Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana.

Yafuatayo ni maelezo kwenye mkutano huo kuanzia mwanzo hadi mwisho pamoja na maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

PIA, SOMA=> Hatimaye Wabunge wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

=> Ester Matiko: Kama chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

============​

JOHN MREMA: Mbele yetu katibu mkuu wa chama, John John Mnyika akiwa na mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi na mahusiano ya mambo ya nje na msemaji mkuu kwa siku ya leo atakuwa katibu mkuu wa chama.

JOHN MNYIKA: Tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi ulioitwa uchaguzi mkuu ambapo mtakumbuka kati ya mambo yaliyofanyika ni hujuma za wazi za mfumo wa kiserikali ukihusisha tume ya Taifa ya uchaguzi kupika matokeo ya uchaguzi.

Chama cha demokrasia na maendeleo hakijateua wabunge wa viti maalum au wagombe ubunge viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum.

Kwa katiba ya CHADEMA, mamlaka ya uteuzi wa wabunge yapo kwa kamati kuu ya chama. Kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha kuteua majina ya wabunge wa viti maalum wakati wowote.

Pili katibu mkuu wa chama ambae ndie mwenye mamlaka ya kimawasiliano ya kuwasiliana na tume ya Taifa ya uchaguzi, katibu mkuu wa chama sijawahi kuwasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya wanaoitwa waliopendekezwa wabunge wa viti maalum.

Katibu mkuu wa chama sio tu anatakiwa apeleke orodha bali anatakiwa apeleke fomu namba 8(d) kwa kila aliyekuwepo kwenye orodha ikiwa imesainiwa na katibu mkuu. Tume ya Taifa ya uchaguzi ilituletea fomu hizi hapa(Anazonyesha) ili tukishateua kama tungeteua, tupeleke orodha ya majina 113 kwa ujumla tukiwa tumejaza hizi fomu.

Mimi kama katibu mkuu, hakuna fomu yoyote ya mtu yoyote niliyowahi kuijaza popote kuthibitisha uteuzi wa yoyote.

Mchakato huo wote haukufatwa, kwa hiyo kwa tafsiri nyepesi, kilichofanyika ni biashara haramu ya kughushi ambayo imehusisha mfumo wa kiserikali, tume ya Taifa ya uchaguzi na kwakweli niseme vilevile imehusisha hao waliokwenda kuapa bila ridhaa ya chama na bila baraka za chama na bila kupishwa kwa mamlaka halali za chama.

Chama inabidi kichukue hatua, katiba yetu inasema hatua zozote zisichukuliwe bila ya wahusika kuitwa, kujieleza. Sasa kwa kuwa hili jambo ni la dharula, chama kitatumia utaratibu wa dharula katika kushughulika na jambo hili na tutaongozwa na kanuni za chama.

Kwa kuwa mamlaka ya jambo hili ni kamati kuu ya chama, naomba kuwatangazi kwamba tumeitisha kikao cha kamati kuu ya chama maalum, kitafanyika siku ya Ijumaa tarehe 27 hapa jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kuwa tutawaandikia wahusika, ili kusitokee kisingizio kwa yeyote kwamba hakuitwa, hakupata taarifa ya kuitwa naomba kutangaza 'Public notice' kupitia vyombo vya habari kwa wanachama wetu 19 walioshiriki kwenda kula kiapo jana tarehe 24 kufika makao makuu ya chama bila kukosa.

Kuna tukio la mwanachama wetu ambae ni kiongozi wa baraza la baraza la vijana la CHADEMA, Nusrat Hanje ambae amesota ndani kwa kesi ya kubambikiziwa kwa siku 133 akiwa mahabusu na leo tarehe 25 mahakama kuu ndio ilikuwa inakutana kutoa uamuzi juu ya rufaa ambayo amekata baada ya kusota ndani kwa muda mrefu.

Kituko kinachoashiria mfumo kuhusika katika huu mchezo, tarehe 23 usiku alikwenda kutolewa gerezani ili kesho yake apelekwe kuapa na alitolewa na mfumo bila hata kuzingatia masharti ya kisheria. Tunashkuru kwamba mwanachama wetu na kiongozi wetu ametoka baada ya kusota ndani kwa muda mrefu lakini mfumo ulimtoa ili kutekeleza malengo yao.

Sasa Ndugai amesema alipelekewa majina tarehe 20 Novemba na tume, Nusrat Hanje alietolewa gerezani tarehe 23 Novemba, uteuzi wa tume unasema umefanyika tarehe 20, fomu yake aliijaza lini, hakimu aliemuapisha alikuwa wapi kabla ya tarehe 20 tume ilipomteua mambo ambayo yanadhihirisha wazi kwamba hili jambo ni kazi ya mfumo.

Lengo la wazi la mfumo ni kutaka kufifisha ajenda ya kwamba Tanzania ilifanya uchaguzi haramu tarehe 28 Oktoba ulioitwa uchafuzi wakati umma ukishinikiza, jamii ya kimataifa ikishinikiza, bunge likionekana la chama kimoja ili kujaribu kulipa uhalali serikali ya illegitimate president Magufuli ikaamua kushiriki huu mchezo haramu wa kuhusisha tume, spika wa bunge na hatimaye tumefika hapa tulipofika.

Nitoe rai kwa watanzania, jambo hili lisitutoe watanzania kwenye mjadala mkubwa na muhimu zaidi kwamba tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi na kwamba sisi tunataka uchaguzi ufanyika upya chini ya tume huru ya uchaguzi.

