Lekaga gete, nahene milimo.
Mlimpola bhagosha bhane!
Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.
Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.
Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!
NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.
Wapinga rushwa tunawasilisha.
Mlimpola bhagosha bhane!
Shalom!
Mpaka sasa hakuna anaeweza kuthibitisha kuwa MO amesha weka ile bilioni 20 kwenye account ya simba au Ile ya kampuni,sidhani hata BMT sidhani wamewahi kuthibitisha. Mzee Rage hapa karibuni amesisikika akiomba BMT audition ya kifedha ,kwenye vilabu hivi.
Maana hakuna ajuaye mapato ya klabu kwa mwaka,mikataba kama mo extra na halisi, bajeti ya usajili na gharama za uendeshaji kwa msimu uliopita. Kubwa logo ya klabu ni mkutano gani ulioidhinisha.
Kwanini tunahofu na money laundry usajili unaofanyika tunahisi unatoka nje ya mapato ya klabu, zipo hisia kuwa kuna genge linaitumia klabu kutakatisha fedha. Maana kama ni udhamini lazima uwe kwenye mkataba. N.a. flow yake ieleweke!
NB:ni ushauri tu sijasema anatakatisha!Ila wanazengo tuna mashaka tu.
Wapinga rushwa tunawasilisha.