Mnashangaa nini leo kuona CCM kumevurugika? Mimi si niliandika uzi hapa JF kuelezea mpasuko CCM mkanipuuza?

Mnashangaa nini leo kuona CCM kumevurugika? Mimi si niliandika uzi hapa JF kuelezea mpasuko CCM mkanipuuza?

Mara nyingi ccm huwa inavurugika na kuonekana hadi nje pale mwenyekiti anapokuwa dhaifu. Hali kama hii ilijitokeza hata kipindi cha JK pale Lowasa alipojiudhuru.

Lakini pia kulikuwa na makundi ya Sita akiwa spika na Mwakyembe, vile vile kulikuwa na makundi ya kina Mark Mwandosya. Ikumbukwe hata CCJ iliundwa na wanaccm tena wakiwa ndani ya CCM na Nape akiwemo.

Kwahiyo hiyo misuguano huwa ipo na wao huwa wanafikia muafaka. Ikumbukwe kwenye suala la kula CCM huwa wanarudi pamoja. CCM ni kubwa ni kutofautiana hakukosekani.

Lakini hata hivyo vyama vidogo mnatofautiana sana. Juzi tuliona kikao cha Mbowe na Lissu wakipatanishwa. Tofauti ya vyama vingine na CCm ni kuwa CCM ndio injini ya nchi, hao wengine hawana madhara yoyote hata wakiuawa au wakiuwana.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
umesahau ya magufuli na akina makamba, kinana, tena kipindi cha magufuli mvurugano ulikuwa ni mkubwa kupita sasa hivi
 
Naunga mkono hoja ya Popoma,mbowe anacheka mpaka anajamba
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
Popoma usiejielewa wewe
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
Wahenga wanasema Nabii hakubariki kwao😃
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
GENTAMYCINE kwanini mnapenda uchonganishi. Mara eti planning sijui imekuwaje mbona tiafa wimbo haujapigwa ai cop iishe, je u hali anaendeleaje. Ila kwa mienendo hii ya dodo kuiva na kudondoka hakika hakuna aliyesalama kwenye muembe maana dodo zingine zilikuwa na uhakika wa kusema hakidondoki kitu hapa hahaha matokeo yake ila sasa wengine wakaenda mbalo zaidi embe zilizobora huwa hazianguki kabisa hahaha kumbe kwenye huo mti hakuna tunda lililosalama kila tunda litaanguka hata lile ambalo ndiyo halijaiva. Yetu masikio na macho. Ila usisahau ni Mama tu Dkt Samia 2025!
 
CCM ni chama mfu, chama ambacho utashi wa mwenyekiti ni sahihi na haupingwi na yoyote, hicho sio chama Bali genge la majizi. Kitendo Cha ccm kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti kimefubaza hamasa za siasa hapa nchini.

Huo msuguano wa kutaka madaraka baada ya kujua unaweza kukaa madarakani bila kura za wananchi, Bali ushawishi wa kifedha kwa vyombo vya Dola na chawa kadhaa. Hii chama kizee kinatakiwa kisambaratike tupate mabadiliko ya kweli. Hakuna uwezekano chama kizee kinachopora chaguzi za nchi kiendelee kuwa na umoja.
Nitakuchapa kibao ebo!
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
Kwani kinara nae karuka makubaliano mpaka yajirudie ya 3/17? Koloni la kifalme siyo.
 
Vipi kuhusiana na supreme leader wetu. Toka tunazaliwa had leo yeye ndio mwenyekiti. Hio imekaaje?
Vipi wa CCM ambaye hajawahi kupigiwa kura ila anakuwa Mwenyekiti by default baada ya kuiba kura ya urais?!😡😡
 
Mkiambiwa kuwa kuna Watu wengine Mwenyezi Mungu katuumba na Tunu / Shani Kuu ya Kimaono na Upeo msiwe mnatubishia au mnapinga.

Kwa taarifa nilizonazo na nilizozipata Kitambo tu mnachokiona sasa it is just a tip of an iceberg ndani ya Bahari Nyeusi na yenye Kina Kirefu na makubwa yanakuja.

Kwa Makundi Kinzani Makuu Saba (ndani ya Chama) hali si Shwari na nilitabiri na natabiri tena leo kuwa kuanzia Desemba 2023 hadi June 2025 tutazika mno wale tusiokuwa tukiwatarajia na hata Kinara wao nae hayuko Salama kivile na asipoangalia ya Machi 17, 2021 hayako mbali Kwake / Kumtokea.

Na bado!
embu eleza vizuri taratibu,

ulichokiona huko ndani ni kweli umeona mpasuko? au ni nyufa au mwanya?

maana kati ya hayo moja tu ndio hatari zaidi hayo mengine, ambayo ni kama mafua tu yanatibika hata kwa tangawizi na mambo yakawa shwari
 
CCM ni chama mfu, chama ambacho utashi wa mwenyekiti ni sahihi na haupingwi na yoyote, hicho sio chama Bali genge la majizi. Kitendo Cha ccm kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti kimefubaza hamasa za siasa hapa nchini.

Huo msuguano wa kutaka madaraka baada ya kujua unaweza kukaa madarakani bila kura za wananchi, Bali ushawishi wa kifedha kwa vyombo vya Dola na chawa kadhaa. Hii chama kizee kinatakiwa kisambaratike tupate mabadiliko ya kweli. Hakuna uwezekano chama kizee kinachopora chaguzi za nchi kiendelee kuwa na umoja.
mchefukoge 😅🔥
 
Asante Mkuu na kamwe usiache Kuniamini kwani nina Utajiri mkubwa wa Kimaono na Fikra na ukiona nasema Jambo basi kuwa nalo makini mno kwani kwa 95% huwa nakuwa sahihi na Critical Observations zangu zitokanazo na Fikra pana nilizojaaliwa nazo na Mwenyezi Mungu.
Umenikumbusha "Magamba Matatu"
 
Kuna mzee mmoja kule ccm anaheshimiwa ile shazi lakini tembo wa nchi hii kawafyeka hadi kanunua meli inaendelea kusafirisha mzigo. JPM alimwambia ole wake hata jino la fisi likamatwe jamaa akawa mpoooole
 
Asante Mkuu na kamwe usiache Kuniamini kwani nina Utajiri mkubwa wa Kimaono na Fikra na ukiona nasema Jambo basi kuwa nalo makini mno kwani kwa 95% huwa nakuwa sahihi na Critical Observations zangu zitokanazo na Fikra pana nilizojaaliwa nazo na Mwenyezi Mungu.
We sema uko jikoni unakula minyama ukishashiba ndo unatusambazia,,
 
haujawahi kuwa positive kwa jambo lolote la taifa
Mambo ya hilo chama la majizi ndio ya taifa?! Siwezi kuwa positive hilo chama la majizi likishajiingiza kwenye jambo lolote. Hutaki jinyonge.
 
🤔🤔🤔 bwana mkubwa PASCHAL MAYALA sijui atakuja na bango la aina gani 🙄🙄.
Me ningependa Mungu awapende zaidi waccmc.tz.Com hata Kama watakuwemo Polisiccmc.kakikaki.tz.tumewachoka.Com
 
Back
Top Bottom