Sisi tunaotaka hilo tunatengenezewa mazingira ya mjadala kuhama, umma wa watanzania usikubali kuingizwa kwenye mtego wa dola wa kuhamisha mjadala na kufifisha hasira za wananchi.

Kauli iliyotolewa jana wakati wa kuapishwa iliyotaka kujenga ishara kama mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe alihalalisha hili linaloendelea, hii kauli sio ya kweli na mwenyekiti wa chama ndie atakaeongoza kikao cha kamati kuu ya chama kitakachofanyika tarehe 27.

MASWALI NA MAJIBU

MWANDISHI(Halifa-Mwandishi wa kujitegemea):
Swali la kwanza kwa Mnyika, unadhani hili suala litaiacha vipi CHADEMA kama chama kwa sababu kuna hofu, ukizingatia watu walioenda bungeni kuapishwa, kina Mdee, Ester Matiko ni watu wakubwa kwenye chama, unadhani litakiacha chama salama?

Swali la pili, umesema hili suala limetengenezwa na mfumo kwamba kuna hujuma flani unadhani CHADEMA kinafanyiwa, katika mazingira kama hayo unadhani CHADEMA kinapaswa kuchukua hatua gani? Mnakabiliana nalo vipi suala la mfumo kujaribu kuhujumu chama chenu ili kuepusha matukio kama hayo kujirudia siku za mbeleni.

JOHN-Dar Mpya: Swali la kwanza, katibu mkuu umesema sakata zima hili la kuwaapisha kina Halima limekuwa 'engineered' na dola lakini kuna taarifa ambazo mimi binafsi nnazo kwamba majina haya, mchakato mzima huu wa maandalizi ulifanyika ndani ya ofisi ya katibu mkuu aidha ni wewe au wasaidizi wako. Kama kiongozi nilitegemea utaweka pia 'doubt' kwamba dola haiwezi kulikamilisha jambo hili bila kushirikiana na viongozi ndani ya chama maana yake wewe kwenye uongozi mzima wa chama haujaonyesha hata mashaka yoyote yale kwamba inawezekana dola imesaidiwa na either watu ndani ya ofisi yako au ndani ya CHADEMA kwa sababu wewe umejaribu kutuonyesha fomu hapo kwamba fomu za tume umekadhibiwa katibu mkuu lakini what If mtu anajenga hoja kwamba ya msaidizi wako alipitia mlango wa nyuma alienda akazichukua hizo fomu ofisi ya tume akaja akazisaini kwa niaba ya katibu mkuu kwa sababu unavyosema saini ni ya katibu mkuu inatakiwa, what if kuna barua ambazo chama kimekuwa kikifanya mawasiliano na tume kupitia naibu katibu mkuu

Swali la pili, uasi na usaliti ndani ya CHADEMA, hawa watu walioenda kuapa ni viongozi wakubwa ndani ya CHADEMA, mimi naona jambo hili hawa watu hawawezi kuwa wamekwenda bila 'top management' kuwa nyuma yao. Hii 'courage' na 'doubt' yangu inaweza kuwa inasapotiwa na kauli ya Halima jana kwamba alimtaja mwenyekiti, unazungumziaje level ya uasi huu?

REGINA-Mwanahalisi: Kilichofanywa na kina Halima Mdee ndio hichi hicho kilichofanywa na mbunge Aida Khenan lakini hapo katibu mkuu amesema wanaopaswa kuja siku ya Ijumaa ni hao wabunge 19 walioapa jana, vipi kuhusu Aida?
Hatarii na nusu
 
Hivi uongo utawasaidia nini?
1. Mtendaji Mkuu wa Chama ni Katibu Mkuu kwa hivyo ni wajibu wake kutoa matamko nyeti yanayohusu chama chake. Yeye ndie aliyepaswa kuandika barua za utambulisho na sio Mwenyekiti.
2. Hamna mahali Halima aliko mtaja Mbowe kama mtoa baraka. Mbowe ametajwa kama Mwenyekiti wa chama kilichowafikisha walipofika.
3. Sio lazima aongee yeye kila wakati. Kila chama kina utaratibu wake.

Amandla....
Sheria inayosema lazima katibu mkuu ndie aandike barua sio mwenyekiti weka kifungu cha hiyo sheria hapa A-ha porojo
 
Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana.

Yafuatayo ni maelezo kwenye mkutano huo
kuanzia mwanzo hadi mwisho pamoja na maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

PIA, SOMA=> Hatimaye Wabunge wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

=> Ester Matiko: Kama chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

============​

JOHN MREMA: Mbele yetu katibu mkuu wa chama, John John Mnyika akiwa na mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi na mahusiano ya mambo ya nje na msemaji mkuu kwa siku ya leo atakuwa katibu mkuu wa chama.

JOHN MNYIKA: Tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi ulioitwa uchaguzi mkuu ambapo mtakumbuka kati ya mambo yaliyofanyika ni hujuma za wazi za mfumo wa kiserikali ukihusisha tume ya Taifa ya uchaguzi kupika matokeo ya uchaguzi.

Chama cha demokrasia na maendeleo hakijateua wabunge wa viti maalum au wagombe ubunge viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum.

Kwa katiba ya CHADEMA, mamlaka ya uteuzi wa wabunge yapo kwa kamati kuu ya chama. Kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha kuteua majina ya wabunge wa viti maalum wakati wowote.

Pili katibu mkuu wa chama ambae ndie mwenye mamlaka ya kimawasiliano ya kuwasiliana na tume ya Taifa ya uchaguzi, katibu mkuu wa chama sijawahi kuwasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya wanaoitwa waliopendekezwa wabunge wa viti maalum.

