Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?


Ombi la Morocco mwaka 1987 lilikataliwa kwa sababu Morocco kijiografia haiko ulaya pia kitamaduni na kisiasa haina muunganiko na nichi za ulaya kwa uwazi kabisa,
Kwanza Ombi hilo lingekibaliwa ingeweza kuruhusu kisheria mafuriko ya mamilioni ya Waafrika kuingia Ulaya, na Ulaya tayari ilikuwa na matatizo makubwa na wahamiaji haramu wa Kiafrika kwenda Ulaya.
Pili Morocco ni nchi ya Kiislamu ambayo ina ufuasi wa sheria za Kiislamu ( Sharia). Ingawa nchi za Kiislamu zinakwenda ulaya , lakini kimsingi sheria ya Kiislamu haiendani na utamudi wa Magharibi ya EU.

Unaweza kujiuliza mbona Cyprus inaonekana iko zaidi Asia well hiki ni kisiwa ambacho kinahusishwa kihistoria na Ugiriki, kimeunganishwa na Uingereza tangu 1878 hadi uhuru wake mwaka 1960 Lugha yake rasmi ni Kigiriki kwahy Ina muunganiko wa muda mrefu wa kitamaduni na kisiasa na ulaya ndio maana imekuwa easy kwao kujiunga na EU.

Sababu ya kujitoa Morocco kwenye umoja wa Africa wadau wameshaongea hapo juu
 
Morocco iko karibu na Ethiopia kivipi?
 
Kwanini hawaondoki africa sasa
Jamani wa Morocco sio waafrica,African is for black people,hao mnaoona wamewakana wamesema Ukweli huku walikuja babu zao kufanya biashara ya utumwa tu,waachen warudi kwao huko
 
Angalau wewe umeonyesha una akili

Haya kwanini hawa waarabu walienda kuomba kujiunga bara ambalo sio kwao
 
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Hawaoni mayote ilivyo sasa
 
Kujiunga Umoja wa Ulaya sifa ni kuwa karibu kijiografia, demokrasia, secularism na utulivu wa muda mrefu kisiasa.
 
Kwa ubaguzi na chuki zenu mnageuza uongo kuwa ukweli.Swala la Morocco kujitoa OAU mwaka 1980 ilikuwa ni baada ya OAU kuitambua jamuhuri ya Sahrawi yaani Sahara magharibi ambayo Morocco anaikalia kama koloni lake.Lile ni swala la kisiasa na harakati za ukombozi huko Sahara magharibi huongozwa na chama kiitwacho POLISARIO.Kama Morocco wangekuwa hawaitaki Afrika wasingekuwa wanachama wa CAF.Ilipotangazwa world cup 2010 kwamba ni lazima ifanyike Afrika ni Morocco iliyojitokeza kushindana na Afrika kusini.Kama wangekuwa hawataki wasingefanya hivyo.Nyongeza ni kwamba ,wakati tunataka Afrika iungane kuwa moja Morocco walikuwa sehemu ya mchakato ndiyo maana likaibuka kundi lililoitwa Casablanca dhidi ya Lili la Monrovia.Haya yote yanaungana na sababu za kijiografia kwamba Morocco ni sehemu ya bara la Afrika.
 
Hizo sababu zilikuja baada ya kuambulia aibu ya kukataliwa huko ulaya

Kitu kingine moroco alipinga kwa nguvu zote africa kusini isiandae kombe la Dunia kwa kusema haina uwezo ila nchi mwanachama wa fifa waliyapuuza
 
Morro aliipinga South Afrika Kwa kuwa naye alikuwa anataka kuandaa hizo fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…