MOI: Mwanaume aliyegongwa na Basi la Mwendokasi yuko ICU

Mungu nimwema atapona aendelee na majukumu yake
 
Kuendesha gari city center sio kazi rahisi kihivyo,kuna watu wana leseni wamesomea veta ukimwambia twende town anaogopa
Ashukuru kupona. Maana kama dereva wa mwendokasi asingemkwepa na kwenda kumgonga mpita njia, basi alikuwa afie eneo la ajali.
 
Ana haki ya kulipwa na Bima. Tumuombee apone akadai fidia yake. Aliesababisha ajali(gari ndogo) ndio atalipa kupitia Bima yake kama anayo.
Mkuu mbona kwa nature ya hii ajali ni kama Mwendokasi ndio watamlipa maana yeye amegongwa na mwendokasi sio gari dogo

Au mimi ndio sijui
 
Maskini daah ,ujinga wa mtu mmoja umehatarisha maisha ya wengi. Dereva atafutwe apewe adhabu kali
 
Huyu miladi ayo sikuhizi kageuka habari maelezo,Jana alipost kuwa jamaa Yuko fresh,kumbe Hana update yoyote,dogo anazingua sikuhizi na mwili wake mdumavu 😅
 
Atakuwa alikuwa anabishana na mke wake
 
Kwa nilivoona basi lilikua na mwendo mdogo wa kawaida ila baada ya kugonga ile gari ndogo iliongeza mwendo Sana nadhan dereva wa mwendo Kasi alijichganya akachochea badala ya breks
 
Kwani wakisema ukweli kwamba amefariki kuna tatizo? Huo si ndiyo ukweli? Wewe kubamizwa vile ukutani na gari utatoka mzima?
 
Hii ndio taarifa rasmi hawana sababu ya kusema uongo

Wanabuy time tu ,hawezi kupona kwa ile impact.....wanatuliza tu kusiwe na kelele za raia mitandaoni ,wananchi wakishatulia ndiyo watatoa taarifa au umesahau kifo cha mchezaji aliyetokea Ghana Atsu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…