Katibu mkuu wa chama sio tu anatakiwa apeleke orodha bali anatakiwa apeleke fomu namba 8(d) kwa kila aliyekuwepo kwenye orodha ikiwa imesainiwa na katibu mkuu. Tume ya Taifa ya uchaguzi ilituletea fomu hizi hapa(Anazonyesha) ili tukishateua kama tungeteua, tupeleke orodha ya majina 113 kwa ujumla tukiwa tumejaza hizi fomu.

Mimi kama katibu mkuu, hakuna fomu yoyote ya mtu yoyote niliyowahi kuijaza popote kuthibitisha uteuzi wa yoyote.

Mchakato huo wote haukufatwa, kwa hiyo kwa tafsiri nyepesi, kilichofanyika ni biashara haramu ya kughushi ambayo imehusisha mfumo wa kiserikali, tume ya Taifa ya uchaguzi na kwakweli niseme vilevile imehusisha hao waliokwenda kuapa bila ridhaa ya chama na bila baraka za chama na bila kupishwa kwa mamlaka halali za chama.

Chama inabidi kichukue hatua, katiba yetu inasema hatua zozote zisichukuliwe bila ya wahusika kuitwa, kujieleza. Sasa kwa kuwa hili jambo ni la dharula, chama kitatumia utaratibu wa dharula katika kushughulika na jambo hili na tutaongozwa na kanuni za chama.

Kwa kuwa mamlaka ya jambo hili ni kamati kuu ya chama, naomba kuwatangazi kwamba tumeitisha kikao cha kamati kuu ya chama maalum, kitafanyika siku ya Ijumaa tarehe 27 hapa jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kuwa tutawaandikia wahusika, ili kusitokee kisingizio kwa yeyote kwamba hakuitwa, hakupata taarifa ya kuitwa naomba kutangaza 'Public notice' kupitia vyombo vya habari kwa wanachama wetu 19 walioshiriki kwenda kula kiapo jana tarehe 24 kufika makao makuu ya chama bila kukosa.

Kuna tukio la mwanachama wetu ambae ni kiongozi wa baraza la baraza la vijana la CHADEMA, Nusrat Hanje ambae amesota ndani kwa kesi ya kubambikiziwa kwa siku 133 akiwa mahabusu na leo tarehe 25 mahakama kuu ndio ilikuwa inakutana kutoa uamuzi juu ya rufaa ambayo amekata baada ya kusota ndani kwa muda mrefu.

Kituko kinachoashiria mfumo kuhusika katika huu mchezo, tarehe 23 usiku alikwenda kutolewa gerezani ili kesho yake apelekwe kuapa na alitolewa na mfumo bila hata kuzingatia masharti ya kisheria. Tunashkuru kwamba mwanachama wetu na kiongozi wetu ametoka baada ya kusota ndani kwa muda mrefu lakini mfumo ulimtoa ili kutekeleza malengo yao.

Sasa Ndugai amesema alipelekewa majina tarehe 20 Novemba na tume, Nusrat Hanje alietolewa gerezani tarehe 23 Novemba, uteuzi wa tume unasema umefanyika tarehe 20, fomu yake aliijaza lini, hakimu aliemuapisha alikuwa wapi kabla ya tarehe 20 tume ilipomteua mambo ambayo yanadhihirisha wazi kwamba hili jambo ni kazi ya mfumo.

Lengo la wazi la mfumo ni kutaka kufifisha ajenda ya kwamba Tanzania ilifanya uchaguzi haramu tarehe 28 Oktoba ulioitwa uchafuzi wakati umma ukishinikiza, jamii ya kimataifa ikishinikiza, bunge likionekana la chama kimoja ili kujaribu kulipa uhalali serikali ya illegitimate president Magufuli ikaamua kushiriki huu mchezo haramu wa kuhusisha tume, spika wa bunge na hatimaye tumefika hapa tulipofika.

Nitoe rai kwa watanzania, jambo hili lisitutoe watanzania kwenye mjadala mkubwa na muhimu zaidi kwamba tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi na kwamba sisi tunataka uchaguzi ufanyika upya chini ya tume huru ya uchaguzi.

Sisi tunaotaka hilo tunatengenezewa mazingira ya mjadala kuhama, umma wa watanzania usikubali kuingizwa kwenye mtego wa dola wa kuhamisha mjadala na kufifisha hasira za wananchi.

Kauli iliyotolewa jana wakati wa kuapishwa iliyotaka kujenga ishara kama mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe alihalalisha hili linaloendelea, hii kauli sio ya kweli na mwenyekiti wa chama ndie atakaeongoza kikao cha kamati kuu ya chama kitakachofanyika tarehe 27.

MASWALI NA MAJIBU

MWANDISHI(Halifa-Mwandishi wa kujitegemea):
Swali la kwanza kwa Mnyika, unadhani hili suala litaiacha vipi CHADEMA kama chama kwa sababu kuna hofu, ukizingatia watu walioenda bungeni kuapishwa, kina Mdee, Ester Matiko ni watu wakubwa kwenye chama, unadhani litakiacha chama salama?

Swali la pili, umesema hili suala limetengenezwa na mfumo kwamba kuna hujuma flani unadhani CHADEMA kinafanyiwa, katika mazingira kama hayo unadhani CHADEMA kinapaswa kuchukua hatua gani? Mnakabiliana nalo vipi suala la mfumo kujaribu kuhujumu chama chenu ili kuepusha matukio kama hayo kujirudia siku za mbeleni.

