Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Matrekta ya "URSUS" yanatoka Poland. Dili lake lilisukwa tangu enzi za waziri mmoja wa kilimo anaefanana na Tyson. Nchi hii ni kama shamba la bibi, Kila awamu inakuja na upigaji wake.
Hizo trekta ni kituko. wakati nafanya tafiti ya kununua trekta. Muuzaji wa Ursus alinishauri nisinunue hizo trekta 🤣🤣🤣
 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Ni sahihi, Serikali iagize mafuta kwa ajili ya reserves ya tahadhari tuu,ndivyo Nchi nyingi zinafanya .
 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669
Tatizo biashara ya mafuta inashikiliwa na wanasiasa walafi ambao ndio wanaotoa maamuzi kwa maslahi yao binafsi. Kuna haja ya kufanya mapinduzi ya kuokoa nchi kutoka mikononi manyang'au yalinayohodhi madaraka
 
... hao wahuni watatengeneza cartel; wata-collude kuwaumiza wananchi. Sidhani kama huo ushauri una msaada wowote maana siku za nyuma ilikuwa hivyo "wakashindikana" ndipo serikali ikaja na wazo la bulk procurement kujaribu kuondoa tatizo. Asitake kuturudisha kule.
Mda huo EWURA wanafanya Kazi gani? Swala la msingi ni kwamba kabla ya bulk procurement ndivyo ilivyokuwa ila baada ya kuanza uagizaji wa pamoja hakuna unafuu umepatikana.

Sasa tunarudi kule kule kwamba ni afadhari changamoto za free competition ni bora kuliko za udhibiti kwa hiyo ni bora turuhuru ushindani afu EWURA wafanye Kazi ya udhibiti tuu.
 
Hizo trekta ni kituko. wakati nafanya tafiti ya kununua trekta. Muuzaji wa Ursus alinishauri nisinunue hizo trekta 🤣🤣🤣
Inashangaza sana .... Hivi Nyumbu wakiwezeshwa si wanaweza kutengeneza trekta bora la kitanzania?.. Tatizo ni ubinafsi huko Serikalini, Matrekta aina hiyo hata huko yanakotoka wanayauza kwa kulazimisha... Hayana Soko!.
 
very sensible.
P
Siku zote sheria za protectionism huwa zinaharibu Sana uchumi na haya yote yalitungwa enzi za mwendazake,Dunia hii imebadilika tuache soko lipange bei.

Ona sasa hayo ya matreka unawapa watu wa serikali wanafanya wizi wakati unge float tender na kutoa specifications wafanyabiashara wenyewe wangeleta vitu Bora..
 
Kuna muda huwa una akili sawasawa halafu kuna muda ukitanguliza chama chako dish huwa linacheza
Siku zote sheria za protectionism huwa zinaharibu Sana uchumi na haya yote yalitungwa enzi za mwendazake,Dunia hii imebadilika tuache soko lipange bei.

Ona sasa hayo ya matreka unawapa watu wa serikali wanafanya wizi wakati unge float tender na kutoa specifications wafanyabiashara wenyewe wangeleta vitu Bora..
 
Kuna watu wana connection mzee, wanaweza wakawa wananunua wese kwenye 'masoko yao ya connection'
Ndio ukweli huu ila hi ya Sasa tender ni za kujuana watu wanapiga dili,hu upumbavu ukome..

Shabiby ndio aliibua hata ufisadi wa kampuni za kina Kalemani na Mwendazake wakati wanalipwa mabilioni kila mwezi eti kuweka pigment kwenye mafuta, serikali ikafuta na TBS wanafanya hiyo Kazi.
 
Kuna muda huwa una akili sawasawa halafu kuna muda ukitanguliza chama chako dish huwa linacheza
Acha utoto wewe,mimi sio mwana ccm bali shabiki wa Samia na watu wote wanaoamini kwenye sera za Uchumi huria..

Sikuwa nakubaliana na Mwendazake kwa sababu za ujamaa wake ,sera za ujamaa zimefeli miaka mingi sana huwezi apply miaka hii..

Ku mitigate -ve side effects za free market economy ni nafuu kuliko athari zinazoletwa na sera za protectionism..

Shida ya ujamaa ni ku base kwenye feelings kuliko facts,ndio maana serikali zote za kijamaa zinaongoza kwa propaganda na matumizi ya nguvu zaidi kuliko akili..

Serikali futilia mbali huo upuuzi wa bulk procurement.
 
Bulk procurement faida yake ninayoiona ni control ya kodi.

Ila faida ya kuacha watu waagize wenyewe ni ushindani wa bei hapa ananufaika mlaji wa mwisho.

Sasa ni jambo la kuchagua kati ya hayo mawili.

Kodi kwa serikali au faida ya soko huria.
 
Kama ulimsikia Bashe juzi alikuja na wazo zuri,kuliko kufuta Kodi kwenye mbolea serikali itapoteza mapato lakini pia kuweka ruzuku kwenye bei ni mzigo mkubwa kwa serikali ndio maana ushauri wake una make sense kwamba Serikali itoe pesa ya guarantee Ili wafanyabiashara waingize mbolea na kuuza Kwa bei nafuu,,mzigo ni mdogo kuliko wachumi wenye itikadi za kijamaa wanavyotaka kufanya.
 
Lengo ilikuwa ndio hilo kuruhusu mafisadi yashike kila uhai wa uchumi wetu
Hizo sheria zenu za kipuuzi ziliwekwa kipindi cha Mwendazake..

Hata kesi ya Barrick ni hivyo hivyo,kulikuwa hakuna sababu za msingi za kuzuia kusafirisha makinikia wakati serikali ingefanya tuu majadiliano na investors na muafaka ungefikiwa..

Shida watu wengi Wanaojiita wasomi hawana akili kwa hiyo tulipoteza mapato mengi na pia makinikia yakaendelea kuuzwa kama zamani.
 

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta​


MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja.

Shabiby ametoa ushauri huo leo Jumatano tarehe 6 2022 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Amesema mfumo wa uagizaji wa pamoja unafanya kutokuwepo kwa ushindani wa bei na hivyo bei inapopanda kwenye soko ambalo mafuta yanaagizwa kunakuwa hakuna mbadala.

“Leo hii mkiruhusu kampuni binafsi ziagize mafuta na kama mtu anaona kuna unafuu kwenye uagizaji wa pamoja afanye hivyo na kama ataona haina unafuu alete yeye,” amesema.

Ameongeza kuwa zimekuwa zikitolewa hoja za upotoshaji kwamba uagizaji wa mtu mmoja mmoja unasabisha ukwepaji wa ushuru.

“Meli zote zinashusha kwenye mita wanakwepaje ushuru? Hii kazi waachieni TRA utasikia TRA wanakula dili lakini ukiangalia tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi,” amesema.

“Naombeni sana turuhusu hayo na bei ya mafuta itashuka kuliko tulivyotarajia na wala tusidanganyane watu kwamba Serikali inaweza kutoa kodi kwenye mafuta, haiwezekani kodi ndiyo inayolipa mishahara na kununua madawa,” amesema Shabiby.
View attachment 2178669

Shabiby kanena kama wengine, hatuna viongozi. Tuna wezi.

Bei za Mafuta zinakoshuka watawala wao siyo wezi
 
Back
Top Bottom