Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

Hata hizo bilioni 20 ni ndogo kwa hisa za 49%,Mkitaka kulijua hilo subirini mchakato wa yanga utakapo kamilika ndo utajua hujui
Hata kama ndogo huyo mwenye nyingi zaidi ya hizo yuko wapi? Mfano wewe unaishi kwa shemeji yako unalala sebleni sasa ukiambiwa utoe hata 1m tu huna
 
Hawa uto huwa hawakosi kisingizio.... Wanaamini GSM wa aweka pesa nyingi kuliko Mo. Haya mo katumia 21.4 billion kwa miaka 4. Hao gsm waseme walizot

Wamuulize GSM kwao kashatumia ngapi na ameingiza ngapi
Kwa akili yako unaamini SIMBA IMETUMIA BIL 21 KWA MIAKA MINNE?? Umewahi kuona financial statements za SIMBA??
 
Hata kama ndogo huyo mwenye nyingi zaidi ya hizo yuko wapi? Mfano wewe unaishi kwa shemeji yako unalala sebleni sasa ukiambiwa utoe hata 1m tu huna
Hahaha, subiri uwekezaji wa timu ya wananchi mkuu ndo utajionea
 
Jiongezeni nyie Mbumbumbu,kama katumia 21Bl kwa miaka 4,je hizo 20Bl atatumia kwa miaka mingapi,then baada ya hapo itakuwaje. Na pia mbona hatoi Balance Sheet kwa hizo 21Bl jinsi zilivyotumika ikiwemo faida na hasara plus madeni.
Hayo yote yanakuhusu nini ewe kapuku mwenzangu? Washabiki tunataka makombe tu
 
Zero brain mwingine huyu
 
Mbumbumbu fc katika ubora wenu, ebu Legeza misuli ya kichwa chako, hiyo thamani ya Bilion 20 ilikuwa ni miaka minne ijayo, now thamani imepanda na hii madhara yake sio leo mbumbumbu nyie
Miaka mi4 ijayo?
 
Klabu inajipandisha yenyewe thamani mkuu, Ushawahi kujiuliza kwann alipoichukua African lyon na pesa zake zote ila alishindwa kuipandisha thamani hiyo timu hahhahaah mbumbumbu katika ubora wenu
Ingekuwa ndio hivyo yanga msingetembeza bakuli, au thamani yenu ilikuwa haipandi? Ndio maana uwezo wa yanga ni kubeba mapinduzi cup tu
 
Ivi mikataba ya udhamini kati ya Simba na makampuni ya Mo ikoje au ndio anapitia mulemule kwenye uwekezaji
 
Hata akichukua bure sawa tu, ili mradi Simba inatupa raha sana
 
Hivi unaelewa nini maana ya pesa? Muda mwingine ni bora kunyamaza, tafuta uelewa kidogo, emu uliza watu wanaojua business haswa, msikurupuke ndugu mtakuja kupata aibu kama ,umepata uelewa juu ya mkataba wa yanga na Adam? Kijana soma utapata aibu kama hizi hadi lini,!! Jaribu kuuliza usiwe mjuaji
 
Yeye anachomiliki Ni 49% ya share, Atakachokipata Ni dividend ya hizo hisa. Hatakama Azam watatoa 100billion kwa kupata dili ya Simba tv haimanishi mo ndo anapewa 49% yahio pesa. Mambo yahisa namgawanyo wa dividend nimagum kias kma hunakichwa kizuri chahesabu.

Mkuu mim nimaskin kma ningekua nahela nisingebaki nyuma kwenye ununuzi wahisa za club ya Simba, Kuna kila dalili kwa uwepo wa moo kwenye club nakuwekeza hizo 20 billion huku akiwa yeye ndio major shareholder itaipaisha demand ya share zake nakuifanya thamani yake kua kubwa zaid. Hawajamaa wanaenda kufanya mapinduzi kakubwa
 
MO amewahi kuziweka bilioni 20 mapema kwasababu tulikuwa na mpango wa kuchukua Bilion 20 za Azam tuje kuinunua simba kwanza, bahati yake kawahi kabla

Tazama huyu Bogus yani ni Kiazi Mviringo kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi Nugaz ndiyo kawaambia hizo 41B mutapewa zote kwa pamoja?

Lile Genge la Jangwani sio siri ni la kupelekwa Mirembe lote tukianza na Bumbuli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tazama huyu Bogus yani ni Kiazi Mviringo kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi Nugaz ndiyo kawaambia hizo 41B mutapewa zote kwa pamoja?

Lile Genge la Jangwani sio siri ni la kupelekwa Mirembe lote tukianza na Bumbuli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Just sell media right for more than 40 billions in 10 years only

But Mbumbumbu sale their whole club in life time for 20 billions! That's joke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…