Mnatuchosha wanasiasa. Mtulipishe tu huo umeme wenu laki 8, Kila kitu tumejenga shule, afya mara barabara. Hizo V8 zenu mbona hamzitaji?

Mnatuchosha wanasiasa. Mtulipishe tu huo umeme wenu laki 8, Kila kitu tumejenga shule, afya mara barabara. Hizo V8 zenu mbona hamzitaji?

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Viongozi wa serikali Kila gharama serikali inayoingia kuhudumia jamii mnalalamika wakati Kodi mnazichukua kwetu. Kwani mnataka pesa ya serikali mfanyie nini? Mbona kama V8 zenu, maposho na mishahara mikubwa mnayolipana hatulalamiki?

Juzi Waziri Afya eti NHIF inapata hasara Hadi kutamani mpunguze siku za kwenda hospitali au idadi ya wanufaika kwa kila familia. Mara Waziri February aje na lalamiko kuingia umeme ni laki 8 huku tukilipa laki 3 tu.

Kama mnaona mnapata hasara si mlipishe tu pesa mnazotaka au mtuue kama mnaweza Ili msiingie gharama kutuhudumia.
 
Back
Top Bottom