JOHN-Dar Mpya: Swali la kwanza, katibu mkuu umesema sakata zima hili la kuwaapisha kina Halima limekuwa 'engineered' na dola lakini kuna taarifa ambazo mimi binafsi nnazo kwamba majina haya, mchakato mzima huu wa maandalizi ulifanyika ndani ya ofisi ya katibu mkuu aidha ni wewe au wasaidizi wako. Kama kiongozi nilitegemea utaweka pia 'doubt' kwamba dola haiwezi kulikamilisha jambo hili bila kushirikiana na viongozi ndani ya chama maana yake wewe kwenye uongozi mzima wa chama haujaonyesha hata mashaka yoyote yale kwamba inawezekana dola imesaidiwa na either watu ndani ya ofisi yako au ndani ya CHADEMA kwa sababu wewe umejaribu kutuonyesha fomu hapo kwamba fomu za tume umekadhibiwa katibu mkuu lakini what If mtu anajenga hoja kwamba ya msaidizi wako alipitia mlango wa nyuma alienda akazichukua hizo fomu ofisi ya tume akaja akazisaini kwa niaba ya katibu mkuu kwa sababu unavyosema saini ni ya katibu mkuu inatakiwa, what if kuna barua ambazo chama kimekuwa kikifanya mawasiliano na tume kupitia naibu katibu mkuu

Swali la pili, uasi na usaliti ndani ya CHADEMA, hawa watu walioenda kuapa ni viongozi wakubwa ndani ya CHADEMA, mimi naona jambo hili hawa watu hawawezi kuwa wamekwenda bila 'top management' kuwa nyuma yao. Hii 'courage' na 'doubt' yangu inaweza kuwa inasapotiwa na kauli ya Halima jana kwamba alimtaja mwenyekiti, unazungumziaje level ya uasi huu?

REGINA-Mwanahalisi: Kilichofanywa na kina Halima Mdee ndio hichi hicho kilichofanywa na mbunge Aida Khenan lakini hapo katibu mkuu amesema wanaopaswa kuja siku ya Ijumaa ni hao wabunge 19 walioapa jana, vipi kuhusu Aida?
2015 walimpooza lipumba akapoaaa weee,
tripu hii wamewapooza kina halima na mbowe wakamsahau mnyika, sasa analala mika tu, ka vipi naye wampe kipoozeo atulie. Tatizo la siasa za bongo kila mwanasiasa anatanguliza mbele kwanza maslahi yake binafsi awe mpinzani, awe chama tawala.
 
Huu mchezo nia yake, kwa kauli ya Mnyika (Katibu Mkuu), ni kuilaumu Serikali kama ambavyo wamekuwa wakilaumu Madiwani na Wabunge wakihama.

Kama watawafukuza, kitendo ambacho sitegemei, nguvu ya wanawake itakiua chama, kwa maana kuwa wanawake kwenye chama wanawadharaulika.
Sasa angemlaumu nani mkuu ilihali katiba imevunjwa? Yaani unaapishaje wabunge ambao hawajapitishwa na kamati kuu? Huyo Nusrat alijaza lini hizo fomu na kula kiapo cha jaji?

Mkuu Kma Dr Slaa na Zitto waliondoka na CHADEMA haikufa Aisee hta watimuliwe kamati kuu nzima chama kitasimama tu. Baada ya wabunge wote wale kusepa ulitarajia kampeni zingekua za mafanikio vile?

CHADEMA is bigger than individuals who r opportunistic
 
Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana.

Yafuatayo ni maelezo kwenye mkutano huo kuanzia mwanzo hadi mwisho pamoja na maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

PIA, SOMA=> Hatimaye Wabunge wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

=> Ester Matiko: Kama chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

============​

JOHN MREMA: Mbele yetu katibu mkuu wa chama, John John Mnyika akiwa na mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi na mahusiano ya mambo ya nje na msemaji mkuu kwa siku ya leo atakuwa katibu mkuu wa chama.

JOHN MNYIKA: Tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi ulioitwa uchaguzi mkuu ambapo mtakumbuka kati ya mambo yaliyofanyika ni hujuma za wazi za mfumo wa kiserikali ukihusisha tume ya Taifa ya uchaguzi kupika matokeo ya uchaguzi.

Chama cha demokrasia na maendeleo hakijateua wabunge wa viti maalum au wagombe ubunge viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum.

Kwa katiba ya CHADEMA, mamlaka ya uteuzi wa wabunge yapo kwa kamati kuu ya chama. Kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha kuteua majina ya wabunge wa viti maalum wakati wowote.

Pili katibu mkuu wa chama ambae ndie mwenye mamlaka ya kimawasiliano ya kuwasiliana na tume ya Taifa ya uchaguzi, katibu mkuu wa chama sijawahi kuwasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya wanaoitwa waliopendekezwa wabunge wa viti maalum.

Katibu mkuu wa chama sio tu anatakiwa apeleke orodha bali anatakiwa apeleke fomu namba 8(d) kwa kila aliyekuwepo kwenye orodha ikiwa imesainiwa na katibu mkuu. Tume ya Taifa ya uchaguzi ilituletea fomu hizi hapa(Anazonyesha) ili tukishateua kama tungeteua, tupeleke orodha ya majina 113 kwa ujumla tukiwa tumejaza hizi fomu.

Mimi kama katibu mkuu, hakuna fomu yoyote ya mtu yoyote niliyowahi kuijaza popote kuthibitisha uteuzi wa yoyote.

