Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Wewe hama huko Nanjilinji njoo mjini utajua dunia Inaendaje!Duh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hama huko Nanjilinji njoo mjini utajua dunia Inaendaje!Duh, mkiambiwa Chadema ni SACCOS muwe mnaelewa. Yaani taarifa za kiofisi inatolewa kwa njia ya twiter
Wenye msiba ni kina nani wakati wanatumia uwanja wa watanzania na kodi zao katika gharama za msiba?Wakisema ataenda msibani eti ndo iwehuruma ya kutokamatwa.
wenye msiba hawataki aende.
Wakikwambia katoka nje ya nchi anatakiwa awe karantini siku 14 kabla ya kuwasalimia wananchi utasemaje?
Sindo sababu ya kumzimisha mzee wa watu ili mpate cha kupambana na Lissu.
Chura ukimpiga Teke ndio unamwongezea mwendo.
Kwa ufupi yote Yanayofanywa na Lumumba na dola yake ndo yanazidi kymfanya Lissu aingie mioyoni mwa watu.
Hawa ni wajunga mkuu! Eti Mkapa kauawa ili kuzima tukio la Lisu, si vituko hivi?Hawa watu wa insta na mitandao?[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaliwapata segerea na bado hamjifunzi! Pamoja na sehemu nyeti za kiusalama wa taifa airport ni mmojawapo. Kuna sehemu za kufanya mkusanyiko ya mihemko ya kisiasa lakini siyo airport hasa kwa mazingira ya msiba wa kitaifa. Naamini safari hii kipigo siyo tu cha jeshi la police, lakini pia majeshi mengine pia halali yao. Sisi wengeni ni kuonya ili msije mkasema hatukuambiwa. SHAURI YENU.
Chadema au weweCHADEMA mtahangaika sana
Salary slip unampenda Lisu kiasi kwamba hata ukiwa unakula ukimega tonge unamuona Lisu[emoji3][emoji3][emoji3]Nyakati hizi ni za Lissu; wakubali,wakatae.
Unateseka sanaSo huyo Lissu atakuja kanyoa kiduku na kavaa zile raba mtoni zake?
Hivi ni Adidas au Nike zile? 🤣🤣
Mbona watalii hawawekwi karantini?
Unampango wa kumfanya nini? Je likitokea la kutokea katikati yake, utaweza kukwepa hiyo dhamana?hatofika msibani ,liweke hili kichwani hatofika msibani
Sipati picha pale atakapo kwenda Msibani wilayani Masasi kama kiongozi wa Chama (M/Mwenyekiti) halafu ndio anatambutishwa "Naomba kumtambutisha M/Mwenyekiti Chadema Mh. Tundu Lissu" sijui hali itakuwaje. Tukiacha Unafki, Lissu anamvuto wa kipekee na anakubarika sn kwa Watz walio wengi bila kujali chama. Mungu ibariki TanzaniaLissu atasababisha wengine wafe. Yaani akifika live msibani na aende mpaka masasi kama mwakilishi wa chama, mamaye watu watajinyea. Atakuwa ndiye mtu maarufu zaidi kuhudhuria msiba huo
Tumia akili wewe kwani mimi nina dhamana ya kufika siku hiyo?? kulingana na kesi zake.zinazoendelea mahakamani atachukuliwa kama mhalifu kwa mujibu wa sheria, au unajifanya hulijui hilo?? hakuna mwenye dhamana ya maisha ya mwenzake hata wewe unaweza ukafa kabla ya lissuUnampango wa kumfanya nini? Je likitokea la kutokea katikati yake, utaweza kukwepa hiyo dhamana?
Na wasafiiriwa wanaingia na kutoka Kama kawaida na wanasindikizwa na kupkelewa Kama kawaida.
Mbona hamjasimamisha michezo??? Mbona hamjafunga sehemu za starehe na watu wanaruka majoka kama kawaida ???
Au msiba wa Mkapa ni kwenye mapokezi ya Lissu tu?
Shame!!!
Nimeipenda barua hii.Hayo yamesewa na Mhe. Mnyika kupitia mtandao wa twitter.
Taafika kamili ya chama kwa umma:
View attachment 1517771
Maombolezo yana athirika vipi na kumpokea mtu wako umpendae? Mbona tunakuwa mabwege namna hiyo nchi hii?
Mtatumbia sasa tusiwapande wake zetu hata kama wako kwenye heat kwavile kumetangazwa maombolezo?