nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Sema kipenzi chakoKaribu nyumbani kipenzi cha watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kipenzi chakoKaribu nyumbani kipenzi cha watanzania.
Hii habari itasababisha vitanda visilalike kule kwa wakulu Chamwino DodomaHatimaye yule aliyesubiriwa na wengi kishaanza safari ya kurudi nyumbani , maneno matupu hayavunji mfupa , kichupa hiki hapa
Ni mkubwa tu wa mwili kama redio za zamani ila ni "bendi" moja huyo!😂😂😂Mkuu wewe huna wakubwa nyumbani wa kukufundisha adabu? Kurudi nyumbani kuna haja ya kiki?
Karibu nyumbani kipenzi cha watanzania.
Kwani mtu kurudi nyumbani ni kutafuta kiki? Wasukuma mna roho mbaya sanaToo bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Na dereva wake anakuja?Hatimaye yule aliyesubiriwa na wengi kishaanza safari ya kurudi nyumbani , maneno matupu hayavunji mfupa , kichupa hiki hapa
Nataka Dar isimame kaka !!! In Lema's voiceToo bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Na aliyewafananisha na nguruwe hajakoseaAlie wapanga jina la nyumbu atakua aliona mbali Sana
Hivi uligombea ubunge kwa ticket ya ccm ukakosa? Mbona u turn KaliInavyoonekana na Dereva wa Lissu nae anakuja kesho. Siasa za chuki na kuumizana sio siasa ni utumwa. Tusiwatweze watu Tanzania ni yetu sote.
Kesho Lissu aachwe afanye siasa zake na alindwe. Hakuna sababu ya kutufanya watanzania wote tuonekana tuna roho mbaya huko duniani
View attachment 1517917
Ni namna ya kuomba msamaha kiume😂😂😂Hivi uligombea ubunge kwa ticket ya ccm ukakosa? Mbona u turn Kali
Nimeona sredi zake za sasa anaikandia CCM nikajuliza what? Kumbe! Heshima kwako mkuuNi namna ya kuomba msamaha kiume😂😂😂
Kimguu kinalindwa na kujaliwa na Mwenyezi MunguHicho kimguu anavyokirusha hata hakijali, Duh!
Sijui maana kifo akichagui huyu rofa na huyu si rofa labda! Ila angetumia mbinu za kutokua rofa kuepuka mauti.
Lakini urofa utaendelea kuishi ndani mwa hao walioitwa au hujui kuwa maneno huishi daima Ila watu tunakufa.
Hili neno wanyonge linakera sana!! Mimi sio mnyonge
Katika hizi siku saba ofisi zinafungwa?Hekima na busara ni jambo muhimu sana.
Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.
Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Mnafiki mkubwa wewe, hebu kaa kimya! Leo ndio unaliona hili?Kesho Lissu aachwe afanye siasa zake na alindwe. Hakuna sababu ya kutufanya watanzania wote tuonekane tuna roho mbaya huko duniani