Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sanaKaka wewe ni mtu wa mpira, mpira haupo hivi kaka. Najua kaweka pesa ya kutosha lakini hii league hachezi peke yake / huko CL hachezi peke yake pia hata wenzake wameweka malengo vile vile kwahyo amekurupuka kwasabbu anataka pay back period within a short time that's contrary to his investment...... Kiwango alichowekeza hakiwezi rudi ndani ya miaka miwili.
Na haya matamko yataathiri zaidi uwekezaji wake kitu ambacho kitamfanya achomoe pesa yake aliyowekeza Simba SC.
Kwani mbumbumbu ni tusi mkuuNadhani ungeeandika maoni yako pasipo matusi ingependeza sana.
Mimi unayenitukana naweza kuwa umri mkubwa kuliko baba yako, hivyo jifunze kuw na nidhamu.
Wajameni; mimi naweza kumuamini maana 4b sio lazima iwe ni net pay. Kwake yeye actual payroll cost ni sum ya yafuatayo:
1. Gross Pay
2. NSSF (au any pension fund contribution ambayo ni 10% ya gross pay na ni takwa la kisheria)
3. SDL (4.5% ya gross pay Skills Development Levy ambayo nayo ni takwa la kisheria)
4. Any other related staff related costs.
Inaweza kuwa kweli ikawa overstated lakini haiwezi kuwa very much off the mark).
Wewe kweli ni Simba?Alikuwa anatafuta tu sababu
Aende zake atuachie team yetu
Na achukue na uwanja wake
Sisi tutabaki na manara wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba walikosea kumfukuza yule kocha aliyewatengenezea kizazi cha akina ajibu na ndemla enzi hizo wakiwa wadogo.Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sana
Kwanza walikosea sana kumtimua Aussem , alishaanza kulijua soka la Bongo
Mkuu umefanya haraka kumlaumu Mo,kutaja hicho kiwango ni sawa ni haki yake yeye ndio analipa,hata wewe nyumbani kwako matumizi yakiwa sio sahihi utajikuta umesema nimeacha laki mmetumia siku 3 tu.Nadhani umepata picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sana
Kwanza walikosea sana kumtimua Aussem , alishaanza kulijua soka la Bongo
Moise katumbi hajawa congo kwa karibia miaka 4 akiishi ubelgiji lakin TP mazembe iliendelea kuwasha moto.Azam bila Bakhresa inaenda vizuri tu kwa sababu Mzee salim mali zake zipo kistaarabu.Ninyi bila Mo mtapitisha bakuli kama sisi.Tp mazembe inamilikiwa na Moise katumbi na ndio timu yenye mafanikio Africa kuliko timu yoyote ile ya watu weusi ukiwatoa waarabu na wanamtegemea Moise katumbi kwa kila kitu? Azam ya juzi tu INA viwanja viwili wewe yanga una nini? Si ndo wewe ulipitisha bakuli uchangiwe?
Hahaha kumbe unakijua ...