Aina gani ya msongoSiku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Pole sana best,naelewa sana ulicho pitia..wasio pitia hawawezi kuelewa unacho kielezea. Nmejifunza nitailinda Afya ya akili kwa gharama yoyote ile...ni vyema nikose millions of money lakini niwe na Afya njema ya Akili.Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.
Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.
Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.
OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
Kama hauna pesa tafuta faraja tu hakuna mtu au kitu cha kupunguza mawazo.
Pole sana kwa ulichopitia [emoji3064][emoji3064]Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.
Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.
Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.
OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
sure sana sana iwe chronic alafu nasikia stresa inapunguza immune system kuna ukweli.?Kweli.
Kuna stress ikikupata hata hamu za mapenzi huzipati. Na unaweza ukalichukia hilo tendo kabisa.
Kila kitu unachopendelea kukifanya huo wakati kinakuwa hakikupi furaha tena.
Hauwezi kusema utoke uende disko au sehemu ya starehe maana hata ukifika huko hata pombe hazipiti na mziki hauusikii.
Kukaa na watu napo unaona ni tabu.
Ilinipata hii hali. Ilikuwa sitoki kitandani na haimaanishi kwamba nilikuwa nina usingizi, hapana. Ni kulia tu, na kumeza antidepressant. Ikafika hatua nazo zikafeli.
Hii hali haitaki ufanye chochote. Kula ni kwa kujilazimisha na hapo kinakukaba. Simu ndio kabisa hautaki hata kuishika maana hamna cha kufurahisha huko. Nisiongelee nilikaa siku ngapi bila kugusa maji (lol). Nilikuwa kama kichaa. Sitoki ndani na siogi. Niliwaza hadi kufanya drugs. Bila kusema mara ngapi nilitamani kufa.
OP, chochote unachopitia, tafuta mtu uongee naye kabla hali haijawa mbaya.
Pole brohhh..Mimi tofauti nikiwa naswali nikimaliza mawazo yote yanapungua na moyo unapoa huwezi amini yaani nakua mpya kabisaa kama sio mimiNashukuru ndugu najitahid kuswal napata relief kwa mda tatizo mawazo yakinijia najikuta napata mfadhaiko tena sio siri usiku nauogopa maana ndo mda unakuwa peke yako ninachoshukuru Mungu sijafikia stage yakukosa usingiz
Asante sana ntajaribu maana hii hali huwa inaniondelea interest ya vitu vingi naweza nikasema nachek muvi ikifikia nusu natoa ntaingia social network kidogo tu ntazima data yaani nakuwa nusunusu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki Gono mimi, mwendo wa utelezi atifisho
Muombe Mungu kuna muda unaweza usione wa kuongea kulingana na changamoto uliyonayo but omba sana tena ukiwa unaomba jifungie lia adi huzuni iisheSiku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Asante ,Mzigua90.Pole sana kwa ulichopitia [emoji3064][emoji3064]
Ni kweli ina weaken the immune system . Sio kitu chakukifanyia uzembe.sure sana sana iwe chronic alafu nasikia stresa inapunguza immune system kuna ukweli.?
Asante sana, Bilgert.Pole sana best,naelewa sana ulicho pitia..wasio pitia hawawezi kuelewa unacho kielezea. Nmejifunza nitailinda Afya ya akili kwa gharama yoyote ile...ni vyema nikose millions of money lakini niwe na Afya njema ya Akili.
Tafuta mtu usiemjua nasisistiza usiemjua, umsimulie inasaidia kupunguza mawazo..... huyo mtu anaweza kuwa hata wa huku online, usijichanganye kumsimulia rafiki au jamaa watafanya habari halafu itakuzidishia stress...pole kwa unayopitia.Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Hua nasomaga riwaya ni dawa kubwa sana na dawa nyingine ni kupuuza yaliyo leta stress hatakama kuna maslahi au mambo ndio yanazidi kuharibika hua naacha muda ufanye kazi mpaka mwisho kabisa ndio najua pakuanziaSiku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.