JOHN MNYIKA AMEMNTANTALIZE TUNDU LISSU.
Leo 22:05 hrs 25/11/2020
Nianze kwa kusema kuwa Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Chadema hawawezi kamwe kuendelea na mtu kama Tundu Lissu,huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi halafu unataka yawe ndo msimamo wa Chadema!?
Ijumaa tutajua kwamba gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na John Mnyika hata kama wakijiuzulu ni ndogo kuliko kuwavua uanachama Wanawake 19 walioapishwa na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na si hisani.
Kwa elimu ya Mdee na level yake chamani lazima awe na backup fulani kuongoza wamama 19 kuapa. Kihistoria Mnyika hana ubavu wa kumfanya lolote Mdee ndani ya CHADEMA nahisi kuna bomu kubwa linaenda kulipuka ijumaa kuigawa CHADEMA vipande vipande,Muda utaongea.
Chadema inabidi ing'olewe kutoka kwenye makucha ya viongozi wenye tamaa na wasio na maono kama Tundu Lissu na John Mnyika na kuiwekewa kwenye mikono ya wananchi kama taasisi. Mh. Aida Khenani Mbunge wa Nkasi, ameonyesha ukomavu wa kisiasa kuliko uongozi mzima wa Chadema ukiongozwa na John Mnyika.
John Mnyika chukua Madini haya,HALIMA J MDEE ni inner circle ya Chadema "asili' leo hii ndio Afukuzwe?!!!
Halima Mdee ndiye aliyewainspire wanawake wengi waliojiunga Chadema hasa Mabinti wa vyuo vikuu,yaani huyu Mdee atimuliwe Chadema simply?!!! Mnyika relax,take your time brother,
If you are smart Mnyika! There is something hidden by your Chairman ambacho labda hata wewe Mnyika haukijui ama unapretend kutokijua,lakini nikwambie Hallima Mdee anakijua😀 Wewe Mnyika endelea kuchoma mahindi,John Mrema where are you? Salum Mwalimu where are you? au kwa sababu kigogo kawataja mna wakeze😀 mmetulia tu mnasubiri upepo hadi Mwenyekiti Mbowe aongee😀
Sisi Wazee wa Leadership tulisomaga stage 10 za Communist Party of China, stage III ya the communist Party of China inaitwa "The art of political war",😀 Mnyika wakifika stage namba 3 lazima kuchemka😀
Stage III inasema :
a) Unatakiwa katika any political contest mshindani wako umpige sana achakae na adhalilike , na umwache hajitambui na hata kuomba msaada ashindwe kwa kuwa hajui anahitaji nini na afanye nini,( you have to strike hard and once to eliminate you leave him for dead, this must be beyond self examination )
b) Hata ikitokea amejikusanya kurudisha shambulizi,mashambulizi yake yawe hafifu mno kiasi hayawezi kuwa na madhara yakose shabaha na bila kulenga.
c) Lazima umwachie makovu makubwa (in his body politics and leadership) ambayo akitaka kuyatibu haraka basi makovu hayo yatamuuwa😀rudi shule bro Mnyika😀 unaweza kupigwa knock out round ya tatu.
Nimwambie John Mnyika ukiona jibwa lipo kwenye mti kileleni juu ujue kapandishwa na mwenyewe yupo chini na pengine mwenyewe uko nae,nimwambie John Mnyika hata aimbe agaregare chini hizo nafasi ni za wanawake,kama yeye Mwanamke basi aendelee kuzipinga,
Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master of Leadership and Management.
Recent Publication;
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.