BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Bora iwe hivyo tupunguze wapumbavu bungeni.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Sidhani kama unajua ulichoandika! Mungu akusameheTume ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo yenye mamlaka ya maandalizi na Usimamizi wa Uchaguzi! Tuiachie Tume ifanye kazi, matokeo tutayapata 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina lusinde wataongezeka zaidi bungeni Mwaka huuBora iwe hivyo tupunguze wapumbavu bungeni.
Akusamehe wewe ambae by October hutokuwa na Mbunge hata mmoja BungeniSidhani kama unajua ulichoandika! Mungu akusamehe
Je ni halali hiyo ya kuteuliwa na Mwenyekiti wa NEC?Bwashee kama Mwenyekiti wa NEC anateuliwa na mwenyekiti wa CCM, dhuluma iko wapi hapo.
Mnatakiwa kupigania tume huru siyo kulialia tu!
Umejawa la roho ya kishetaniAkusamehe wewe ambae by October hutokuwa na Mbunge hata mmoja Bungeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Jehanamu si sehemu salama kwa wanaosifia na kuabudu Mwenyekiti wa ccm
Ccm haijawahi kushindana. Na chini ya huyu mungu mtu ndiyo rasmi inataka kuufuta upinzani. Wanasema mwendawazimu hana aibu na ndicho kinachokwenda kufanyika. Ukichaa_kichaa ndio unaoendelea.Hakuna kukubaliana na hizo kanuni, na inatakiwa iwekwe wazi wananchi wote wajue. Huo ni ushahidi kuwa ccm imechoka kushindana.
Niliuliza swali, sijui uliliona? Hivi Chadema itagombea uchaguzi wa Oktoba, 2020?
Hakuna Jambo baya Kama kujua jambo kidogo mfano, elimu, mpira, kombat, swimming, nk. Ni afadhali ya asiyelijua Jambo kabisa anaweza nusurika na madhara yake.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
CHADEMA nzima wewe ndio inaonekana unaakili.ccm imeshagoma kuondoka madarakani kwa njia ya kura ni upuuzi kuendelea kuwapotezea wananchi muda kuwa wakapige kura kuondoa ccm.
Ni heri sasa vyama vianze kuwandaa wananchi kufanya civil disobedience haya mashetani hayako tayari kuondoka madarakani kwa njia ya amani.
Mwafrika hajawahi kuwa na akili.Magufuli kishafahamu kwamba hakubaliki sasa anaamua kutengeneza mazingira ya vita (maana wananchi hawatakubali huo ujinga ) , miaka mitano yote kafanya siasa peke yake lakini bado anaogopa !
Mimi siyo CHADEMA mkuu mimi ni mtu huru tu mwenye maoni yangu hapa JF japo ni muumini wa SOCIAL DEMOCRATS.CHADEMA nzima wewe ndio inaonekana unaakili.
Ccm haijawahi kushindana. Na chini ya huyu mungu mtu ndiyo rasmi inataka kuufuta upinzani. Wanasema mwendawazimu hana aibu na ndicho kinachokwenda kufanyika. Ukichaa_kichaa ndio unaoendelea.
Susieni uchaguzimimi kanisa langu nilishaachana nalo baada ya kuruhusu viongozi wa ccm kuingia humo , huwezi kuruhusu shetani aingie mazabauni na siye waumini tukakaa kimya