Mchakato huo wote haukufatwa, kwa hiyo kwa tafsiri nyepesi, kilichofanyika ni biashara haramu ya kughushi ambayo imehusisha mfumo wa kiserikali, tume ya Taifa ya uchaguzi na kwakweli niseme vilevile imehusisha hao waliokwenda kuapa bila ridhaa ya chama na bila baraka za chama na bila kupishwa kwa mamlaka halali za chama.

Chama inabidi kichukue hatua, katiba yetu inasema hatua zozote zisichukuliwe bila ya wahusika kuitwa, kujieleza. Sasa kwa kuwa hili jambo ni la dharula, chama kitatumia utaratibu wa dharula katika kushughulika na jambo hili na tutaongozwa na kanuni za chama.

Kwa kuwa mamlaka ya jambo hili ni kamati kuu ya chama, naomba kuwatangazi kwamba tumeitisha kikao cha kamati kuu ya chama maalum, kitafanyika siku ya Ijumaa tarehe 27 hapa jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kuwa tutawaandikia wahusika, ili kusitokee kisingizio kwa yeyote kwamba hakuitwa, hakupata taarifa ya kuitwa naomba kutangaza 'Public notice' kupitia vyombo vya habari kwa wanachama wetu 19 walioshiriki kwenda kula kiapo jana tarehe 24 kufika makao makuu ya chama bila kukosa.

Kuna tukio la mwanachama wetu ambae ni kiongozi wa baraza la baraza la vijana la CHADEMA, Nusrat Hanje ambae amesota ndani kwa kesi ya kubambikiziwa kwa siku 133 akiwa mahabusu na leo tarehe 25 mahakama kuu ndio ilikuwa inakutana kutoa uamuzi juu ya rufaa ambayo amekata baada ya kusota ndani kwa muda mrefu.

Kituko kinachoashiria mfumo kuhusika katika huu mchezo, tarehe 23 usiku alikwenda kutolewa gerezani ili kesho yake apelekwe kuapa na alitolewa na mfumo bila hata kuzingatia masharti ya kisheria. Tunashkuru kwamba mwanachama wetu na kiongozi wetu ametoka baada ya kusota ndani kwa muda mrefu lakini mfumo ulimtoa ili kutekeleza malengo yao.

Sasa Ndugai amesema alipelekewa majina tarehe 20 Novemba na tume, Nusrat Hanje alietolewa gerezani tarehe 23 Novemba, uteuzi wa tume unasema umefanyika tarehe 20, fomu yake aliijaza lini, hakimu aliemuapisha alikuwa wapi kabla ya tarehe 20 tume ilipomteua mambo ambayo yanadhihirisha wazi kwamba hili jambo ni kazi ya mfumo.

Lengo la wazi la mfumo ni kutaka kufifisha ajenda ya kwamba Tanzania ilifanya uchaguzi haramu tarehe 28 Oktoba ulioitwa uchafuzi wakati umma ukishinikiza, jamii ya kimataifa ikishinikiza, bunge likionekana la chama kimoja ili kujaribu kulipa uhalali serikali ya illegitimate president Magufuli ikaamua kushiriki huu mchezo haramu wa kuhusisha tume, spika wa bunge na hatimaye tumefika hapa tulipofika.

Nitoe rai kwa watanzania, jambo hili lisitutoe watanzania kwenye mjadala mkubwa na muhimu zaidi kwamba tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi na kwamba sisi tunataka uchaguzi ufanyika upya chini ya tume huru ya uchaguzi.

Sisi tunaotaka hilo tunatengenezewa mazingira ya mjadala kuhama, umma wa watanzania usikubali kuingizwa kwenye mtego wa dola wa kuhamisha mjadala na kufifisha hasira za wananchi.

Kauli iliyotolewa jana wakati wa kuapishwa iliyotaka kujenga ishara kama mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe alihalalisha hili linaloendelea, hii kauli sio ya kweli na mwenyekiti wa chama ndie atakaeongoza kikao cha kamati kuu ya chama kitakachofanyika tarehe 27.

MASWALI NA MAJIBU

MWANDISHI(Halifa-Mwandishi wa kujitegemea):
Swali la kwanza kwa Mnyika, unadhani hili suala litaiacha vipi CHADEMA kama chama kwa sababu kuna hofu, ukizingatia watu walioenda bungeni kuapishwa, kina Mdee, Ester Matiko ni watu wakubwa kwenye chama, unadhani litakiacha chama salama?

Swali la pili, umesema hili suala limetengenezwa na mfumo kwamba kuna hujuma flani unadhani CHADEMA kinafanyiwa, katika mazingira kama hayo unadhani CHADEMA kinapaswa kuchukua hatua gani? Mnakabiliana nalo vipi suala la mfumo kujaribu kuhujumu chama chenu ili kuepusha matukio kama hayo kujirudia siku za mbeleni.

