Mnapofanya Maendeleo msisahau kushirikisha ndugu zenu hata Kama mna ugomvi

Huu ni ukweli mtupu
 
Ndio maana wazungu walishajua hili mapema.

Ardhi yao walitenga maeneo ya makazi ya watu. Wakajenga nyumba nyingi tu za watu kuishi.

Ukitaka nyumba wewe una nunua tu, Au unapanga ulipe Mortgage mdogo mdogo. Ili hata ukifa na hujulikani, nyumba inabaki mali ya serikali au ya wanao na hakuna kinacho potea.

Sasa huku Afrika unakuta mtu anamiliki ardhi kimya kimya tu, Siku akifa utata na ugomvi unaanza na unakuta mwishoni Ardhi inachukuliwa na mtu ambaye hata sio mhusika wa halali.

Stahiki za wamiliki na warithi wa halali zinakuwa zishapotea hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…