Kumbe Russia ni giant
Kabana mafuta kidogo dunia nzima inatetema kama Mayele..
Hizo trekta ni kituko. wakati nafanya tafiti ya kununua trekta. Muuzaji wa Ursus alinishauri nisinunue hizo trekta 🤣🤣🤣Matrekta ya "URSUS" yanatoka Poland. Dili lake lilisukwa tangu enzi za waziri mmoja wa kilimo anaefanana na Tyson. Nchi hii ni kama shamba la bibi, Kila awamu inakuja na upigaji wake.
Ni sahihi, Serikali iagize mafuta kwa ajili ya reserves ya tahadhari tuu,ndivyo Nchi nyingi zinafanya .Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Tatizo biashara ya mafuta inashikiliwa na wanasiasa walafi ambao ndio wanaotoa maamuzi kwa maslahi yao binafsi. Kuna haja ya kufanya mapinduzi ya kuokoa nchi kutoka mikononi manyang'au yalinayohodhi madarakaShabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Tatizo biashara ya mafuta inashikiliwa na wanasiasa walafi ambao ndio wanaotoa maamuzi kwa maslahi yao binafsi. Kuna haja ya kufanya mapinduzi ya kuokoa nchi kutoka mikononi manyang'au yalinayohodhi madaraka
Mda huo EWURA wanafanya Kazi gani? Swala la msingi ni kwamba kabla ya bulk procurement ndivyo ilivyokuwa ila baada ya kuanza uagizaji wa pamoja hakuna unafuu umepatikana.... hao wahuni watatengeneza cartel; wata-collude kuwaumiza wananchi. Sidhani kama huo ushauri una msaada wowote maana siku za nyuma ilikuwa hivyo "wakashindikana" ndipo serikali ikaja na wazo la bulk procurement kujaribu kuondoa tatizo. Asitake kuturudisha kule.
Inashangaza sana .... Hivi Nyumbu wakiwezeshwa si wanaweza kutengeneza trekta bora la kitanzania?.. Tatizo ni ubinafsi huko Serikalini, Matrekta aina hiyo hata huko yanakotoka wanayauza kwa kulazimisha... Hayana Soko!.Hizo trekta ni kituko. wakati nafanya tafiti ya kununua trekta. Muuzaji wa Ursus alinishauri nisinunue hizo trekta 🤣🤣🤣
Siku zote sheria za protectionism huwa zinaharibu Sana uchumi na haya yote yalitungwa enzi za mwendazake,Dunia hii imebadilika tuache soko lipange bei.very sensible.
P
Siku zote sheria za protectionism huwa zinaharibu Sana uchumi na haya yote yalitungwa enzi za mwendazake,Dunia hii imebadilika tuache soko lipange bei.
Ona sasa hayo ya matreka unawapa watu wa serikali wanafanya wizi wakati unge float tender na kutoa specifications wafanyabiashara wenyewe wangeleta vitu Bora..
Ndio ukweli huu ila hi ya Sasa tender ni za kujuana watu wanapiga dili,hu upumbavu ukome..Kuna watu wana connection mzee, wanaweza wakawa wananunua wese kwenye 'masoko yao ya connection'
Acha utoto wewe,mimi sio mwana ccm bali shabiki wa Samia na watu wote wanaoamini kwenye sera za Uchumi huria..Kuna muda huwa una akili sawasawa halafu kuna muda ukitanguliza chama chako dish huwa linacheza
Hizo sheria zenu za kipuuzi ziliwekwa kipindi cha Mwendazake..Lengo ilikuwa ndio hilo kuruhusu mafisadi yashike kila uhai wa uchumi wetu
Msitake kutuletea balaa hapa.Hayo mapinduzi yaratibiwe na nani?
Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta
MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.
Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.
“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.
Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.
“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.
“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669