Mnachihangu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2022
- 890
- 1,022
Sasa huyo the boss haujui ni muislamu nae?udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo the boss haujui ni muislamu nae?udini
Ni mjasiliamali mwenzangu wote tuna leseni ya efu hamsiniHaufanani nae huyo GSM hata kidogo kwa lolote lile
Wanabodi,
Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are we still importing food, edible oil?!, akapiga na nyundo "unfortunately we don't have the right framework and policies to deal with large investment in agriculture" . Wito kwa serikali yetu, tusisubiri tuu kuwa reactive, sometimes we have to be pro active, Bashe aisikilize hii interview, amuite Dewji na kumpeleka kwa Mama, Dewji amsaidie Bashe, Mama na Watanzania, to formulate hizo "the right framework and policies to deal with large investment in agriculture", halafu tukishindwa ku implement, ndipo awaite CNN na kuwaeleza hayo!.
Huyu jamaa apewe kila aina ya ushirikiano na serikali yetu, ili afanikishe ndoto zake, na zikikamilika, atakuwa ndio tajiri No. 1 Tanzania na No. 2 Africa nyuma ya Aliko Dangote!.
Hongera Sana Mo Dewji!
Paskali
umesahau ana pesa ya kuhonga vilabu vyote vya ligi kuu maarufu kama bahasha?Ni mjasiliamali mwenzangu wote tuna leseni ya efu hamsini
"..... ndiyo yake" by Pascal Mayalla, 2023.Huyu dogo anaitwa Mo ni fala na mbinafsi.Kahonga pesa serikalini na bandarini vitenge vizuiwe ili auze vya kwake Kwa bei juu.Sasa kama ana bidhaa mzuri na yeye pamba ananunua Simiyu tu hapo anashindwaje kuuza bidhaa zake bei rafiki ya Mtanzania. Sasa anashindana na wachuuzi na kuuwa mitaji yao kariakoo huyu ana roho mbaya sana.
🤣🤣GSM naye alifanyiwa mahojiano na Mpenja TV siku ya birthday yake
Watu mbona mnazungumza kama mmepagawa? Huyu Mo anaelipa mishahara laki na 50 ..?amsaidie mama kwenye nini.?
Huyu Mo ambae mpaka Leo Simba wanauliza bilioni 20 ziko wapi?
Mo huyu anae kopi bidhaa za wenzake Hadi anashtakiwa na kushindwa Kesi mahakamani??
Mo ni mchuuuzi Tu kama sio dalalali...
Mpigieni debe aendelee kuwachuuza..
Enzi za Nyerere, Tanzania tulikuwa na viwanda 6 vya nguo na vyote vilikuwa vinatumia pamba yeti vikiongozwa na Urafiki cha Dar es Salaam na Sungura Tex, Mwanza tulikuwa na Mwatex, Musoma Mutex, Morogoro Canvas, Kilimanjaro Kilitex, Arusha ABC.Huyu dogo anaitwa Mo ni fala na mbinafsi.Kahonga pesa serikalini na bandarini vitenge vizuiwe ili auze vya kwake Kwa bei juu.Sasa kama ana bidhaa mzuri na yeye pamba ananunua Simiyu tu hapo anashindwaje kuuza bidhaa zake bei rafiki ya Mtanzania. Sasa anashindana na wachuuzi na kuuwa mitaji yao kariakoo huyu ana roho mbaya sana.
Ni vitu vya kawaida katika biasharaTatizo products zake ni za kiwango cha chini sana na photocopy ya ubunifu wa makampuni mengine.
Kwa mfano MO matchbox hamna viberiti pale na photocopy ya Tinga matchbox made in Kenya, MO B29 hamna sabuni pale na ni photocopy ya B29 halisi, Mo energy drink amekopy toka azam, Safi cooking oil, Taifa powder soap ameiga toka NETAX na mbaya zaidi anaiga hadi vifungashio na rangi
Sijajua ni sifa au sarcasm
Wanabodi,
Mo Dewji if not yet, then probably is going to be the richest man in Tanzania!. Has 150 products, he is going to knock down Coca Cola and Pepsi Cola!, ametupaisha kimataifa, ila pia ametubagaza kuwa "we have got tons of arable land that can feed Africa, but he is surprised why are we still importing food, edible oil?!, akapiga na nyundo "unfortunately we don't have the right framework and policies to deal with large investment in agriculture" . Wito kwa serikali yetu, tusisubiri tuu kuwa reactive, sometimes we have to be pro active, Bashe aisikilize hii interview, amuite Dewji na kumpeleka kwa Mama, Dewji amsaidie Bashe, Mama na Watanzania, to formulate hizo "the right framework and policies to deal with large investment in agriculture", halafu tukishindwa ku implement, ndipo awaite CNN na kuwaeleza hayo!.
Huyu jamaa apewe kila aina ya ushirikiano na serikali yetu, ili afanikishe ndoto zake, na zikikamilika, atakuwa ndio tajiri No. 1 Tanzania na No. 2 Africa nyuma ya Aliko Dangote!.
Hongera Sana Mo Dewji!
Paskali
Unajitaji uwe na bilions ngapi kumhonga Ramadhani Kayoka akupe tuta la mchongo??umesahau ana pesa ya kuhonga vilabu vyote vya ligi kuu maarufu kama bahasha?
Sikiliza interview uelewe.Magwiji wa Import/Export
naanza kuunganisha vjidoti vya uzi lukuki zanazohusiana na Mh. Bashe na upo uwezekano havihusiani lakini...
Hayo ma femewoki sijui yanawezaje kumsaidia mkulima wa Nazi wa Miaka nenda rudi Tanzania ambaye hata gari ndio kwanza amepata uzeeni. Kachoka. Hawezi kugema ulanzi wake kwa raha kwa sababu ya hayo hayo ya mafemiwoki yaliyowakandamiza kwa muda mirefu sana. Kwa kweli sijui ni nani nitakeye msujudu bila ya kuonekana nipo kimlengo mlengo.
Kitaeleweka tu
Na anasubiria zile bodaboda.Dr Kigwangalla anahoji zilipo 20 bilioni za Simba SC
Kwanini Uimport kitu kinachozalishwa ndani?Huyu dogo anaitwa Mo ni fala na mbinafsi.Kahonga pesa serikalini na bandarini vitenge vizuiwe ili auze vya kwake Kwa bei juu.Sasa kama ana bidhaa mzuri na yeye pamba ananunua Simiyu tu hapo anashindwaje kuuza bidhaa zake bei rafiki ya Mtanzania. Sasa anashindana na wachuuzi na kuuwa mitaji yao kariakoo huyu ana roho mbaya sana.