Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

Ujinga unatutafuna sisi waluguru na utaendelea kututafuna
 
Cha ajabu huenda una degree ila upeo wako uko chini sana hebu niambie barabara ina uhusiano gani na kujituma kwa wananchi.Wapeni wananchi yale mliyowaahidi MUNGU anawaona mlivyo wanafiki

Mjinga huyo. Ten barabara mbovu na miundombinu mingine mibovu ndiyo inafanya watu wakose moyo wa uwajibikaji.
 

Lakni wana musoma ni watu wenye upeo mpana kuliko maeneo ambayo ccm wameyakalia kwa miaka yote
 
Lakni wana musoma ni watu wenye upeo mpana kuliko maeneo ambayo ccm wameyakalia kwa miaka yote

Ishu ni kwamba je kuna maendeleo? Upeo mpana peke yake hautoshi. Hata utumbo upo utumbo mpana
 
Ishu ni kwamba je kuna maendeleo? Upeo mpana peke yake hautoshi. Hata utumbo upo utumbo mpana

Maendeleo ya aina gani na yaletwe na nani? Mf.barabara au hospital au maji nani anatakiwa awpelekee wananchi kama sio nyie mnao kusanya kodi msikwepe wajibu wenu hivyo nilivyo vitaja hapo juu sio kazi ya mbunge
 
Maendeleo ya aina gani na yaletwe na nani? Mf.barabara au hospital au maji nani anatakiwa awpelekee wananchi kama sio nyie mnao kusanya kodi msikwepe wajibu wenu hivyo nilivyo vitaja hapo juu sio kazi ya mbunge

Kodi inalipwa ila shida kwa hao wanaokusanya kodi
 
Waache waendelee kuisoma... wameipenda wenyewe
 
Watu wa morogoro mjini,vijijini,kilosa,mvomero na gairo wote ------- sana.
 
Wanakera sana watu wa morogoro yaani hawajiamini wao kwa wao. Usishangae wakimuona mwarabu hata mtoto wanamwakia. Ni mkoa wangu ila kuna baadhi ya maeneo wananichukiza sana. Bora kilombero iwe mkoa tuhamie mkoa mpya wa kilombero maana kule wameamka
 
Nchi hii ni hovyo sana watu tunaongelea maendeleo kwa wananchi jitu linakuja na habari za Mbowe hivi mbowe ndy mkusanya kodi au yeye ndy amesababisha tufike hapa tulipo
 

Acha kudangaya watu wewe. hakuna wilaya ya Morogoro kusini. kimazingira nimeelewa unaongelea wapi. Huko barabara ni nzuri na inapitika mwaka mzima tokea Morogoro mjini mpaka Kisaki. na watu wana maisha ya kawaida kama watanzania wengine.
Mimi kama mtanzania ninajua maisha yetu ni magumu yamezungukwa na fursa nyingi ila tumetiwa upofu na watawala tusione. wanajamvi msinielewe vibaya. najua maisha ya watz yanafananafanana.
 
Wanakera sana watu wa morogoro yaani hawajiamini wao kwa wao. Usishangae wakimuona mwarabu hata mtoto wanamwakia. Ni mkoa wangu ila kuna baadhi ya maeneo wananichukiza sana. Bora kilombero iwe mkoa tuhamie mkoa mpya wa kilombero maana kule wameamka

Kama ukiwa mkoa, tukutane IFAKARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…