Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Mo Dewji, msimu ujao tenga milioni 500 za ubingwa, baada ya hapo Yanga na GSM hawatakusumbua tena

Eti timu Bora kwa takwimu,,mbona umekimbilia timu iliyofungwa magoli machache wakati mmeruhusu 8 yanga karuhusu 9 kwaiyo iyo tofauti ya goli Moja ndio ubora?
Mmefunga magoli mangapi na yanga kafunga mangapi?
Yanga kuishia makundi klabu bingwa na wewe kuendelea kuwepo kule kwenye wamama cup sio kigezo cha ubora wa Simba kaangalie uzito wa michuano husika ambayo Kila timu ilikuwa inashiriki ndio uongee,, yanga uko alifika fainali na Wala awaringi!
Tengenezeni timu msijifariji ubora wa Simba uwezi kulinganisha na ubora wa yanga ata ukimuuliza kichaa atakwambia acha kukaza fuvu!
Yanga kuwa na goli hata moja la kufungwa kuzidi Simba baada ya mechi zote hizi ni ishara kuwa Yanga haina ubora wa kiwango hiko unachotamba nacho.

Hiyo tofauti ya magoli ya kufunga ndiyo hoja ya udhamini ndiyo inaingia hapo. Sikutegemea ungekwenda huko.

Kwa rank za CAF, Simba ni bora kuliko timu zote zilizokuwa katika kundi la Yanga. Sfaxien, Costantine na Al Ahly Tripoli ya Mabululu ndiyo unataka kulinganisha na Vital'O, Marumo Galaxy na Bamako?

Na lini ulibadili jinsia maana kombe hilo hilo la wamama ulishiriki na unatamba kufika fainali.
 
Yanga kuwa na goli hata moja la kufungwa kuzidi Simba baada ya mechi zote hizi ni ishara kuwa Yanga haina ubora wa kiwango hiko unachotamba nacho.

Hiyo tofauti ya magoli ya kufunga ndiyo hoja ya udhamini ndiyo inaingia hapo. Sikutegemea ungekwenda huko.

Kwa rank za CAF, Simba ni bora kuliko timu zote zilizokuwa katika kundi la Yanga. Sfaxien, Costantine na Al Ahly Tripoli ya Mabululu ndiyo unataka kulinganisha na Vital'O, Marumo Galaxy na Bamako?

Na lini ulibadili jinsia maana kombe hilo hilo la wamama ulishiriki na unatamba kufika fainali.
Kumbe wewe nimeona ni empty brain,,timu Bora umeshika nafasi ya tatu msimu uliopita na kuambulia kucheza ndondo cup inayotakiwa kufutwa,,
Timu Bora inategemea refa afanye yake ili upate ushindi wa mchongo,,
Kushiriki wamama cup sio kipimo cha ubora wa timu angalia ulicheza na timu za aina Gani,,kwa akili ya kawaida wale sfaxien,Constantine na waangola ubora wa zile timu ata Namungo angeweza kubattle nazo na kuingia robo fainali,
Na ktk hizo timu ndio ingekuwa yanga anakutana nazo hizo akuna ata Moja hapo ingeambulia point kwa yanga!
Kwa maana iyo hoja yako ni mfu na uhalisia unabaki pale pale auna timu wewe ndio maana mnapiga mayowe ya gsm wakati litimu lenu ndio ovyo kabisa!
 
Na Simba ni miongoni mwa timu njaa iliyochezea kichapo mara 4 mtawalia na bado unakuja unabana pua kwamba Simba ni Bora kwa lipi?
Kwani Simba imemfunga Yanga mara ngapi hadi kuona kufungwa mara 4 ni big deal? Dundee United hajawahi kufungwa na Barcelona na wamekutana mara 4, tujiulize Barcelona ni bora kwa lipi?
 
Kwani Simba imemfunga Yanga mara ngapi hadi kuona kufungwa mara 4 ni big deal? Dundee United hajawahi kufungwa na Barcelona na wamekutana mara 4.
Ubora unaosema Simba anao ni upi ndio tunautaka utueleze tujue anamzidi yanga wapi kwa ubora!
 
Ubora unaosema Simba anao ni upi ndio tunautaka utueleze tujue anamzidi yanga wapi kwa ubora!
Kumbe haujaelewa hoja ya uzi huu. Embu chukua muda usome tena halafu ukielewa unirudie.
 
Kumbe wewe nimeona ni empty brain,,timu Bora umeshika nafasi ya tatu msimu uliopita na kuambulia kucheza ndondo cup inayotakiwa kufutwa,,
Timu Bora inategemea refa afanye yake ili upate ushindi wa mchongo,,
Kushiriki wamama cup sio kipimo cha ubora wa timu angalia ulicheza na timu za aina Gani,,kwa akili ya kawaida wale sfaxien,Constantine na waangola ubora wa zile timu ata Namungo angeweza kubattle nazo na kuingia robo fainali,
Na ktk hizo timu ndio ingekuwa yanga anakutana nazo hizo akuna ata Moja hapo ingeambulia point kwa yanga!
Kwa maana iyo hoja yako ni mfu na uhalisia unabaki pale pale auna timu wewe ndio maana mnapiga mayowe ya gsm wakati litimu lenu ndio ovyo kabisa!
Wamama Cup? Lini ulibadili jinsia yako maana ulikuwa huko Wamama Cup misimu miwili iliyopita.
 
