Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Hiyo fomu haiwezi kujazwa gerezani?
Kwa interest ya nani hadi ijaziwe gerezani? Nani aliyehusika kumtoa huyo Nusrat gerezani usiku? Umesikia kiongozi yeyote wa CDM aliyehusika kumtoa huyo Nusrat? Utakumbuka ambavyo imekua ni vigumu kuwatoa wapinzani magerezani wanapokua wametuhumiwa na kuwekwa huko. Kwa nini kwa huyu kumekua na huu wepesi tena usiku?

Ukumbuke pia shauri lake lililomuweka huko ilikua lisikilizwe tarehe 25 lakini yeye katolewa gerezani tarehe 23 na kusafirishwa Dodoma kwenda kuapa tarehe 24 siku moja tu kabla ya siku ya kufika mahakamani kusikiliza shauri lake. Jiulize shauri lake limeishaje?
 
CHADEMA hapa wamewekwa mtu kati. Maamuzi yoyote ya kukurupuka yana kwenda kuimaliza Chadema.

Wakijaribu kuwafukuza hao wabunge basi wajue imekula kwao na ndio mwisho wa Chadema.

Maana Nfugai hatawafukuza bungeni. Hawa wadada wataendelea kuwa wabunge for the coming five years.

Bila kujali itakuwa hawana chama. Warejee bunge lililo pita.
Hapa inahitajika busara ya hali ya juu kufikia muafaka wa hili jambo.
 
Kwa uwezo wa akili yako hayo ndio uliyoyaona. Hali halisi nchi haikufanya chaguzi zozote.

Pili nchi sasa hivi hakuna sheria zinazofanya kazi kwa manufaa ya umma...
Ndugu yangu jazba imefunika hata uwezo wako mdogo wa kufikiri....umebaki kulalamika tu na kuelekeza shutuma Bila kujua ni Nani anastahili shutuma zako...Mdee na wenzake ni werevu na wajanja ...umemsioia Mdee anavyomponda Mnyika? Anasema alikuja Chadema na malapa na hawezi kushindana na heavy weights...Akina Mdee wameruhusiwa na Kamati Kuu ya Chadema...Kama hutaki hayo baki hivyo hivyo..
 
Ndio uwezo wako wa kufikiri Sina ushauri nikionacho hukioni. Nakuonesha mwezi wewe unaangalia kidole changu.
 
Maoni yangu kwa chadema ni kuwafuta uanachama wabunge wote waliofanya usaliti huu wa kihistoria, CHADEMA ni chama kikubwa zaidi ya hao wasaliti,,kinyume chake wanachama wengi watakosa imani na chama na kusababisha mpasuko hata kufa kwa chama .

Mytake;
Nasubiri tamko nijue chakufanya!!
Hongera ACT kwa msimamo mkuu.
 
Hiyo fomu haiwezi kujazwa gerezani?

Ha ha ha ha Yohana Mbatizaji katika ubora wako kabisa. Sasa umeanza kutufunulia miujiza na mazingaombwe!

Dah, ndio kwanza tunashuhudia katika Tanzania yetu hii mtuhumiwa wa ugaidi akipelekewa ubunge kwenye beseni akiwa gerezani! Endelea kutupa darasa maridhawa Mkubwa.[emoji38]
 
Hiyo audio nimeisikia, haimuhusu Mnyika wala hiyo ishu yao ya viti maalum. Kwenye audio Mdee anamsema Silinde.
 
Majina ya wanawake wa viti maalum huchakatwa mapema hata kabla ya uchaguzi mkuu. Hili ni swala la kisheria zaidi na mdee ni lawyer.
Kama ni hivyo mbona wanasema hakuna orodha iliyopelekwa kwa msajili? Basi makosa yalianzia hapo. Hawakutimiza takwa la kisheria.
 
we unawaona wanaakili hao? akili zao zimeshikiliwa na ******
 
Hiyo audio nimeisikia, haimuhusu Mnyika wala hiyo ishu yao ya viti maalum. Kwenye audio Mdee anamsema Silinde.
Sawa...ok...elewa hivyo hivyo....hainihusu ...mtaelewana wenyewe...whether ni ya Mnyika sijui silinde sijui wewe sijui Nani mtajuana wenyewe mnaopambana...bavicha wameshatoa tamko...tunaeubiri makundi mengine ya chadema mkiwamo myie wa mtandaoni...
 
Kujiuzulu kwa sababu ya makosa ya wengine ni kukosa utambuzi,,, yeye asimamie mamlaka yake basi na kuhakikisha utaratibu na sheria vinafuatwa! Huko ndiko kuonesha ukomavu wa kiongozi
Nadhani inapaswa kuwa hivyo katika uongozi. Inaitwa kuwajibishwa au kitu kama hicho (accountability ). Fuatilia habari za vifo vya wafungwa gerezani enzi hizo. Kuna kiongozi mkubwa kitaifa aliwajibika (alijiudhuru).
 
Chadema imebakiwa na masaa 24 ya uhai wake hadi kesho mchana. MkiwafutaHalima &co then; NO MORE NO LESS.Haahahah wanawake ni jeshi kubwa
 

Kwa hilo nalo mnaisingizia chama utawala? Kwani waliapa kwa kushikiwa bunduki? Si kwa hiari yao??
Tukikua tutaacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…