Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

YKaribuni. Yote ni kama ya zamani. Hamna jipya
 
Too bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.

Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.

Right now Lissu is a footnote.
Sindo sababu ya kumzimisha mzee wa watu ili mpate cha kupambana na Lissu.


Chura ukimpiga Teke ndio unamwongezea mwendo.


Kwa ufupi yote Yanayofanywa na Lumumba na dola yake ndo yanazidi kymfanya Lissu aingie mioyoni mwa watu.
 
Kwani ndege zimeshaanza kuruka COVID 19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…