Bugotabululu
Member
- Aug 30, 2019
- 15
- 7
Kwanini Tunatungiana Sheria kandamizi hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukusaidia tu ili siku nyingine usirudie kosa andika hivi:nyinyi simnamuona mbowe mungu,kila analosema hewala,sasa sisi tunasema mungu tuvushe.kwa uwezo wa bwana wamajeshi tutashinda ushindi wa kishindo cha corona.atuna muda mchafu
Kuna kipindi nilikata tamaa kwamba uchaguzi Wa mwaka huu 2020 sitopata raha ,aisee kumbe uchaguzi Wa mwaka huu utakua na amsha zidi Wa 2015.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
uchumi wa tanzania umepaa kwa mudamfupi sana tangia Rais John Pombe Magufuli aingie madarakani.Kukusaidia tu ili siku nyingine usirudie kosa andika hivi:
mungu.......Mungu
bwana........Bwana
mbowe........Mbowe
Jifunze kusoma na kuandika ndio uje siku nyingine utoe povu lako hapa jamvini.
Chadema ni pamoja na wewe na wala sio m/kiti na katibu tuu,Yote haya wa kujilaumu ni sisi wananchi, hatujielewi kabisa, mambo yanafanyika ovyo ovyo tumetulia tu, eti tunategemea Chadema itusaidia, tutaumia sana
Hebu rudia tena !! tuiache iaribu sio ??Tume ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo yenye mamlaka ya maandalizi na Usimamizi wa Uchaguzi! Tuiachie Tume ifanye kazi, matokeo tutayapata 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni msemaji wa NEC ?? soma uzi vizuriTunajua mmeshajua mtashindwa sasa mnaanza kusambaza uongo. Mawakala kupewa fomu ni takwa la kisheria na kanuni. Haliwezi kubadilishwa hivyo. Acheni upotoshaji.
Jana nimeangalia Tv NEC hawajatoa tamko kama hilo.Wewe ni msemaji wa NEC ?? soma uzi vizuri
Mungu wetu Watanzania siyo sawa na Mungu wa wengine, wala usiwalinganisheAlafu utawasikia wakisema,"tumtangulize Mungu"!
Ccm wanapanga kila namna ya kukwiba kura za wananchi, ila chamtema kuni watakionaMnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Watu Kama nyie mko wengi sana bongo ndio maana nchi haiendelei watu wanaishi kwenye nyumba nyasi miaka 61 ya uhuruNendeni majimboni acheni kulialia mitandaoni hakuna kitakachowasaidia zaidi mjiandae na maumivu tu watz hawana mpango na chadema anymore!
Tv gani hiyo!!? kama unaangalia chanel ten au tbc basi sawaJana nimeangalia Tv NEC hawajayoa tamko kama hilo.
Yameanza kusukwa. Tulitabiri mazingira ya uchaguzi wa serikali za mitaa kujirudia. Pole wa Tz. Tunaelekea wapi?Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Hata mawakala hawatakuwa na maana yoyote vituoni.Kama mawakala fomu za matokeo maana yake hakuna uchaguzi kunakuteuliwa.
Mkuu mbona hata waganga wa kienyeji humuomba mungu! Hata shetani humuomba mungu pia!Alafu utawasikia wakisema,"tumtangulize Mungu"!
Iman ya kiwanusuru wanaadamu kwa kuwakumbusha Allah anasemaje kuhusu kulisemea Jambo usilokua na elimu nalo.Nn ulichokusudia mpk.kuingiza hii aya?
Kumbe huna akiliMimi siyo CHADEMA mkuu mimi ni mtu huru tu mwenye maoni yangu hapa JF japo ni muumini wa SOCIAL DEMOCRATS.