Kabla hatujakubali au kukataa. Kama kuna mwenye orodha yote ya wachezaji wa Simba,na benchi la ufundi pamoja na gharama zao za mishahara kila mwezi aiweke hapa ndio tuanze kukubali au kukataa juu ya kauli yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app