🤣🤣🤣🤣 kweli sio fix, nilipata mume mkongo anataka kunioa ila kakolea kikopo cha carolight huyo balaaa😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu em sema kweli? Sitaki fix mie hapa.
Niko na urembo vipodozi na nguo kipenzi. Karibu❤Unafanya biashara gan dear?
Umenikumbusha hizi issue za delivery alafu ndio alipie nimekoswa mara ya tatu , sirudii tena saivi mtu akitaka delivery alipe tu nampelekea hataki aje ofisiniUnawasikiliza tu usiwajibu chochote akimaliza unaendelea kumhudumia.
Hapo bado kuna ambao ukiwaambia walipie kabisa ndo umtumie mzigo wanakuambia tapeli yaani acha tu😥😥
Nilionganishwa na mkongo mmoja aiseee aiseee hizo sim za wasap sasa hizo clip hizo maswaliMimi nawaelekeza kwa vijana wamalizane nao aiseee!!! 🤣🤣🤣🤣
Kuna mmoja alinichana siku hizi husikilizi wateja unajali pesa tyuu na kujipost mwenyewe status, hilo lilinitongoza nikalikataa likaona liseme hivo..!!
Sasa usiombe ukutane na wamama wa kikongo woiiiih utachora chini 🤣🤣🤣🤣
Wale watu ni wateja ila ni wasumbufu sijaona
Tumia bolt kama unawaswas na mteja mwambie alioie kwanza alafu urequestUmenikumbusha hizi issue za delivery alafu ndio alipie nimekoswa mara ya tatu , sirudii tena saivi mtu akitaka delivery alipe tu nampelekea hataki aje ofisini
Thank you dearEmotional intelligence is everything
Nikubalance hisia zako na kumsikiliza in deep
Mara nyingi MTU anapokuwakia anakuwa something wrong to her or him and not you hivyo anakuwa Ana-deal na emotions zake hivyo kumjibu vibaya ni kuongeza tatizo zaidi.
In in business department kuwa a willing listener is key as to make good consistence in ur business.
Put ur eyes off the prize and keep chasing money .
Kuna baadhi ni waaminifu, wale ambao nafahamiana nao naweza nikawatumia ndo walipie.. Ila wateja wapya asipotaka kulipia kabisa sikuizi namwambia tu Asante Karibu tena,.Nishawachoka😥Umenikumbusha hizi issue za delivery alafu ndio alipie nimekoswa mara ya tatu , sirudii tena saivi mtu akitaka delivery alipe tu nampelekea hataki aje ofisini
Tunavunja bei sana ila bado kuna vichomiWateja wa kibongo ukitaka wasikuletee mapozi wauzie bei za Kitonga, Hapo hata uwape huduma mbovu watajazana tuu
Kuna mteja alikua anapiga simu anaomba bidhaa, nampelekea nikifika anaanza maneno mara package ndogo, nenda hela utaijia ukifata hela manenooo....baada ya muda anapiga simu nipeleke tena nikichelewa kupokea anafoka.
Nilimchoka.....nikamwambia kuanzia leo sikuuzii alijua utani piga simu namwambia mzigo upo ila ila sikuuzii, kila siku akawa anapiga jibu lile lile sikuuzii, juzi kaja kwa kujificha anafata mzigo mwenyewe pambafff zake mteja mfalme my a s s
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mie sitaki, nimecheka had mbavu zinaumaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli sio fix, nilipata mume mkongo anataka kunioa ila kakolea kikopo cha carolight huyo balaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasema papaa taratibu hiyo rangi hapana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji178][emoji178]Niko na urembo vipodozi na nguo kipenzi. Karibu[emoji173]
Aise juzi mm nilimfukuza na kugoma kumuhudumia mteja na kile kitu nilikuwa nacho tu vingenvyo aendee mjini kukitafua aliniudhi Sana [emoji38]Mteja kaniambia nafanya biasharara kishamba jana kwa sababu hakuna free delivery
Yaani aliniwakia nahisi alikua ana stress,
Leo katuma mwingine kuchukua mzigo.
Kwa kifupi jana alinigombeza sana,ni kitambo sana kukutana na mteja mkorofi hivi,
Hayo maneno aliongea kwa simu wakati anaweka order
Je wenzangu mnadeal vipi na wateja waliovurugwa
Yan maisha yana upuuzi huu,Alinigombeza
Anataka free delivery kutoka temeke mpaka lugalo mzigo wa 70,000/= sijui mjeshi yule ….aliniaribia siku jana inagne hadi leo namuwaza
Bolt mimi nipo ofisini nimpe bolt mzigo namjua mkuu? Tunafanya delivery na madereva tunaowafahamu lakini baadhi ya watu wasio waaminifu kumfikishia bidhaa ukashusha mzigo hela hujapokea ni hati hati, labda uwe unamjuaTumia bolt kama unawaswas na mteja mwambie alioie kwanza alafu urequest
Hizi frame mpya za hapa Bomb2 stand kwa juu.. Inaanza Oryx gas inafika ya kwangu Karibu sana... Vijana wangu wako poa sana hutajutia❤🙏[emoji178][emoji178]
Duka lako liko sehem gan hapa mjini? Nkutembelee cku 1.
SahihYan maisha yana upuuzi huu,
Mtu anaweza kukwambia kitu cha kipuuzi tu ila kikakaa balaa kichwanisahiho
mtani..kuwa na delivery service haiepukiki. lakini zingatia hide delivery cost kwenye bei ya huduma au mzigo ndiyo hiyo tunaita free delivery.Alinigombeza
Anataka free delivery kutoka temeke mpaka lugalo mzigo wa 70,000/= sijui mjeshi yule ….aliniaribia siku jana inagne hadi leo namuwaza
Kwakweli utafanya kuchoma mafuta/nauli kila siku alafu mzigo ukifika eti weka hapo twende nikatoe hela ATM ujue hamna mteja hapo. na ukimshtukia hupokei simu tenaKuna baadhi ni waaminifu, wale ambao nafahamiana nao naweza nikawatumia ndo walipie.. Ila wateja wapya asipotaka kulipia kabisa sikuizi namwambia tu Asante Karibu tena,.Nishawachoka😥
Sahih kbsa mm sitaki kbsa dharau za kijinga nawatimuwaga na Wala sijali siwez dhalilishwa kisaa elf tanoKuna mteja alikua anapiga simu anaomba bidhaa, nampelekea nikifika anaanza maneno mara package ndogo, nenda hela utaijia ukifata hela manenooo....baada ya muda anapiga simu nipeleke tena nikichelewa kupokea anafoka.
Nilimchoka.....nikamwambia kuanzia leo sikuuzii alijua utani piga simu namwambia mzigo upo ila ila sikuuzii, kila siku akawa anapiga jibu lile lile sikuuzii, juzi kaja kwa kujificha anafata mzigo mwenyewe pambafff zake mteja mfalme my a s s