grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Swali la msingi sana hili....Nijuavo mimi dawa au vipodozi au vyakula vitokavo nje ya nchi wazima zisajiliwe na TFDA je hawa living forever,gnld,tiash na wengine wa jamii hii wamesajiliwa na tfda na kama bado kwa nini wasifungiwe
