Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Naam nimethibitisha kuwa kamanda Tundu Lissu yupo na mtu wake wa karibu ambaye aliokoa maisha yake naye ni dereva wake Adam Bakari. Once again tukutane Dar. Mimi nipo Bole tayari kwa kujumuika na Tundu Lissu kurejea nyumbani!
Nasi wengine tupo Dar tukimsubiri kwa hamu kubwa shujaa wetu na wote atakaoongozana nao. Surely God is Great na hakuna kama Mungu.
 
APIMWE COVID 19, au awekwe QRT two weeks
watu wote wa ulimwengu ruksa kuingia Tanzania- kwa maneno yake mwenyewe JPM ili mradi tu temperature ya mwili iwe sawa: The Government of Tanzania has removed mandatory 14-day quarantine requirements for visitors on arrival. However, Tanzania is implementing temperature screening for passengers on arrival. If you show symptoms of COVID-19 on arrival, you may be required to quarantine at a government-designated facility at your own expense.
Source: Tanzania travel advice
 
So huyo Lissu atakuja kanyoa kiduku na kavaa zile raba mtoni zake?

Hivi ni Adidas au Nike zile? 🤣🤣
 
Bwa ha ha 🤣🤣🤣🤣
Bwa ha ha 🤣🤣🤣🤣
Bwa ha ha 🤣🤣🤣🤣
Hawa jamaa Wana mitandao yao labda. Lissu angevuta vuta siku, huu msiba uishe, walau angepata attention. Lakini kwa watanzania Tuko busy kumsindikiza mzee wetu, Big Ben.
 
Hawa jamaa Wana mitandao yao labda. Lissu angevuta vuta siku, huu msiba uishe, walau angepata attention. Lakini kwa watanzania Tuko busy kumsindikiza mzee wetu, Big Ben.
💯%.

Ila anavyopenda attention huyo Lissu...sitoshangaa akitua hapo uwanja wa ndege na kutoa bonge moja la outlandish accusation [mfano: Magufuli ndo kamuua Mkapa] ili tu apate kiki ya kuwekwa kwenye vichwa vya habari.

He’s an attention ho.
 
Hawa jamaa Wana mitandao yao labda. Lissu angevuta vuta siku, huu msiba uishe, walau angepata attention. Lakini kwa watanzania Tuko busy kumsindikiza mzee wetu, Big Ben.
TRUST labda kama uko misitu ya kongo.

Embu kwanza piga picha ya aliko zaliwa kukoje .

Njooo kwa Tanzania nzima.

Usishangae habari za WAJUMBE zinasambaa kwa kasi na zinatrend kuliko Msiba ..



KWA TAARIFA TU, LABDA MUMKAMATE UWANJANI KESHO.


BILA IVO HAMTAAMINI KITAKACHOTOKEA SIKU YA MSIBA ATAKAPOTEMBELEA, NASEMA HIVI HAMTAAAMINI HAMTAAAMINI NAMNA WAJUMBE WA KITANZANIA WATAKAVYOMSHANGILIA T.LISSU NA KUSAHA MSIBA.





Dola siimejifanya haitaki mkusanyiko, Mimi kesho asubuj naanza safari yakwenda kumpokea.

Mkitukazia sanaaa, Labda mumuweke mahubusu mpaka mmalize mazishe, bila ivo .... TUTAELEWANA TU HAPO MSIBANI WAKATI WAJUMBE WATANZANIA MACHO YAO YATAKAPOMUONA LISSU HUYOOOO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


hiyo ndo itakua sherehe rasimi ya Kumpokea Lissu katikati ya watu wenye hudhuni usoni ,nafuraha moyoni sababu wamemuona LISU.
 
Mungu ni mwema. Tunawakaribisha Sana kwenye ardhi ya mama Tanzania. Naamini sasa tutapata wasaa wa kusikiliza moja kwa moja kutoka kwa Wahanga juu ya kile kinachoitwa Kushambuliwa kwa Tundu Antipas Lissu. Natamani kusikia kutoka kwa Dreva ni namna gani aliweza kujiokoa kwenye kadhia hiyo iliyopelekea mwenzake aliyekuwa nae kwenye gari kumiminiwa risasi zaidi ya 30 bila yeye( Dreva) kupata hata mkwaruzo. Baada ya hapo, nitapendekeza Dreva huyo aajiriwe kwenye Kitengo Cha Madreva wa Viongozi wakuu wa nchi kwani anaonekana anauzoefu Mkubwa katika kukabiliana na mashambulizi.
 
Mawazo ya kichawi kutoka alierithishwa uchawi akiwa bado mchanga
Acha kusingizia uchawi, mbona unausifia Sana? Ndio urithi wako Nini? TL ameshakiuka mashariti ya dhamana, ajiandae to kusondekwa🤣😂🤣!
 
Back
Top Bottom