CCM inaendesha Nchi kishamba na kishetani mnoWhy kama mlijua hana makosa, mkamtesa kwa kumuweka rumande muda wote huo halafu mnakuja kumpa rushwa ya kumpa viti maalum ili kumfunga mdomo, kinyume na taratibu za chama chake..?? Corrupt system
CCM huendesha Nchi kishetani kwa kuwategemea wajinga iliowajaza hukoKwa taarifa yako hata huko unakokuamini wewe wanategemea wajinga
Njia pekee ya kujiokoa chadema ni kuwafukuza hao watumwa waliouzwa Bungeni kinyume na hapo chadema inafariki ghafraKatibu ndiye msemaji wa chama acha kuishi kwa mazoea hakuna jambo kubwa la chama kumzidi Katibu na hayo aliyoongea ndiyo yanayotakiwa huyo mwenyekiti angeongelea nini maana yeye hapeleki majina tume wala hasaini form za wabunge. Ameongea anayehusika moja kwa moja na mchana to wa uteuzi wa wabunge katika chama
Salum mwalimu ndiyo Kagoshi sahihi ya mnyika na bwana yake Esta matiko kuna upumbavu umefanyika hapo na huo ndiyo chanzo cha chadema kufariki moja kwa moja maana sasa ipo ICUNa hilo ndio la muhimu.
Ndio maana inaonekana kabisa kuna kiongozi wa CHADEMA amepeleka yale majina kwa Tume.
Mbowe alipaswa awepo, Salum Mwalimu alipaswa awepo pia.
Wamemuachia Mnyika kwa kuwa wanajua walichofanya. View attachment 1634539
Chama sio biashara binafsi. Huwezi kufukuza watu kwenye chama kwa kigezo cha hisia tu.
CHADEMA haina hoja ya kupinga matokeo ya Uchaguzi na kuzuia Wabunge kufanya kazi yao....
Amen na iwe hivyo ukasikie sauti ya Bwana ambayo ayaambia makanisa....Kuhusu Dr Bagonza sina neno juu yake mpakwa mafuta wa bwana... tulishaamriwa kuzitii mamlaka zote bila shurti😎😐
1 Samwel 24:6-7 "Akawaambia watu wake, Hasha! Nisimtendee bwana wangu, masihi wa BWANA, neno hili, kuunyosha mkono wangu juu yake, kwa maana yeye ni masihi wa BWANA. 7 Basi Daudi akawazuia watu wake kwa maneno hayo, asiwaruhusu kumshambulia Sauli"
Mbowe na Mnyika ni kitu kimoja. Kiongozi wa chama chochote kile cha siasa huwa anamteua katibu mkuu wanaeendana, ndio maana kila mwenyekiti mpya lazima aje na katibu mkuu mpya.Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.
Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.
Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.
1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.
2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.
3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.
Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.
hao waliovaa sare wamefanya makosa, labda ni mara yao ya kwanza hawajui taratibu!... ndio maana wazoefu wa bunge akina halima hawajavaa wanajua kanuni za bunge.Asante kwa kunielimisha. Mbona watatu wameapishwa wakiwa wamevaa sare za chama? Sidhani kama wasingewaapisha kama wangefaa sara za chama chao. Wangesema tu kwa sababu wako nje ya ukumbi basi huo utaratibu unalegezwa.
Amandla...
Njia pekee ya kuiokoa chadema isifariki ni kuwafukuza hao waganga njaaWanafukuzwa bila kujali jinsia yao kwakuwa wamejiteua wenyewe wanafukuzwa vizuri kabisa bora kuwa na chama cha watu wachache kuliko hao wanaopigania matumbo yao. Demokrasia ina Faida zaidi kuliko matumbo ya hao wachache. Wamejulikana kwa sababu ya chama hivo wao siyo wakubwa kuliko chama kuwa wataachwa wakiuke sheria na katiba ya chama
🤭Tumuulize Bwana yule anayemiliki nguzo zote tatuBila kwenda mahakamani?
Uzalendo gani huo? Kutwa kubambikiwa kesi kupigwa risasi uonevu kibao kisha useme kuna Uzalendo huko?Sasa wafuasi wa chadema tunapaswa tufahamu kuwa siasa sio chuki wala uadui...walicho kifanya mdee na wenzake kinadhibitisha umoja na upendo wa watanzania kwa nchi, huu ndio uzalendo.
Chadema imeonyesha mfano mzuri sasa ni wakati muafaka kwa ACT nao kuapa na kuingia ktk baraza la wawakilisha ili tuijenge znz.
Mkuu achana na mambo ya upande wa pili. Malizaneni kwanza. Imeisha hiyooooooooooooHili wala hutawaona Polisi wakiwatimua kikao sijui mkutano usio na kibali! Si wanamalizana wenyewe kwa wenyewe? Ndio furaha ya upande wa pili na vyombo vyao.
Ndiyo maana mnaitwa misukule ya Magufuli. Mnakuwa kama hamna ubongo. Ameelezea kwa kirefu na amesema hakuna kiongozi au kikao chochote kilichopitisha majina. Namna akili zenu zimelezwa na kusujudu kila mnapopita mbele ya Magufuli au kusimama attention anapotaja majina yenu.Mbowe hajakanusha kauli ya Mdee. Mnyika naye hajakanusha ushiriki wa Mbowe.
Intelligence mkuu, hapo serikali iliona viti maalum wa cdm wanataka kwenda kuapishwa, lakini Kuna mmoja atakosekana kwa sababu yupo mahabusu kwa sababu zisizoeleweka, serikali ikamtoa faster ili kuizima hiyo kiki yao waliokuwa wanataka kuitengenezaKama hakuna serikali hivi yule aliyekuwa mahabusu ilikuwaje akatolowa usiku maana utaratibu hata kama DPP hataki kuendelea na kesi huwa hiyo kauli inatolewa na Wakili wa serikali mbele ya hakimu sasa huko kutolewa kwa usiku kumekaaje...
Mwenyekiti yupo kipesa zaidi kuliko hizi sarakasi anazoleta Mnyika, Mbowe alishapiga pesa za Edo na alimchinjia baharini Dr Slaa.Umemaliza
Mnyika kawa peke yake hapa anatia huruma
Mbowe hawezi kukataa mpunga
Acha kiherehere cha unafiki wew mzee hayàkuhusuHii ni habari njema, kwa vile hakuna kikao chochote cha dharura cha Kamati Kuu, then kesho CC itakaa kati ya leo na kesho, hiyo keshokutwa ni kukabidhiwa barua zao za mashitaka mchakato wa nidhamu uanze. At least now Chadema wame grow up, wanafanya mambo yao kiutu uzima, kwa heshima, staha na kuzingatia taratibu na kanuni.
Big up Chadema.
P
NaamMnyika ni mteule lakini Halima Mdee ni Mchaguliwa.
So in short Mnyika ki uongozi ni mdogo kwa Mdee.
Mnyika ameajiliwa tu na anaweza kufukuzwa.