Wamama Cup? Lini ulibadili jinsia yako maana ulikuwa huko Wamama Cup misimu miwili iliyopita.
Ndio nakwambia usitambe kufuzu robo kwenye iyo wamama cup wakati yanga alifika fainali,,usiseme Simba ni Bora kwakuwa imefuzu kwenye icho kikombe cha washindwa ondoa kabisa icho kigezo
 
Kumbe haujaelewa hoja ya uzi huu. Embu chukua muda usome tena halafu ukielewa unirudie.
Hoja ni unamlalamikia gsm kwamba anapanga matokeo na unamshauri na Mo adhamini timu eti na Simba ipate mteremko,,sasa kwa akili yako ndogo ndio tunakwambia yanga anashinda kwa ubora wake na sio vinginevyo ata ukipanga vikosi vya yanga na Simba utaona gape lililopo hapo usijizime data
 
Ndio nakwambia usitambe kufuzu robo kwenye iyo wamama cup wakati yanga alifika fainali,,usiseme Simba ni Bora kwakuwa imefuzu kwenye icho kikombe cha washindwa ondoa kabisa icho kigezo
Nimekuuliza lini umebadili jinsia yako na ulifanyia operation yako wapi, Mloganzila, Thailand au Uturuki?
 
Kwani Simba imemfunga Yanga mara ngapi hadi kuona kufungwa mara 4 ni big deal? Dundee United hajawahi kufungwa na Barcelona na wamekutana mara 4, tujiulize Barcelona ni bora kwa lipi?
Yanga, hapa dunuani, tangu ianzishwe, timu iliyoifunga mara nyingi ni 51mba. Wewe kama huoni kufungwa mara nne mfululizo na Yanga ni big deal, usingeanzisha UZI na wala usingemshauri Mo aweke 500M. Maana, katika haoi wanofungwa tano tano na Yanga, 51mba nayo imo.
 
Hoja ni unamlalamikia gsm kwamba anapanga matokeo na unamshauri na Mo adhamini timu eti na Simba ipate mteremko,,sasa kwa akili yako ndogo ndio tunakwambia yanga anashinda kwa ubora wake na sio vinginevyo ata ukipanga vikosi vya yanga na Simba utaona gape lililopo hapo usijizime data
Gape lipi hilo ambalo wachezaji wanaachwa Simba mnawasajili nyie na wanaanza first 11 huko utopoloni?
 
Ata kama nimebadili uhalisia ndio huo usiongee vitu ilimradi umeongea
Hili liwe funzo kwako. Kama una maana kwamba kuwa mama ni kuwa aliyefeli basi jitafakari sana.

Baada ya uzi huu sitegemei kusikia hiyo kauli tena kutoka kwako au nitakuwa nakuuliza hivyo hivyo lini umebadili jinsia mwenzetu?
 
Hili liwe funzo kwako. Kama una maana kuwa mama ni kuwa aliyefeli jitafakari sana.

Baada ya uzi huu sitegemei kusikia hiyo kauli tena kutoka kwako au nitakuwa nakuuliza hivyo hivyo lini umebadili jinsia mwenzetu?
Na ukweli unabaki vile vile uache kamdomo kakusema eti kwakuwa umefuzu kule basi Simba ni Bora acha upuuzi huo
 
Kumbe wewe nimeona ni empty brain,,timu Bora umeshika nafasi ya tatu msimu uliopita na kuambulia kucheza ndondo cup inayotakiwa kufutwa,,
Timu Bora inategemea refa afanye yake ili upate ushindi wa mchongo,,
Kushiriki wamama cup sio kipimo cha ubora wa timu angalia ulicheza na timu za aina Gani,,kwa akili ya kawaida wale sfaxien,Constantine na waangola ubora wa zile timu ata Namungo angeweza kubattle nazo na kuingia robo fainali,
Na ktk hizo timu ndio ingekuwa yanga anakutana nazo hizo akuna ata Moja hapo ingeambulia point kwa yanga!
Kwa maana iyo hoja yako ni mfu na uhalisia unabaki pale pale auna timu wewe ndio maana mnapiga mayowe ya gsm wakati litimu lenu ndio ovyo kabisa!
Hivi mpk sasa hamjui kuwa mnabishana na mtu mjinga mjinga, mbumbumbu?
 
Yanga, hapa dunuani, tangu ianzishwe, timu iliyoifunga mara nyingi ni 51mba. Wewe kama huoni kufungwa mara nne mfululizo na Yanga ni big deal, usingeanzisha UZI na wala usingemshauri Mo aweke 500M. Maana, katika haoi wanofungwa tano tano na Yanga, 51mba nayo imo.
Historia hiyo hiyo inasema hakuna timu imewahi kuifunga mara nyingi Yanga kama 5imba. Hakuna hoja hapo bwashee.

Hoja siyo kufungwa na Yanga. 5imba imeshamfunga Yanga goli 5, 4, 6 tena bila kupata la kufutia machozi.
 
Back
Top Bottom