Morogoro ndio mkoa uliotoa vipaji vingi Tanzania kuliko mikoa mingine.

Rubbish.
 
MINOCYCLINE ni 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' hivyo ukiona naandika Jambo hapa jua kwa 100% ni sahihi kabisa.
 
Kwa Mimi hata ukitaka takwimu nakupa Tanga ndo namba moja .

Nakutajia baadhi .

1.kusah
2.platfom Tz
3.Ruby
4.mb doggy
5.suma lee
6.bonga product wa harmonize
7.kassimu mganga
8.bwana misosi
9.lulu diva
10.chuchu hansy
11.Hemed PhD
12.Roma
13.mwana Fa
14.Matonya
Hata madee na divethebawse asili zao ni Tanga

Hao baadhi tu


Ngumi

1.Matumla
2.Bakari mwambea
3.mwakinyo
4. Shabani kaoneka ni msambaa wa Tanga
Wachekeshaji sitakutajia kabisa unawajua

Mpira:singano Messi, mahadhi, abdi Banda, mwamnyeto na wapo kibao hata ajibu ana asili ya Tanga
Bandi : Kilimanjaro band au njenje

Watu wakubwa kama . Shaban robert


Wanasiasa ndo kibao: shekilango Hadi ana mtaa huko sinza, Kuna wakina shelukindo, Abdallah kigoda, mwantumu mahiza, wakina professor riziki shemdoe, shekhe mkuu wa Tanzania, kijazi ,sijataja hawa wakina ummy list ni ndefu utasema nn
 

Na mkoa upi unaongoza kwa majambazi wengi?
 
Albert mangwea ni Dodoma kuwa akili kwenu ni afande sele ,mbosso na Mario sio kwao Moro ni mtu wa mbeya
 
Lete Mandonga...
 
πŸ˜‚ Sasa mbona morogoro ndio wamejaa kibao?
 
Albert mangwea ni Dodoma kuwa akili kwenu ni afande sele ,mbosso na Mario sio kwao Moro ni mtu wa mbeya
🀣 Endelea kuamini kwao ni dodoma ila akazikwa morogoro na baba yake ni mluguru.
 
πŸ˜‚ Sasa mbona morogoro ndio wamejaa kibao?
Hamna kitu taja chipukizi wawili tu hapa ...Tanga ndo mwanzo wa burudani hata useme tufungue vault hapa hakuna mkoa ukitoa dar unaweza kufikia Tanga ..naona hujiamini mpaka unaanzisha UziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata Mwisho Mwampamba ni wa morogoro 🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Instizuuu dodoma
Unaikumbuka reli mtibwa moro united tumbaku n.k moro imetoa vipaji vya mpira sana hata national team ukiangalia akina job kapombe mzamiru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…