Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Uchaguzi 2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

Nawapongeza sana wanawake wa chadema kwa kuvunja ule utaratibu unowadharirisha, ili upate uteuzi mpaka uliwe na kiongozi umewaumiza na kuwakoseha nafasi wengi sana
 
Leo Novemba 25, 2020 katibu mkuu wa CHADEMA amezungumza na vyombo vya habari makao makuu ya chama hicho eneo la Ufipa, Kinondoni mada kuu ikiwa uteuzi wa wabunge wa viti maalum ambapo uapisho wao ulifanyika jana bungeni jijini Dodoma jana...
Waandishi wa habari jifunzeni kuuliza maswali au kaeni kimya kama kanisani kwenye sala.
 
Hiyo ni rushwa kabisa, kumfunga mdomo..Kwanini umnyime mtu haki yake kumshikilia muda wote huo bila kosa halafu in less than 48 hrs anaapishwa kuwa mbunge??? HII NI RUSHWA KABISA..

Nlitegemea mbowe awe mstari wa mbele kabisa, mchezo una baraka zote ktoka juu
 
Nawapongeza sana wakina

Nawapongeza sana wanawake wa chadema kwa kuvunja ule utaratibu unowadharirisha, ili upate uteuzi mpaka uliwe na kiongozi umewaumiza na kuwakoseha nafasi wengi sana
Mbona walikuwa viongozi.
 
Ni bora asingefanya hiyo Press maana imeonyesha jinsi gani CHADEMA ilivyo na mfumo mbovu wa uendeshaji na mawasiliano (kinaendeshwa kama kibanda cha Tigopesa)
Maswali muhimu
1. Ni kweli CHADEMA haikujua kuwa wanachama wake zaidi ya 10 wangeapishwa?
2. Nini msimamo wa CHADEMA kuhusiana na wanachama hao?
3. Kutotambua matokeo ya Uchaguzi mkuu wa October ni maneno ya viongozi au msimamo wa Chama?
4. Je mwenyekiti hajui chochote kuhusiana na swala hili?
Ulitaka atoe msimamo wa chama kabla hakijaitisha mkutano, Bongo!
 
Ni bora asingefanya hiyo Press maana imeonyesha jinsi gani CHADEMA ilivyo na mfumo mbovu wa uendeshaji na mawasiliano (kinaendeshwa kama kibanda cha Tigopesa)
Maswali muhimu
1. Ni kweli CHADEMA haikujua kuwa wanachama wake zaidi ya 10 wangeapishwa?
2. Nini msimamo wa CHADEMA kuhusiana na wanachama hao?
3. Kutotambua matokeo ya Uchaguzi mkuu wa October ni maneno ya viongozi au msimamo wa Chama?
4. Je mwenyekiti hajui chochote kuhusiana na swala hili?
Na wewe unajifanya analytical...kumbe kiazi tu.
Sasa hicho umeandika ni nini?
 
Back
Top Bottom