Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 808
- 2,155
Siku ya jana, leo na sijui hiyo kesho itakwendaje. Napitia msongo mkubwa sana wa mawazo, najaribu kujiliwaza na kujifariji pamoja na kujichanganya na watu ila nikikaa kidogo na kufikiri najikuta narudi katika huzuni na mfadhaiko wa nafsi. Sio siri nakosa raha na hamu ya vitu vingi naomba mbinu ya kujikwamua.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.
Kama kuna mtu alishapitia hali hii naombeni msaada. Pia mimi sio mlevi wala situmii kileo chochote.