Mo Dewji: Karibuni nitaikatia tamaa Simba

mo ndio mhujumu namba Moja wa Simba na ndio chanzo cha migogoro.
Ana watu wake kupitia bodi ya Simba,alimleta Hadi Mtendaji mkuu kutoka kwake, alihonga sana ili awe mwekezaj wa pekee Simba na Bado amekuwa anajitukuza yeye binafsi badala ya Simba maana utakuta kwenye magazeti mo ameingilia usajili Simba kwa na hii tabia ameianza Toka enzi Mkwabi akiwa mwenyekiti.
kwa hatua iliyofikia Simba haiwezi kukosa mwekezaji kwani Simba ni brand inayojiuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…