ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Jibu haya:Too bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Kwani umeambiwa anakuja kutafuta Kiki?
Alipanga safari ya kuja Tanzania baada ya kutokea msiba?
Ikiwa mikusanyiko hsitakikani kwa sababu Kuna msiba mbona hujakemea mikusanyiko iliyofanyikana kwenye viwanja vya milita toka juzi na uchaguaji WA wagombea kwenye majimbo?