JOHN-Dar Mpya: Swali la kwanza, katibu mkuu umesema sakata zima hili la kuwaapisha kina Halima limekuwa 'engineered' na dola lakini kuna taarifa ambazo mimi binafsi nnazo kwamba majina haya, mchakato mzima huu wa maandalizi ulifanyika ndani ya ofisi ya katibu mkuu aidha ni wewe au wasaidizi wako. Kama kiongozi nilitegemea utaweka pia 'doubt' kwamba dola haiwezi kulikamilisha jambo hili bila kushirikiana na viongozi ndani ya chama maana yake wewe kwenye uongozi mzima wa chama haujaonyesha hata mashaka yoyote yale kwamba inawezekana dola imesaidiwa na either watu ndani ya ofisi yako au ndani ya CHADEMA kwa sababu wewe umejaribu kutuonyesha fomu hapo kwamba fomu za tume umekadhibiwa katibu mkuu lakini what If mtu anajenga hoja kwamba ya msaidizi wako alipitia mlango wa nyuma alienda akazichukua hizo fomu ofisi ya tume akaja akazisaini kwa niaba ya katibu mkuu kwa sababu unavyosema saini ni ya katibu mkuu inatakiwa, what if kuna barua ambazo chama kimekuwa kikifanya mawasiliano na tume kupitia naibu katibu mkuu

Swali la pili, uasi na usaliti ndani ya CHADEMA, hawa watu walioenda kuapa ni viongozi wakubwa ndani ya CHADEMA, mimi naona jambo hili hawa watu hawawezi kuwa wamekwenda bila 'top management' kuwa nyuma yao. Hii 'courage' na 'doubt' yangu inaweza kuwa inasapotiwa na kauli ya Halima jana kwamba alimtaja mwenyekiti, unazungumziaje level ya uasi huu?

REGINA-Mwanahalisi: Kilichofanywa na kina Halima Mdee ndio hichi hicho kilichofanywa na mbunge Aida Khenan lakini hapo katibu mkuu amesema wanaopaswa kuja siku ya Ijumaa ni hao wabunge 19 walioapa jana, vipi kuhusu Aida?
Yap. Let's wait to see. Govt. machinery in action. Who wins eventually - Govt or the wiping majority?
 
Mdee mbona jana kasema vzuri tu kuwa wana baraka kutoka kwa mwenyekiti?

Baraka zinatoka kwa Katibu ndiyo anayesaini form Na. 8D sasa huyo Mwenyekiti alitoa baraka kwa document gani ambayo haitambuliki kisheria au alimpa baraka kwa simu
 
Wananchi ndiyo wanachagua wewe ni nani wakusema CDM haitapata mbunge. Yaani nyie ndiyo maana mwenzenu alisema Lukuvi hawezi kuwa Rais kuna watu wanaamini wao ndo wanaamuwa nani awe Rais wa nchi siyo wapiga kura huu ni ugonjwa mbaya sana ukiugua
Ww itakuwa unaishi ulaya na sio Tanzania

Jina la Rais ajae wa Tanzania kupitia ccm anachagua magufuli kwa taarifa yako
 
Mh. Mbowe hawezi kufanya ujinga wa kitoto namna hii... !! Hawezi kubariki mambo nje ya vikao halali vya chama.
 
Mkuu, Return Of Undertaker,

Mshauri KM JJMnyika "..SUMU Haionjwi kwa KULAMBA...", you will be immediately poisoned and subsequent death chapter closeup.

Mnyika huna nguvu yoyote ya kunullify kilichotokea unless if you are prepared to be scrapped off from the executive position you are currently holding.

Kwanza kinachowafanya msusie na kutotambua matokeo ya uchaguzi hatimaye uhalali wa viti maalum ni unafiki and the lesson shall instill textual understanding that politics is a game of dynamic psychosis.

Mlidai mtatolea leo ufafanuzi wa wa kilichotokea badala yake unaendekeza ngojera za alinacha.

We hujuwi unachoongea, CDM iko sahihi hao wahuni wanashugulikiwa na huo uchafuzi hauwezi kutambuliwa na CDM ambayo inaamini katika demokrasia ya kweli. Fanyeni mbinu zote lakini hili dudu la CDM hamliwezi, hiki chama Nyerere alikiri kuwa ni chama sahihi chenye malengo sahihi ya siasa. Yeyote anayepambana na CDM anapoteza muda wake tu
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.

Kuna uwezekano mkubwa na Mnyika amepewa pesa,na anafanya analofanya kuwahadaa wafuasi wa Chadema.
Pia kuna uwezekano mkubwa Mnyika alikua anatumia nafasi aliyonayo kuwahadaa wanawake ili wamuhonge apitishe majina yao.
Kama yote sio sahihi basi tulitegemea Mnyika ajiuzulu
 
Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.

Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.

Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.

1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.

2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.

3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.

Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.
Upuuzi mtupu....kwa hyo wew shida yako ni Mbowe tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unafikiri kina Halima ni wajinga?

Kina Lijuakali waliporudi bungeni baada ya kina Mbowe kugomea bunge kisa corona mbona walifukuzwa bila kuitwa? Alafu hawa wanabembelezwa tena wamewekewa na tarehe ya mbali ili wapate muda wa kujiandaa unafikir ni kwanini?

Kwa taarifa yako hayo yote yliyofanyika yana baraka zote za Mbowe, na baada ya tarehe 27 utajiona mjinga sana.
Na hata Mnyika anajua ila wana buy time ili nyie wajinga msivurugike mazima.
sifikirii kuwa kina mdee ni wajinga, bali nina uhakika ni wajinga.

Inshort mataga huu mtarimbo wa wasaliti umewaganda mnahaha lakini ndiyo hivyo tena tarehe 27 November wanavuliwa uanachama kwa kosa la uasi wanabaki kama wabunge wa mataga.
 
"Kigogo" alionya na k
Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana.

Yafuatayo ni maelezo kwenye mkutano huo kuanzia mwanzo hadi mwisho pamoja na maswali kutoka kwa waandishi wa habari.

PIA, SOMA=> Hatimaye Wabunge wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

=> Ester Matiko: Kama chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

============​

JOHN MREMA: Mbele yetu katibu mkuu wa chama, John John Mnyika akiwa na mkurugenzi wa Itikadi, Uenezi na mahusiano ya mambo ya nje na msemaji mkuu kwa siku ya leo atakuwa katibu mkuu wa chama.

