Wakuu sina mengi ya kusema maana roho yangu i dhaifu kiasi cha kufa.
Jana tulishuhudia uapishwaji wa wabunge viti maalumu was CHADEMA pale Dodoma, moja ya suala la kushitua ni kiongozi wa Wanawake hao kulitangazia bunge na Taifa kwa ujumla kuwa anamshukuru Mwenyekiti Fremon Mbowe kwa kufanikisha jambo hilo.
Hapa ndipo ulipo uasi wa Mbowe.
1. Amemwachia Katibu Mkuu kuzungumzia swala nyeti la uvunjifu wa katiba huku yeye kama kiongozi mkuu wa chama akiwa amejitenga.
2. Ametanjwa na Halima Mdee kama mtoa baraka.
3. Amekuwa kimya tangu suala hili liwe wazi.
Don't trust anybody. Nchi imejaa mamluki kila sehemu.