Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Status
Not open for further replies.
Kabla hatujakubali au kukataa. Kama kuna mwenye orodha yote ya wachezaji wa Simba,na benchi la ufundi pamoja na gharama zao za mishahara kila mwezi aiweke hapa ndio tuanze kukubali au kukataa juu ya kauli yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka wewe ni mtu wa mpira, mpira haupo hivi kaka. Najua kaweka pesa ya kutosha lakini hii league hachezi peke yake / huko CL hachezi peke yake pia hata wenzake wameweka malengo vile vile kwahyo amekurupuka kwasabbu anataka pay back period within a short time that's contrary to his investment...... Kiwango alichowekeza hakiwezi rudi ndani ya miaka miwili.

Na haya matamko yataathiri zaidi uwekezaji wake kitu ambacho kitamfanya achomoe pesa yake aliyowekeza Simba SC.
Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sana

Kwanza walikosea sana kumtimua Aussem , alishaanza kulijua soka la Bongo
 
Hapo tuseme simba INA wachezaji 33 na lila mmoja analipwa 10milion/month ndo itakuja 4billion

Apache kutuona mandeI
 
Simba kama timu tumeingiza kiasi gani..

Mo ni mwana siasa mnyonyaji kama wengine
Wajameni; mimi naweza kumuamini maana 4b sio lazima iwe ni net pay. Kwake yeye actual payroll cost ni sum ya yafuatayo:
1. Gross Pay
2. NSSF (au any pension fund contribution ambayo ni 10% ya gross pay na ni takwa la kisheria)
3. SDL (4.5% ya gross pay Skills Development Levy ambayo nayo ni takwa la kisheria)
4. Any other related staff related costs.

Inaweza kuwa kweli ikawa overstated lakini haiwezi kuwa very much off the mark).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sana

Kwanza walikosea sana kumtimua Aussem , alishaanza kulijua soka la Bongo
Simba walikosea kumfukuza yule kocha aliyewatengenezea kizazi cha akina ajibu na ndemla enzi hizo wakiwa wadogo.
 
sasa unajiuzulu kwa tweet tu bila hata kukaa na wenzako huo upimbi.

ilifaa kwanza akae hata na Bodi yake kwanza ndio awape sababu na aamue hivyo kwa mambo makubwa na ya Kimataifa anayotaka kufanya hili ni la aibu aisee.

*ANAJIUZULU UENYEKITI WA BODI KWA TWEET YAKE TU*
Tena dk chache tu baada ya game kwisha aisee, yaani kama alikua anatafuta sababu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kakosa sababu sasa, anataka kulazimisha hii mapinduzi cup


Sent using Jamii Forums mobile app
 
technically,
Tp mazembe inamilikiwa na Moise katumbi na ndio timu yenye mafanikio Africa kuliko timu yoyote ile ya watu weusi ukiwatoa waarabu na wanamtegemea Moise katumbi kwa kila kitu? Azam ya juzi tu INA viwanja viwili wewe yanga una nini? Si ndo wewe ulipitisha bakuli uchangiwe?
 
Kumbuka


1. Jezi zote kwa mwaka ni zaidi ya bil 15.

2. Matangazo kwenye jezi ya products zake kama angelipia ni zaidi ya bil 10.

Kisha mtu anakuja hapa sijui bil 4, na uhakika mo hajaingiza hata sent.
Mkuu umefanya haraka kumlaumu Mo,kutaja hicho kiwango ni sawa ni haki yake yeye ndio analipa,hata wewe nyumbani kwako matumizi yakiwa sio sahihi utajikuta umesema nimeacha laki mmetumia siku 3 tu.Nadhani umepata picha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndugu yangu Mo, kagoli kamoja tu umeamua ujiuzuru na uenyekiti wa bodi...
Wangetandikwa goli 3 si ungebaki kuwa shabiki tu? Hahahaaah!

Leo Mtibwa wamejua kuwafurahisha wale jamaa wa upande ule..., yaani wamechukua kikombe wakaona haitoshi wakamchukua na Mo kabisa... Teh Teh Teeeh!
Mi sitaki misiba, najiendea kwenye sherehe ya jirani...
 
Mo anadhani biashara ya mpira ni rahisi , haya matamko anayafanya kwa jazba sana

Kwanza walikosea sana kumtimua Aussem , alishaanza kulijua soka la Bongo

Wawekezaji wasipoacha kukurupuka na wakiacha kutumia akili zao vizuri kinachopotea ni mtaji uliowekezwa kuendesha huo mradi.

Sidhani kama Simba ni mbovu kiasi hicho, tatizo watu ambao sio wa mpira wapo kwenye ofisi na meza kubwa kubwa za club zetu wakipanga kuhusu mpira uende vipi kibaya zaidi wanayawaza matumbo yao zaidi.

Nawaombea mema Simba SC inapobidi mhindi Anataka apigiwe magoti ni bora wampige chini kwasabbu huo hautakua mpira wa miguu labda rede
 
Yaani kutungwa mechi ya kirafiki ndio ajiuzuru? Aidha hiyo habari si ya kweli au kunatatizo kubwa zaidi hivyo alikua anatafuta sababu! Kimsingi Simba ya uchebe mpaka ya Sasa ina matatizo mawili kiufundi, mosi wachezaji hawako aggressive uwanjani, pili, timu inacheza taratibu Sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tp mazembe inamilikiwa na Moise katumbi na ndio timu yenye mafanikio Africa kuliko timu yoyote ile ya watu weusi ukiwatoa waarabu na wanamtegemea Moise katumbi kwa kila kitu? Azam ya juzi tu INA viwanja viwili wewe yanga una nini? Si ndo wewe ulipitisha bakuli uchangiwe?
Moise katumbi hajawa congo kwa karibia miaka 4 akiishi ubelgiji lakin TP mazembe iliendelea kuwasha moto.Azam bila Bakhresa inaenda vizuri tu kwa sababu Mzee salim mali zake zipo kistaarabu.Ninyi bila Mo mtapitisha bakuli kama sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom