😁😁😁 Hapo kweli yaani kwenye finishing na designing ya nyumba wapo vibaya sana sio Nairobi wala mji wowote, nyumba zao hazina test hata wanazozijenga recentlyHata hivyo Game over is not a rich man, Don’t stress yourself kwa kipato cha Game over, though I can feed hungry friends..
2000 is the Maximum class for That Bus company I travelled with, They said there are 1500ksh for the same buss depending on the Position though Hatukuona tofauti ya hizo siti.
Nje ya Mada, Huo mji wa Mombasa ni Very Disorganized . Mnaishi kama Nguruwe wasee
Wacha ufala dogo, unataka date ya nini?
Mombasa inapambana na Tanga hata Zanzibar haigusiUmefika Mombasa sasa wajidanganya umefika Kenya? . Hujawahi sikia pwani sio Kenya . Anyway Mombasa is more developed than all your cities except DAR
Weye mwenyewe umeweka bandiko linaloashiria ushamba ,uduni utoto wako.I am a very humble man but let me tell you this wewe ni Level ya chini sana,
Nimeshasafiri na Airlines kubwa duniani, Nimeenda hadi Ujerumani na Uturuki,
Kuanza kunivuta kwenye Level za buses ni kutaka kuniweka kwenye level moja na wewe,
Hatufanani mkuu, Ndio hivyo.
Kusafiri kwa Basi ni Umuzi tu ningeweza hata kusafiri kwa kq ningetaka,
Kenya ina buses choka mbaya huwezi amini ni buses za kubeba binadamu, awali nilijua za kupeleka mbuzi machinjioni nilistuka sana nilivyoona wanashuka binadamu tena buses zenyewe ni za routes za majiji wakati Tanzania luxury buses zinaunganisha mpaka stand za wilaya huko ndani ndani lakini luxury buses ni za kumwaga.
😁😁😁 Yale malori yao wameyachongea bodi la bus unakuta ni mafuso kwaajili ya kusombea viazi ilejeDuuh mkuu unaua, ngoja Jenerosa aje🙂
Haka kadude kanamuonekano mbaya namna gani? Kuja Karen ujionee maajabu ya Musa😁😁😁 Hapo kweli yaani kwenye finishing na designing ya nyumba wapo vibaya sana sio Nairobi wala mji wowote, nyumba zao hazina test hata wanazozijenga recently
Waende Dodoma wakajifunze designing and finishing
View attachment 1095334View attachment 1095335View attachment 1095336View attachment 1095337
Kama hii dar lax ndio kampuni kali TZ then mko nyuma sana sector ya buses.Hili likiingia Kenya wananchi wote wanasimama View attachment 1095357
Tanga ina airport? Tanga ina SGR train station? Tanga ina the biggest port in East and Central Africa? Wewe nenda danganya watoto wa miaka saba huko nje.Mombasa inapambana na Tanga hata Zanzibar haigusi
Tunavyo vyombo sio kimoja.Kama hii dar lax ndio kampuni kali TZ then mko nyuma sana sector ya buses.
Hizo ni nyumba za wa Tanzania wa kawaida yaani hiyo ndio designs zinazotrend saivi, in short sector ya ujenzi Tanzania ipo mbele kuwazidi.Haka kadude kanamuonekano mbaya namna gani? Kuja Karen ujionee maajabu ya Musa
Ah braza acha hiyo league.Kama hii dar lax ndio kampuni kali TZ then mko nyuma sana sector ya buses.
Siamini km ni wewe,honourableThere are rumours that umeenda huko kuuza mk****. Refute it na evidence pliz.
Watz wanapenda Mombasa sana.
Ali kiba ommy dimpoz aslay queen ni hawakauki huko
Trending in DomHaka kadude kanamuonekano mbaya namna gani? Kuja Karen ujionee maajabu ya Musa