JOHN MNYIKA: Tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi ulioitwa uchaguzi mkuu ambapo mtakumbuka kati ya mambo yaliyofanyika ni hujuma za wazi za mfumo wa kiserikali ukihusisha tume ya Taifa ya uchaguzi kupika matokeo ya uchaguzi.

Chama cha demokrasia na maendeleo hakijateua wabunge wa viti maalum au wagombe ubunge viti maalum wala hakijawasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya uteuzi wa wabunge wa viti maalum.

Kwa katiba ya CHADEMA, mamlaka ya uteuzi wa wabunge yapo kwa kamati kuu ya chama. Kamati kuu ya chama haijawahi kufanya kikao cha kuteua majina ya wabunge wa viti maalum wakati wowote.

Pili katibu mkuu wa chama ambae ndie mwenye mamlaka ya kimawasiliano ya kuwasiliana na tume ya Taifa ya uchaguzi, katibu mkuu wa chama sijawahi kuwasilisha orodha yoyote tume ya Taifa ya uchaguzi ya wanaoitwa waliopendekezwa wabunge wa viti maalum.

Katibu mkuu wa chama sio tu anatakiwa apeleke orodha bali anatakiwa apeleke fomu namba 8(d) kwa kila aliyekuwepo kwenye orodha ikiwa imesainiwa na katibu mkuu. Tume ya Taifa ya uchaguzi ilituletea fomu hizi hapa(Anazonyesha) ili tukishateua kama tungeteua, tupeleke orodha ya majina 113 kwa ujumla tukiwa tumejaza hizi fomu.

Mimi kama katibu mkuu, hakuna fomu yoyote ya mtu yoyote niliyowahi kuijaza popote kuthibitisha uteuzi wa yoyote.

Mchakato huo wote haukufatwa, kwa hiyo kwa tafsiri nyepesi, kilichofanyika ni biashara haramu ya kughushi ambayo imehusisha mfumo wa kiserikali, tume ya Taifa ya uchaguzi na kwakweli niseme vilevile imehusisha hao waliokwenda kuapa bila ridhaa ya chama na bila baraka za chama na bila kupishwa kwa mamlaka halali za chama.

Chama inabidi kichukue hatua, katiba yetu inasema hatua zozote zisichukuliwe bila ya wahusika kuitwa, kujieleza. Sasa kwa kuwa hili jambo ni la dharula, chama kitatumia utaratibu wa dharula katika kushughulika na jambo hili na tutaongozwa na kanuni za chama.

Kwa kuwa mamlaka ya jambo hili ni kamati kuu ya chama, naomba kuwatangazi kwamba tumeitisha kikao cha kamati kuu ya chama maalum, kitafanyika siku ya Ijumaa tarehe 27 hapa jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kuwa tutawaandikia wahusika, ili kusitokee kisingizio kwa yeyote kwamba hakuitwa, hakupata taarifa ya kuitwa naomba kutangaza 'Public notice' kupitia vyombo vya habari kwa wanachama wetu 19 walioshiriki kwenda kula kiapo jana tarehe 24 kufika makao makuu ya chama bila kukosa.

Kuna tukio la mwanachama wetu ambae ni kiongozi wa baraza la baraza la vijana la CHADEMA, Nusrat Hanje ambae amesota ndani kwa kesi ya kubambikiziwa kwa siku 133 akiwa mahabusu na leo tarehe 25 mahakama kuu ndio ilikuwa inakutana kutoa uamuzi juu ya rufaa ambayo amekata baada ya kusota ndani kwa muda mrefu.

Kituko kinachoashiria mfumo kuhusika katika huu mchezo, tarehe 23 usiku alikwenda kutolewa gerezani ili kesho yake apelekwe kuapa na alitolewa na mfumo bila hata kuzingatia masharti ya kisheria. Tunashkuru kwamba mwanachama wetu na kiongozi wetu ametoka baada ya kusota ndani kwa muda mrefu lakini mfumo ulimtoa ili kutekeleza malengo yao.

Sasa Ndugai amesema alipelekewa majina tarehe 20 Novemba na tume, Nusrat Hanje alietolewa gerezani tarehe 23 Novemba, uteuzi wa tume unasema umefanyika tarehe 20, fomu yake aliijaza lini, hakimu aliemuapisha alikuwa wapi kabla ya tarehe 20 tume ilipomteua mambo ambayo yanadhihirisha wazi kwamba hili jambo ni kazi ya mfumo.

Lengo la wazi la mfumo ni kutaka kufifisha ajenda ya kwamba Tanzania ilifanya uchaguzi haramu tarehe 28 Oktoba ulioitwa uchafuzi wakati umma ukishinikiza, jamii ya kimataifa ikishinikiza, bunge likionekana la chama kimoja ili kujaribu kulipa uhalali serikali ya illegitimate president Magufuli ikaamua kushiriki huu mchezo haramu wa kuhusisha tume, spika wa bunge na hatimaye tumefika hapa tulipofika.

Nitoe rai kwa watanzania, jambo hili lisitutoe watanzania kwenye mjadala mkubwa na muhimu zaidi kwamba tarehe 28 Oktoba kulifanyika uchafuzi na kwamba sisi tunataka uchaguzi ufanyika upya chini ya tume huru ya uchaguzi.

Sisi tunaotaka hilo tunatengenezewa mazingira ya mjadala kuhama, umma wa watanzania usikubali kuingizwa kwenye mtego wa dola wa kuhamisha mjadala na kufifisha hasira za wananchi.

