Uchaguzi 2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

Uchaguzi 2020 Mnyika: Uchaguzi 2020 mawakala kutopewa fomu za matokeo

Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Bora iwe hivyo tupunguze wapumbavu bungeni.
 
Ukisimama nchale na ukikaa nchale[emoji2957][emoji2957]
Makamanda wa MIGA

[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kukubaliana na hizo kanuni, na inatakiwa iwekwe wazi wananchi wote wajue. Huo ni ushahidi kuwa ccm imechoka kushindana.
Ccm haijawahi kushindana. Na chini ya huyu mungu mtu ndiyo rasmi inataka kuufuta upinzani. Wanasema mwendawazimu hana aibu na ndicho kinachokwenda kufanyika. Ukichaa_kichaa ndio unaoendelea.
 
Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Hakuna Jambo baya Kama kujua jambo kidogo mfano, elimu, mpira, kombat, swimming, nk. Ni afadhali ya asiyelijua Jambo kabisa anaweza nusurika na madhara yake.

Mwenyezi Mungu katika Qur'an Kareem anasema HAWAFANANI WANAOJUA NA WASIOJUA, pia Allah Kareem anasema AMALI NYEMA NI ZILE ZINAZOAMBATANISHWA NA ELIMU.

Wasalaam
 
ccm imeshagoma kuondoka madarakani kwa njia ya kura ni upuuzi kuendelea kuwapotezea wananchi muda kuwa wakapige kura kuondoa ccm.

Ni heri sasa vyama vianze kuwandaa wananchi kufanya civil disobedience haya mashetani hayako tayari kuondoka madarakani kwa njia ya amani.
CHADEMA nzima wewe ndio inaonekana unaakili.
 
Magufuli kishafahamu kwamba hakubaliki sasa anaamua kutengeneza mazingira ya vita (maana wananchi hawatakubali huo ujinga ) , miaka mitano yote kafanya siasa peke yake lakini bado anaogopa !
Mwafrika hajawahi kuwa na akili.

Kila uchao hakosekani makanisani na nyumba za ibada lakini haachi tiba za kishirikina,mf kikombe cha babu na mafusho.

Kila siku wanahuniri demokrasi lkn wao wenyewe ndiyo wanaopindisha sheria za uchaguzi ili kuiba kura ama kupata kura za upendeleo.

Wao wenyewe wanahimiza watu wafanye kazi ili kuleta maendeleo wakati wa janga la korona wakati wao wamejificha porini ili wasife na korona.

Tunaishi maisha ya nyani,kujificha juu kabisa ya mti ili hali wanao umewaacha matawi ya chini ili waliwe na chui.

Si ajabu wazungu kutuita nyani kasoro mkia.

Na sijui kwanini walituambia nchi ili kujitawala.
 
Ccm haijawahi kushindana. Na chini ya huyu mungu mtu ndiyo rasmi inataka kuufuta upinzani. Wanasema mwendawazimu hana aibu na ndicho kinachokwenda kufanyika. Ukichaa_kichaa ndio unaoendelea.

Halafu siku anaapishwa anahonga viongozi wa dini wamuombee!
 
Back
Top Bottom