Tulishawazoea kulialia nyinyi.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Nendeni majimboni acheni kulialia mitandaoni hakuna kitakachowasaidia zaidi mjiandae na maumivu tu watz hawana mpango na chadema anymore!Halafu siku anaapishwa anahonga viongozi wa dini wamuombee!
Tunajua mmeshajua mtashindwa sasa mnaanza kusambaza uongo. Mawakala kupewa fomu ni takwa la kisheria na kanuni. Haliwezi kubadilishwa hivyo. Acheni upotoshaji.Mnyika leo amesema kuwa NEC katika kanuni za uchaguzi za 2020 ambazo wanataka kiziwasilisha kwa lazima zinakipengele kinachosema si lazima kwa mawakala kupewa nakala za matokeo yatakayotoka katika vituo. maana yake itakuwa wasimamizi wa uchaguzi wanaweza kubandika fomu hewa huku wakisindikizwa na mapolisi na huwezi lalamika popote kama walivyofanya katika uchaguzi wa jimbo la siha. goli la mkono limeshatengenezwa teyari na vyama makini mwaka huu hakuna hata mbunge mmoja atakayepita uchaguzi huu kama kanuni hii itakubaliwa.
Mitandaoni wamezidiwa kila namna.Nendeni majimboni acheni kulialia mitandaoni hakuna kitakachowasaidia zaidi mjiandae na maumivu tu watz hawana mpango na chadema anymore!
Kura zinahesabiwa kituoni, na wakala anatakiwa kupewa nakala ya matokeo kama yalivyohesabiwa..Kwani kura zinahesabiwa wapi? Hii habari mbona ipo nusu nusu?
Unajitia aibu kwa manufaa ya nani ?ufipa mnaanza kujishtukia.
ccm ni chama cha kinabii kimeletwa na bwana wamajeshi muumba mbingu na nchi kuipeleka tanzania kwenye neema
Hakuna mahali viongozi wa dini wamedhalilika kama awamu hii !Halafu siku anaapishwa anahonga viongozi wa dini wamuombee!
Sana, eti tunategemea upinzani watuteteeUjinga wetu ndiyo mtaji wa CCM
Nendeni majimboni acheni kulialia mitandaoni hakuna kitakachowasaidia zaidi mjiandae na maumivu tu watz hawana mpango na chadema anymore!
nyinyi hamna hofu ya mungu,ndo maana mlipinga watu wasiende kumuomba bwanawamajeshi atuondolee janga la coronaUnajitia aibu kwa manufaa ya nani ?
Alafu utawasikia wakisema,"tumtangulize Mungu"!
nyinyi ni tofauti na sisi.sisi tunaamini mungu ndo muweza wa yote,nyinyi chadema mnaamini kupinga kila jambo na kutukana viongozi ndo mafanikio yenu.Hiz ni akili mbilikimo
Hata kuandika hujuiufipa mnaanza kujishtukia.
ccm ni chama cha kinabii kimeletwa na bwana wamajeshi muumba mbingu na nchi kuipeleka tanzania kwenye neema
Ndio uchaguzi huru na wa haki huo. Ila kwa TLP na NCCR na CUF wao wanaona ni poa tuu. Maana wao wana sindikiza. Usishangae kusikia wali saini janaCCM ni chama cha mashetani, na wewe ni kapepo kachafu ndio maana unafurahia vitendo hivi vya dhuluma
nyinyi simnamuona mbowe mungu,kila analosema hewala,sasa sisi tunasema mungu tuvushe.kwa uwezo wa bwana wamajeshi tutashinda ushindi wa kishindo cha corona.atuna muda mchafuHata kuandika hujui
Eti bwana wa majeshi
Vilaza wamejaa Lumumba tu. Ndio ninyi vijana mliopata division four na zero mnaleta uharo hapa jf gt