Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Status
Not open for further replies.
Naomba unipe huo ushahidi wa upuuzi ndani ya Quran baada ya wewe kuisoma kwa kina, ili niufahamu na kuutafakari.
Kwa mfano vimondo angani ni mizinga anayotumia allah kumzuia shetani asiingie mbinguni..
Jua kuzama kwenye dimbwi la maji machafu,mohamed kupasua mwezi vipande viwili,mohamed kupaa na farasi hadi mbinguni
 
Mkuu jitahidi kuinua kiswahili na kiingereza chako, nadhani hoja yako itaeleweka vizuri zaidi.
Hicho Kingereza ni "Copy n paste" kutoka Google, muhimu kuwa umefahamu kwanini Waislam wanasema Mtume yote ilikuwa Waislamu, Uislamu umeanzia tangu mwanzo wa Dunia..

Musa alisema "Mungu ni mmoja"
Isa kasema Mungu ni Mmoja
Muhammed kasema Mungu ni mmoja..

Hiyo ndio maana ya neno "Islam",= kujikubalisha kwa Mungu kwa chochote kile
 
Yaani huu upuuzi umerudi tena!
 
SUALA LA IPI IDADI KUBWA TUIACHE VYENGINEVYO LILETENI KTK SENSA MBN MLIKATAA
JK alikuwa Rais muislam ndie aliekataa Sio Sisi. Ukweli ndio huo waislam ni wachache Tanzania
 
Hivi we dada FaizaFox, kujilipua na mabomu na kuua watu wasio na hatia ndio salama ?
 
Nyerere hakuanzisha chama. Nyerere alikaribishwa na Wazee wa Dar. Akina Sykes. Chama aanzishe Nyerere jina la chama atowe Abdul Wahid Sykes na Ally Sykes?
Nyerere alitaka kuanzisha Chama, ndio akaambiwa kuhusu TAA.

Ni kweli Wazee wako wa Dar walianzisha chama lakini chama kilikuwa dormant, na Mwalimu alialikwa na Mzee Mwangosi baada ya kumshauri asianzishe chama.

Hivi kwa mtazamo tu wa kawaida kama Mwalimu angeanzisha Chama, kile cha Wazee wa Dar kingefua dafu kweli? nadhani Wazee wetu wale walitumia akili sana.

Kuhusu TANU ni baada ya kukaa mezani ndio kina Sykes wakaja na jina la hilo kwa kuwa walishalifikiria awali wakiwa Burma, hivyo wote wakakubaliana.hivyo hapa si chama kilianzishwa bali ni jina yeyote angeweza kutoa wazo na kuungwa mkono.
 
Uchochezi uliopitiliza huo.
Maalim Said ni mdini kweli kweli,keshawapotosha watu wengi kwa mtazamo wake binafsi.
Kwa kweli huwa simfurahii .
 
Una uhakika aliye mweka hru Bibi Titi ni Mwinyi,
 
Dini kubwa zote ni siasa za kale zilizogubikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyeonekana wala kuthibitishika.

Uislamu ni harakati za kisiasa za kuitawala dunia, zaidi ya dini tu kama inavyoeleweka kawaida. Ndiyo maana kuna mambo ya caliphate wanataka kutawala dunia.

Ukristo nao umejieneza kwa falsafa ya kumhubiri Yesu dunia nzima, sasa Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote kwa nini ahubiriwe ili aeleweke kwa viumbe wake mwenyewe?

Ukristo umeenezwa kwa nguvu ya dola ya Kirumi. Biblia yenyewe ilivyowekwa pamoja imewekwa pamoja katika mkutano unaitwa "The Council of Nicea". Mfalme Constantin wa Roma aliagiza maaskofu waamue kitabu kipi kiwekwe kwenye biblia na kipi kisiwekwe. Vitabu ambavyo havikuwa na habari nzuri kwa mfalme vilitupiliwa mbali, vitabu vilivyokuwa viizuri kwa mfalme na ufalme ndivyo vikawekwa katika biblia, leo hii watu wanasoma Biblia na Quran kama vitabu vya Mungu, wakati vitabu vimeandikwa na watu tu. Na utajua hilo ukiangalia makosa ya kimantiki mengi sana yaliyo katika vitabu hivi.

Ukiangalia hata Asia, kwenye dini ambazo kinadharia zina level ya compassion kubwa zaidi ya Uislamu na Ukristo, dini kama Buddhism, utaona nako dini zinaleta matatizo. Waislamu wa Burma/ Myanmar wanaonewa sana (Rohingya Muslim minority) wanauawa na kufanywa wakimbizi. Wa Buddha wa Myanmar wanawaua vibaya sana, ingawa katika kanuni za U Buddha hutakiwi hata kuua sisimizi.

Ukichunguza sana utaona mwanzo wa dini ni wafalme (Babylon, Egypt, China mfalme alikuwa anabudiwa kama Mungu, maelfu ya miaka kabla Uyahudi Ukristo na Uislamu haujaanza).

Dini kubwa zote ni siasa za kale zilizogubikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyeonekana wala kuthibitishika.

Dini ni vyama vya siasa vya zamani sana.

Ukielewa hili, mengine ni detail tu.
 
Saudi Arabia nchi takatifu ya dini ya kiislamu leo kuna watu wana chinjwa kama mbuzi kisa wanatuhumiwa kwamba ni magaidi.Pengine shangazi yetu anapenda na nchi yetu iwe na adhabu kama za huko Mecca.
 
Kama Nyerere peke yake aliweza kuwaburuza waislam katika chama chao, unawategea wangeweza kupambana na mkoloni kwa hoja?!
Ha ha ha ha ha ha ha we jamaa noma sana! Yaani nyerere aliwaburuza kwenye chama chao, alafu hapohapo wanasema wamepigania uhuru kutoka kwa mkolono(mzungu) ambae alikuwa na kila kitu kuliko nyerere! Nyerere aliwawezaje hawa??
 
Agano la kale = Taurat
Una matatizo unahitaji taarifa sahihi si hizo ulizonazo potofu.

Katika Biblia takatifu ya agano la kale kuna vitabu vitano tu vya Torati
(1) Mwanzo
(2) Kumbukumbu la Torati
(3) Mambo ya walawi
(4) kutoka
(5) Malaki

Vilevile kuna vitabu vya manabii vingi sana
(1) Habakuki
(2) Nehemia
(3) Samuel
(4) Hosea
(5) Zaburi
N.k

Tuna vitabu vya mataifa
(1) Wafilipi
(2) Waefeso
N.k
Sasa jifunze kupata taarifa sahibi Biblia ya agano la kale si Torati
 
Ha ha ha ha ha ha ha we jamaa noma sana! Yaani nyerere aliwaburuza kwenye chama chao, alafu hapohapo wanasema wamepigania uhuru kutoka kwa mkolono(mzungu) ambae alikuwa na kila kitu kuliko nyerere! Nyerere aliwawezaje hawa??
Elimu! Elimu! Elimu!
 
Saudi Arabia nchi takatifu ya dini ya kiislamu leo kuna watu wana chinjwa kama mbuzi kisa wanatuhumiwa kwamba ni magaidi.Pengine shangazi yetu anapenda na nchi yetu iwe na adhabu kama za huko Mecca.
Why not ??
 
Dini ni sanaa

Biblia /Quran ni magazeti ya zamani Kama Leo tuna mwananchi, uhuru, Tanzania daima n. K
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…