Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Subiri amalize kazi mgodini kwake😂Mmh Kwa hela Gani alonayo🤣
Utaogelea mipesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri amalize kazi mgodini kwake😂Mmh Kwa hela Gani alonayo🤣
Nimejua kuweka hizi emoji zenu za kwenye like. Sasa kazi iendeleeUwe mara ngapi bhana boss.! 😂😂
Tupe ajira hizo tupate pesa za kula na za kufanyia skin routine 😜
hakika, atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni..!!🙏🙏Napokea salaam mama mtumishi, hope uko vyema kabisa
Mkuu computer haijaua creativity sababu hizo rendering na michoro unayoona mtu hafanyi kutokea moja kwa moja kwenye computer, bali anaanza na kuconceptualize kwenye karatasi kwa mkonoMatumizi ya Computer na hizi rendering softwares na njaa yameua kabisa creativity na kujifunza design principles and fundamentals kwa wabunifu wa kizazi hiki.
R. I. P BJ Amuli, Sumar Varma, Antony Almeida
Tutajuta 😂😂😂Nimejua kuweka hizi emoji zenu za kwenye like. Sasa kazi iendelee
😂😂😂 Igweeeeeee😂😂
Wifi yangu, hichi hapa ndiyo furaha yangu, si unaiona ile chemistry ilivyo lit, naomba msiache kunifurahisha, Nawapenda sana..!!
Wewe tena em fanya uje 😂😂🤣🤣🤣Nazitoa wapi ss
Ni mwendo wa dislike tu😂😂Tutajuta 😂😂😂
Tutafokewa mpk tukome
Tar 20 nitakua town🤣Wewe tena em fanya uje 😂😂
Usinambie tayana 😜Tar 20 nitakua town🤣
😂😂 ukinipa dislike nakudundaNi mwendo wa dislike tu😂😂
Kuna kipindi nilionaga Kuna ugomvi humu wa dislike nikawa sielewi. Hivi vidude kwenye app hakuna vilikuwepo kwa wanaotumia browser, Ila walipoiunga app na browser sasa hivi vinatokea
Kazi zako ndio zikutangazeNi kweli kabisa jitahidi kufanya kazi na watu smart kama sisi hahaha
😂😂😂😂 ukinipa dislike nakudunda
Najua pa kukunyooshea 🤣