Monalisa ni mfano wa mzazi mbaya

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukute wee ni rika la wazazi wangu, matimira ndo nyumbani kwa mama, na baba ni mtu wa Mpitimbi,

Sahivi boda ya msumbiji inapita njia ya muhukuru, unavuka mto ruvuma unaingia mitomoni na kusonga mbele lupilichi, mianzini, nakaguruwe, matanda, kalandani, tulo, 1 kwa 1 Lichinga hiyoo,

Km ya dar pori lazima utoboe sifuri dii, mipoto poto, kingelikiti mbinga sasa had mkako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kitanda, hanga, yote iko wilaya ya Namtumbo sasa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upande mmoja mtoto alikua sahihi Kama anaweza kusema bongo hakuna vyuo atakua alitazama mfano wa profesa kabudi pengine ,wasomi wanahaja yakujitazama kabla hawajatoa kauli

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hana lolote ulimbukeni tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi mtoto angu ni Bora asome Tanzania kuliko asome ulaya mashariki, Kuna jamaa alisoma Ukraine medicine jamaa alikua mweupe mambo kibao hajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda MD ya vita je? Sio hii tunayoijua hahahah
 
Sasa kama hapa bongo ndio hivyo, huko nje unadhani inakuwaje na hela za Wazazi ndio hizo za kuunga unga? Mwisho wanasoma huku wanadanga na mzazi inabidi ufumbe macho Kwani huwaoni wako mbali!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeh sana lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii dhambi wallah khaaaah
 
Fact
 
Hii mixer lazima utakuwa chupi hauvai wallah maana hizo damu za huko mmmmmhhhh πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Kweli kufatilia habari za dunia Ni muhimu atleast unajua yanayoendelea duniani. Yani nlivyoona kampeleka shule Ukraine nlishangaa mbali na migogoro, nchi yenyewe maskini Kama bongo tu. Elimu yake haina thamani, apige mwaka mzima kusoma Lugha.

Alidhani kila Ulaya Ni Kwa kishua hajui Ulaya mashariki Ni uswekeni. Bora angeenda hata South Africa ama hapo Kenya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwetu ni songea maeneo ya Msamala, but kwa sasa niko mbali, ila soon ntakua huko.
Hivi msamara ndio pale kwenye kambi ya jeshi?
 
Yeaaah ni ile iliyoko chandarua, ambapo ilikua stand ya ma bus ambapo imegeuzwa soko la mazao, baada ya stand mpya ya shule ya tanga.

Au wee unasemea ya kule Ruhuwiko?
Doh huko sikujui, nazungumzia ile iloyoko njia ya kule kama unaenda Peramiho nadhani ndio Ruhuwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…