Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

Morocco ilijitoa Afrika ikajiomba kujiunga Ulaya ila wazungu wakaikataa. Hii inatufundisha nini?

Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu
1671275786955.png


1671275849034.png

15 hr 34 min (1,331.4 km) via A-4


1671275890108.png

135 hr (8,415.0 km) via A1
 
Ningekuwa na Mamlaka ningeiomba Marekani iichukuwe Tanzania liwe jimbo la 53 la Marekani na Watanzania wote automatically wanakuwa Wamarekani.

Morocco walikuwa sahihi, ila ukiwa kichwa maji huwezi kuliona hilo.
Gwajima aliahidi kubadilishana vijana waende Birmingham Alabama.!
 
Unashindwa hata ku Google kitu kidogo upate uelewa.
Screenshot_20221217-141842_Google.jpg
 
Mwenye kukosa akili ni yupi mkuu kati ya mimi na morroco

Morocco aliyejiondoa africa kujiunga ulaya wakamtosa
Kumbe naongea na mtu ambae huna akili. Haya endelea na ujinga wako
 
Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu

Miaka ya 1980s nchi pendwa ya morocco ilijitoa kwenye muungano wa Africa kww kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu

Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga umoja wa ulaya
Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu

Walipokosa pa kwenda wakajirudi africa kwa aibu wakapokelewa

Cyprus ipo mbali na ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu morroco ulaya ni km uani tu lkn wametoswa

Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa ulaya
Huu ni uongo. Moroco ni mwanachama mwanzilishi wa OAU, ambapo ilijiunga May 25, 1963.

Moroco alijitoa OAU mwaka 1984 kupinga Chama cha POLISARIO cha Sahara Magharibi kupewa kiti OAU kama mwakilishi wa Western Sahara, sehemu ambayo Moroco inasema ni jimbo lake.

Moroco alirudi AU (Zamani OAU) mwaka 2016 kama mwanachama baada ya kampeni ndefu ya kutaka utambulisho wa POLISARIO ufutwe. Utakumbuka hata Tanzania ilikuwa ikiitambua POLISARIO na hata mfalme wao kuja hapa Tanzania wakati wa Magufuli akatujengea Msikiti pale Kinondoni na ahadi ya Uwanja Dodoma ni sehemu ya kampeni za kuitokomeza POLISARIO.

So siyo kweli Moroco walijitoa sababu walijiona wazungu. Moroco ina native wengi ambao ni Berbers kuliko Waarab na hao ni wenyeji wa Moroco kama Wagogo walivyo wenyeji wa Tanganyika
 
Uongo wa nn makuu ethiopia ni karibu kwa kila nchi kwa kuwa ipo katikati
Tulia wewe standard 4 geography failure, Morocco ipo mbali sana na Ethiopia tena sanaaaa. Na kwa sababu yako ya katikati bora ungesema Central African republic au Congo DRC
 
Ndugu zangu kama mnavyojua kutoka Morocco kwenda Spain ni karibu tu na pia kutoka Morocco kwenda ethiopia ni karibu tu

Miaka ya 1980s nchi pendwa ya morocco ilijitoa kwenye muungano wa Africa kww kuona wao hawana hadhi ya kukaa na waafrika hadhi yao ni wazungu

Wakaanza mchakato wa kusubmit paper za kujiunga umoja wa ulaya
Zile paper zilijibiwa ndani ya wiki moja kuwa hatuwataki nyie sio wenzetu

Walipokosa pa kwenda wakajirudi africa kwa aibu wakapokelewa

Cyprus ipo mbali na ulaya lkn ni mwanachama wa umoja wa ulaya hawa ndugu zetu morroco ulaya ni km uani tu lkn wametoswa

Mwenye kujua zaidi atujuze ndugu zangu kwanini walikataliwa kujiunga na umoja wa ulaya
Tuanze na:
Source # 1
Source # 2
Haya ni makitu gani wakuu naona karibu kila uzi
 
Ikawaje wakaenda kuomba kujiunga ulaya
Huu ni uongo. Moroco ni mwanachama mwanzilishi wa OAU, ambapo ilijiunga mwaka May 25, 1963.

Moroco alijitoa OAU mwaka 1984 kupinga Chama cha POLISARIO cha Sahara Magharibi kupewa kitu OAU kama mwakilishi wa Western Sahara, sehemu ambayo Moroco inasema ni jimbo lake.

Moroco alirudi AU (Zamani OAU) mwaka 2016 kama mwanachama baada ya kampeni ndefu ya kutaka utambulisho wa POLISARIO ufutwe. Utakumbuka hata Tanzania ilikuwa ikitambua POLISARIO na hata mfalme wao kuja hapa Tanzania wakati wa Magufuli akatujengea Msikiti pale Kinondoni na ahadi ya Uwanja Dodoma ni sehemu ya kampeni za kuitokomeza POLISARIO.

So siyo kweli Moroco walijitoa sababu walijiona wazungu. Moroco ina native wengi ambao ni Berbers kuliko Waarab na hao ni wenyeji wa Moroco kama Wagogo walivyo wenyeji wa Tanganyika
 
Nadhani ni chanzo cha habari ila sasa huyu mwandishi hajaleta chanzo kaleta umbeya.
Nilitarajia hivyo vitu nitaona kadri ninavyosoma lkn hola.
Na wengi wanaanza hivyo lakini matumizi yake ni zero
 
Back
Top Bottom