ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Hahahahahaha mkuu upo?Mbowe ametisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha mkuu upo?Mbowe ametisha
Nipo nina chapa InjiliHahahahahaha mkuu upo?
Kwahiyo ni sawa yeye kuja kutueleza mambo ambayo tayari tunayoyafahamu?Ulitaka atoe msimamo wa chama kabla hakijaitisha mkutano, Bongo!
Mnyika umeeleza umeelza mengi ikiwamo hatua za kuwachukulia hatua lakini pia kuwafikisha mbele ya vikao vya chama. Lakini hujesema hatua gani za kisheria ambazo kitaichukulia tume kwa kughushi nyaraka za chama na kufanya ulaghai kwa watanzania hasa kuwafikisha mahakamani.Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana....
Haya ulale salamaHabari wana Jukwaa. Wakati mtufuano ukiendelea Ndani ya Cdm wamejitokeza baadhi wakijidai wao awapo tayari kugeuka maamuzi ya kamati kuu jambo amabalo ushaidi upo waliwasiliana kwa karibu na Mwenyekiti Bawacha Mhe Mdee ili wawekwe kwenye List . duru zinasema wamepatwa na mshangao kuona 19. Hawapo wao wala marafiki zao baaadhi ya waliokua wanamshinikiza Halima kumshauri Mwenyekiti Mbowe waende bungeni ni Lucy Owenya, Mkuya, G Kiwelu pamoja na Catherine Ruge
NB: Wote wanaojifanya wafia Chama Ni Kwasababu majina yao ayakwenda Na kupitishwa.
Chadema uasi ni mkubwa sana Na Salim Mwalimu na Kiongozi wa juu Mmoja wa Cdm ndio wauhusika wakuu wa Mchezo huu.
Jioni njema
GM.
Suala kubwa kama hili kumuachia katibu aongee ni usanii wa Mbowe. Hili ni suala la Mwenyekiti sio katibu.
Mataga nakuonea huruma wewe ambaye unajua ukweli ila mahaba ya ccm yamekulevya hadi inabidi ujivue ufahamu.Mkuu nakuonea huruma!
Maana hujui chochote mkuu! Hujui.
Kama unafikiri Mdee kakurupuka basi pole
Hoja hupingwa kwa hoja!Na wewe unajifanya analytical...kumbe kiazi tu.
Sasa hicho umeandika ni nini?
Hakuna kama Mbowe hapo chademaMbowe ametisha
Majina kapeleka Mbowe hilo mbona linajulikana.
Leo Mnyika anajiuzulu na Nyalandu atakaimu ukatibu mkuu!
Sawa, simamia upande unaolazimisha.Kwahiyo ni sawa yeye kuja kutueleza mambo ambayo tayari tunayoyafahamu?
Mkutano, vikao vyote ni siasa tu.
Wameshaapishwa wewe unasubiri vikao?
Vipi mnyika ameshajiuzulu?Majina kapeleka Mbowe hilo mbona linajulikana.
Leo Mnyika anajiuzulu na Nyalandu atakaimu ukatibu mkuu!
Kama hako ka imhotep kalikuwa na ngebe kama wale wacheazji wa mpira wa chandimu. Alipopigwa tobo akapotea kabisaImhotep na Minyoo wamepotea kabisa.[emoji848][emoji848][emoji848]
MAGUFULI4LIFE.
Wewe mzazi wako anakusaidia nini zaidi ya kukuleta duniani?Mtaji wa CHADEMA ni wanachama wake watiifu lakini wasio na uwezo wa kuchanganua masuala ya kisiasa.
Kuna watu wanamwamini Mbowe kuliko hata wazazi wao [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo mlitaka Nisurat aozee mahabusu?
Huyo Nisurat ana jasho lake kwenye chama,
Aliwekwa ndani kwa sababu ya chama, hivyo anastahili hiyo nafasi