Mohammed Shabiby: Namna ya kupunguza bei za mafuta kwa 50% ya bei za sasa

Kama serikali inaakili huo ndio ushauri wa kufuata ili kushusha bei ya mafuta.
 
Matrekta ya "URSUS" yanatoka Poland. Dili lake lilisukwa tangu enzi za waziri mmoja wa kilimo anaefanana na Tyson. Nchi hii ni kama shamba la bibi, Kila awamu inakuja na upigaji wake.
Hizo trekta ni janga la dunia
 
tangu huu mfumo wa uagizaji wa pamoja mita imekufa mara nyingi kuliko kipindi cha uagizaji binafsi[emoji848][emoji2827]
 
Bulk procurement faida yake ninayoiona ni control ya kodi.

Ila faida ya kuacha watu waagize wenyewe ni ushindani wa bei hapa ananufaika mlaji wa mwisho.

Sasa ni jambo la kuchagua kati ya hayo mawili.

Kodi kwa serikali au faida ya soko huria.
Kinachoshindikana ku control kodi katika uagizaji huria wa mafuta ni nini? Na je huko katika bulk procurement una uhakika kodi inalipwa kwa 100% maana bei inapangwa na wachache kwahiyo nachoona mzigo anabebeshwa mtumiaji wa mwisho wachache wanatafuna karamu ya bwana.
 

Nishati na mafuta Makamba, ardhi na makazi Riziwani Kikwete, ujenzi na miundombinu mbarawa ( visiwani) jifunzeni kitu​

Kwaiyo hizo wizara wangewekwa wakristo hapo ingekuwa sawa, au wangewekwa wasukuma wenzio is okay?! Nyie mb..wa mna matatizo sana
 
Mkuu si mara zote kukosea ni uongo one can be honestly wrong. Kumbandika label ya uongo simply tu kwakuwa kamwita Ahmed kuwa Muddy is quite unfair at least kwa opinion yangu.
Hata mimi nimemshangaa sana mjumbe mwenzetu wa baraza hili notkel

After all, hata kama kuna "slight error" kwenye uandishi wa jina la mbunge mtoa maoni, mwandishi kaambatanisha na video clip ya mhusika..

Lakini cha ajabu jamaa bado akamwita mwenzake MWONGO kwa herufi kubwa!!
kababu
 
Nionyeshe hapo kwenye kushuka bei kwa 50% mimi sijapaona nadhani miwani yangu ina tatizo
Hata ikiwa chini ya 50% kidogo siyo mbaya mradi yashuke hata kwa 40% inatosha. Muhimu ushauri uangaliwe kama unafaa.
 
Ameongea point sana aisee... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Mawazo ya serikali kutufanyia vitu kama hivyo ni wizi wa mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…