Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Mnyika: Ratiba ya Tundu Lissu kurudi ni ile ile na tarehe 28 atakwenda msibani

Too bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.

Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.

Right now Lissu is a footnote.
Jibu haya:

Kwani umeambiwa anakuja kutafuta Kiki?

Alipanga safari ya kuja Tanzania baada ya kutokea msiba?

Ikiwa mikusanyiko hsitakikani kwa sababu Kuna msiba mbona hujakemea mikusanyiko iliyofanyikana kwenye viwanja vya milita toka juzi na uchaguaji WA wagombea kwenye majimbo?
 
Hekima na busara ni jambo muhimu sana.

Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.

Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Mbona hamjasimamisha michezo??? Mbona hamjafunga sehemu za starehe na watu wanaruka majoka kama kawaida ???

Au msiba wa Mkapa ni kwenye mapokezi ya Lissu tu?
Shame!!!
 
Hekima na busara ni jambo muhimu sana.

Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.

Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Kwani kumpokea mpendwa wetu kuna husiana nini na maombolezo? Mbona mnachanganya vitu visivyokuwa na uhusiano?
 
Japo wamemsababishia ulemavu ila Mungu ni mwema, na utukufu wake umeonekana, Lissu is finally coming back, and the best thing is, the guy looks stronger than ever.
 
Ulidhani utabebwa mbeleko kwa kuikashifu Chadema na viongozi wake, km vipi rudi tu kwenu kumenoga.
 
Hekima na busara ni jambo muhimu sana.

Rais ameshatangaza maombolezo ya 7days, ni vyema tukatii hili, BWM alikuwa ni Rais wa JMT kwa miaka 10 ni vyema tukampa heshima yake kwa kututumikia pamoja na yote yaliyotokea kwenye utawala wake.

Siku saba za maombolezo sio nyingi, tuache zipite siasa ziendelee, TL angeweza kubadili ratiba yake akasogeza mbele, Tuweke siasa pembeni kwenye mambo ya msingi..
Maombolezo yana athirika vipi na kumpokea mtu wako umpendae? Mbona tunakuwa mabwege namna hiyo nchi hii?

Mtatumbia sasa tusiwapande wake zetu hata kama wako kwenye heat kwavile kumetangazwa maombolezo?
 
Back
Top Bottom