali yanahesabiwa?yaani magoli dhidi ya Zalan yahesabiwe?
Bado hamjasemaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]chama anawakera nyinyi ili mumsujudie...sisi tuliifunga timu ya chama 5 na yeye akiwemo