Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
📌Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
📌Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Umezoea kupigwa kimoko na yule bwanako mchovu mchovuLeo Simba tunapigwa kamoja kama kanguruwe
Hamia Yanga, wasikuzinguwe hao.Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708
Wakishalewa ugoro na pombe zao za kwenye vile vichupa vya plastic wanajitungia tu maujinga ujinga yao kisha wanapongezana,hii mijitu ya ovyo sanaHizi ndio habari Gongowazi wanapenda kuzisikia
Huyu mbona anawadhalilisha jamii ya maalbino kwa kutomaswa manyonyo na mwanaume mwenzake hasemwi?hawana izo akili
simba ni mbumbumbu tangu awali sema vile unataka aminisha wana akili kubwa
suala la udharirishaji liko palepale
Yanga ni mataahira kabisaUzuri wa mbumbumbu ni kwamba akili zipo ila ni kidogo
Yanga hata hizo ndogo hawana
..Ni walemavu wa ngozi. Ombeni msamaha.
Ila Mudi anapenda sana kutrend. Hana tofauti na akina Paula!
Alitaka apewe bure,ila wahindi bwana.Wanasimba nawapenda sana, ila naomba kulalamika, nimeomba ticket ya VVIP kuajili ya mtoto wangu: kamati ya Salim Mk wa board na pamoja na Mk wa simba Mwangungu na CEO Imani wamekataa. :- Je hii ni haki? je hi ni zhulma?
View attachment 2713708
akili mingi...Kuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Aisee, wakakusimulia kabisa!Waliomteka inasemekana walikwenda kumvisha kanga. Kwa siku 4 mfululizo 😳
Hako kajamaa ni kapambeInasaidia nini kwenye Football ? umewahi kuona Barca ,Real Madrid au PSG wakifanya harakati kama hizo ?
Don't snitch in my back just come tell me right in my face
Tweet amepost dewji ila lawama wanapewa YangaUzuri wa mbumbumbu ni kwamba akili zipo ila ni kidogo
Yanga hata hizo ndogo hawana
watu hawajastukia ila wewe pekeyako ndio umestukiaKuna kitu Simba wanataka kukizima mtandaoni ila watu hawajastukia
Hii nchi inawajinga migogoro yao ila lawama anapelekewa Yanga kuna mambo ya hovyo sana nchi hiiKwani huyo aliyeandika ni Hersi au Mo
Iweje habari ya Rai's wa heshima usingizie kupendwa na watu wasiohusika?
Huyo anatafuta namna ya kujifarijiwatu hawajastukia ila wewe pekeyako ndio umestukia
Tweets ni ya dewji kunyimwa ticket ya VVIP yanga wameingiajeWakishalewa ugoro na pombe zao za kwenye vile vichupa vya plastic wanajitungia tu maujinga ujinga yao kisha wanapongezana,hii mijitu ya ovyo sanaView attachment 2713779