Kauli iliyotolewa jana wakati wa kuapishwa iliyotaka kujenga ishara kama mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe alihalalisha hili linaloendelea, hii kauli sio ya kweli na mwenyekiti wa chama ndie atakaeongoza kikao cha kamati kuu ya chama kitakachofanyika tarehe 27.

MASWALI NA MAJIBU

MWANDISHI(Halifa-Mwandishi wa kujitegemea):
Swali la kwanza kwa Mnyika, unadhani hili suala litaiacha vipi CHADEMA kama chama kwa sababu kuna hofu, ukizingatia watu walioenda bungeni kuapishwa, kina Mdee, Ester Matiko ni watu wakubwa kwenye chama, unadhani litakiacha chama salama?

Swali la pili, umesema hili suala limetengenezwa na mfumo kwamba kuna hujuma flani unadhani CHADEMA kinafanyiwa, katika mazingira kama hayo unadhani CHADEMA kinapaswa kuchukua hatua gani? Mnakabiliana nalo vipi suala la mfumo kujaribu kuhujumu chama chenu ili kuepusha matukio kama hayo kujirudia siku za mbeleni.

JOHN-Dar Mpya: Swali la kwanza, katibu mkuu umesema sakata zima hili la kuwaapisha kina Halima limekuwa 'engineered' na dola lakini kuna taarifa ambazo mimi binafsi nnazo kwamba majina haya, mchakato mzima huu wa maandalizi ulifanyika ndani ya ofisi ya katibu mkuu aidha ni wewe au wasaidizi wako. Kama kiongozi nilitegemea utaweka pia 'doubt' kwamba dola haiwezi kulikamilisha jambo hili bila kushirikiana na viongozi ndani ya chama maana yake wewe kwenye uongozi mzima wa chama haujaonyesha hata mashaka yoyote yale kwamba inawezekana dola imesaidiwa na either watu ndani ya ofisi yako au ndani ya CHADEMA kwa sababu wewe umejaribu kutuonyesha fomu hapo kwamba fomu za tume umekadhibiwa katibu mkuu lakini what If mtu anajenga hoja kwamba ya msaidizi wako alipitia mlango wa nyuma alienda akazichukua hizo fomu ofisi ya tume akaja akazisaini kwa niaba ya katibu mkuu kwa sababu unavyosema saini ni ya katibu mkuu inatakiwa, what if kuna barua ambazo chama kimekuwa kikifanya mawasiliano na tume kupitia naibu katibu mkuu

Swali la pili, uasi na usaliti ndani ya CHADEMA, hawa watu walioenda kuapa ni viongozi wakubwa ndani ya CHADEMA, mimi naona jambo hili hawa watu hawawezi kuwa wamekwenda bila 'top management' kuwa nyuma yao. Hii 'courage' na 'doubt' yangu inaweza kuwa inasapotiwa na kauli ya Halima jana kwamba alimtaja mwenyekiti, unazungumziaje level ya uasi huu?

REGINA-Mwanahalisi: Kilichofanywa na kina Halima Mdee ndio hichi hicho kilichofanywa na mbunge Aida Khenan lakini hapo katibu mkuu amesema wanaopaswa kuja siku ya Ijumaa ni hao wabunge 19 walioapa jana, vipi kuhusu Aida?

MAJIBU

JOHN MNYIKA: Nianze na la Aida, nilisema leo nimekuja kuzungumzia walioapa jana, hizi ni kesi mbili zinashahabiana lakini ni case mbili tofauti kwa sababu case ya walioapa 19 kimsingi inahusisha cilevile kughushi orodha ya majina ya chama na mchakato mzima wa fomu.

Suala la Aida linahusisha kukiuka tamko lililotolewa na viongozi wakuu wa chama, haya yote mawili tutayashughulikia na kila moja tutashughulikia kwa namna yake.

Maswali ya Halifa, kwamba chama kitabaki salama, naomba niwahakikishie watanzania chama hiki kitaendelea na kitabaki kuwa salama, kitapita katika mchakato huu kikiwa na nguvu zaidi ya kuendelea kujipanga kushika dola na historia ya CHADEMA inadhihirisha hivyo.
kigogo wa twitter alionya na kutoa hata habari ya kuwa Mashinji anawsiliana na Esther mpaka namba ya simu na akashauri Chadema wa suspend tawi la wanawake lakini hawakusikia.
Kama dola inahusika kweli ina maana kuna vitisho au blackmail,Halimaalikua amenywea mno na hata Ndugai hakua na ile amsha amsha yake.
Yatapita tu.
 
KUTOKA JIKONI: BAWACHA Kupinga Mfumo Dume CHADEMA

Zaidi ya Wanawake 100,000 wa BAWACHA wamejipanga kusaini fomu ya kuonesha mshikamano na wabunge 19 wa viti maalum (CHADEMA) walioapishwa jana.

Wanawake hao wamesema mfumo uliopo ndani ya chama hicho ni changamoto kubwa kwa maendeleo ya BAWACHA, hivyo ni lazima waupinge mfumo huo unaokandamiza haki zao.

Wote wanaoona mfumo duma waondoke si viko vyama vingine Kwani wamelazimishwa kuwa CHADEMA ati mfumo dume hivi kuna chama kilikuwa na wagombea ubunge wengi wanawake kama CHADEMA kweli sasa mfumo dume upi huo. Hii ni aibu kwa wanaohamasisha huo uwongo
 
Back
Top Bottom